Uchaguzi 2020 Dkt. Magufuli mrudishe January Makamba na Nape wajibu hoja, Polepole anakihujumu chama

Uchaguzi 2020 Dkt. Magufuli mrudishe January Makamba na Nape wajibu hoja, Polepole anakihujumu chama

Humprey Polepole tambua Rais anategemea taarifa sahihi toka kwenu lakini wewe unamdaganya na kumsababishia kampeni kuwa ngumu kwake sana

Mimi ni mwana ccm na sihami ccm,Ni dhahiri Humphrey Polepole anamuhujumu Magufuli kwa ushauri wake mbovu na wa kizamani enzi za ukoloni

Polepole anafikiria mambo ya kizamani sana wakati yeye ni kijana ambaye ilibidi amwambie Rais kuwa wananchi wanataka pesa na maisha yao yameyumba



Polepole alishauri watu wa upinzani kuhamia ccm ,Hii plan imeshindwa vibaya sana

Polepole ameigawa ccm pande mbili ccm mpya na ccm asilia huku akimshauri Rais kuwaadhibu ccm asilia sasa yupo yupo tu

Polepole sasa ameanza kuongea matusi kwenye television mbele za watoto wetu sebuleni anatudhalilisha watu wazima,Anashindwa kujibu hoja kabisa

Kikwete aliwateua Nape na Makamba kwa ajili ya propaganda kujibu hoja za Dkt Slaa

Nape na Kinana wakati wa mambo ya ufisadi waliwakana wezi wote na kuongea ukweli

Humprey polepole ni wa kuwa nae makini sana wakati huu ni ndumilakuwili na hafai

Kwa kuwa Nape yupo na January yupo ni muda wa kuwatumia kujibu hoja

Ni wakati wa Rais Magufuli umuulize polepole kwa kipindi chake amefanya kitu gani kwa chama,kwanini wananchi wanaunga mkono upinzani wakati alituaminisha upinzani umekufa?

Amechanganyikiwa sasa anaanza kutukana matusi,Huyu anachochea fujo ni wakati wa ccm kukubali polepole hana ushawishi wa kukiunganisha chama
CCM ni system. Sio chama cha mfukoni kama ile ya ufipa.
 
Maguli ndie Mtu anayehusika kujibu hoja za TL kwa bahati mbaya nae uwezo huo hana
 
Ingependeza mkatoa hoja zake Polepole ambazo mnaamini zinakihujumu CCM.

Hoja za Polepole haziwezi kujibiwa na Lissu, kiongozi yeyote CHADEMA, sembuse wafuasi wao humu JF. Na huu ni mwanzo tu wa hoja nzito zitakazowatoa wagombea wa CHADEMA ulingo wa kampeni.
Nikweli unaweza kubeza haya yanayosemwa hapa kiushabiki tu,lakini ukweli anachofanya Pole Pole ni hujuma kwa Rais.
Watanzania walitarajia haya:
1😛ole Pole anapokuwa kwenye press aje kufafanua mambo yote ambayo CCM inakusudia kufanya kwa miaka 5 ijayo,ukimwambia MTU eti oooh sijui flani anauraia pacha sijui nini,hayo hayajibu kiu ya watu wanaotaka ahueni ya maisha na waliokata tamaa
2:Nimesoma Sera za CCM ziko vizuri kweli,lakini zinakosa mtu wa kuzitafsiri kwa wananchi wakaelewa,muda mwingi unatumika kupiga propaganda,hayo kwa sasa watanzania ni waelewa hawataki kufikia
3:Mafanikio ya Rais magufuli kwa miaka 5 watanzania wanayajua,kinachotakiwa tu waeleze kidogo ni kaupenyo gani katako punguza ugumu wa maisha basi.Sasa Pole Pole Kwanini hafanyi hayo? Hizo ndiyo hujuma zenyewe
 
Hao uliowataja Nape na January tayari wamepitishwa bila kupingwa lengo wakasaidie wizi wa kura kama walivyofanya masaki mwaka 2015 . Usifikiri wamepitishwa bila kupingwa hivihivi na Jana na leo Jiwe kawaomba msamaha walioitwa wapumbafu ili wamsaidie kampeni , Jiwe maji shingoni. Kuanzia Iringa Mbeya utaona sura mpya .
 
Humprey Polepole tambua Rais anategemea taarifa sahihi toka kwenu lakini wewe unamdaganya na kumsababishia kampeni kuwa ngumu kwake sana

Mimi ni mwana ccm na sihami ccm,Ni dhahiri Humphrey Polepole anamuhujumu Magufuli kwa ushauri wake mbovu na wa kizamani enzi za ukoloni

Polepole anafikiria mambo ya kizamani sana wakati yeye ni kijana ambaye ilibidi amwambie Rais kuwa wananchi wanataka pesa na maisha yao yameyumba



Polepole alishauri watu wa upinzani kuhamia ccm ,Hii plan imeshindwa vibaya sana

Polepole ameigawa ccm pande mbili ccm mpya na ccm asilia huku akimshauri Rais kuwaadhibu ccm asilia sasa yupo yupo tu

Polepole sasa ameanza kuongea matusi kwenye television mbele za watoto wetu sebuleni anatudhalilisha watu wazima,Anashindwa kujibu hoja kabisa

Kikwete aliwateua Nape na Makamba kwa ajili ya propaganda kujibu hoja za Dkt Slaa

Nape na Kinana wakati wa mambo ya ufisadi waliwakana wezi wote na kuongea ukweli

Humprey polepole ni wa kuwa nae makini sana wakati huu ni ndumilakuwili na hafai

Kwa kuwa Nape yupo na January yupo ni muda wa kuwatumia kujibu hoja

Ni wakati wa Rais Magufuli umuulize polepole kwa kipindi chake amefanya kitu gani kwa chama,kwanini wananchi wanaunga mkono upinzani wakati alituaminisha upinzani umekufa?

Amechanganyikiwa sasa anaanza kutukana matusi,Huyu anachochea fujo ni wakati wa ccm kukubali polepole hana ushawishi wa kukiunganisha chama
Ndio basi tena !
 
Polepole bado mwanaharakati, muumini wa serikali tatu,katiba ya warioba, time will tell
 
Kuwa CCM sio kwamaba ukawa msafi, unadhani hiyo pesa unayotaka iachiwe kwa mtindo gani?
Mlipane posho hovyo na kuachwa mpige madili au?
Twambie hapo zamani pesa ilikuwa inatoka wapi kwa njia halali, na kama hiyo .njia halali imefungiwa?
Kam una akili tafuta vyanzo wewe uajiri.wengine wapate kutoka kwako, usitegemee wewe uletewe, niwakati wa watanzaia kujenga uchumi wao wenyewe, tumia akili kutafuta vyanzo.
Watu mnaoishi kwa shemeji zenu mnatabu sana,unashupaza mishipa hapa kwakua unakula ugali wa bure kwa shemeji yako.
Hii nchi kwa sasa imekua ya hovyo sana,yani watoto wetu tunasomesha kwa shida halafu ajira hazitoki mpaka kipindi cha kampeni,wastaafu wameitumikia hii nchi kwa uzalendo wa hali ya juu huu sasa ni mwezi wa kumi hakuna cha kiinua mgongo wala pesa za pensheni halafu wewe unaongea nini hapa!
Wewe kuli usiwatafutie watu ban hapa.
 
Mbona ameruka mengi sana. La mtoto wa dada kuwa Mlipaji Mkuu wa Serikali mmelisahau?
CHADEMA inadai Uhuru na Haki, iweje ndugu wa Rais, mwenye sifa asiajiriwe au asipewe tenda akishinda kwa utaratibu ulio wazi?

Vipi dada, wake, washikaji na mashemeji wa viongozi wa CHADEMA ndio Wabunge na Madiwani wa kuteuliwa? Au hilo hamlioni?
 
Polepole ni tunu ya taifa, anaweza kuingia kwenye vitabu vya historia kama mwanasiasa mahiri aliyechangia mabadiliko makubwa ya kisiasa nchini Tanzania, mwacheni afanye kazi yake

You are day dreaming.
 
Pole pole ni zuzu LA mwaka litakalochangia kupunguza kura za urais kwani hajui cha kuongea na anajichanganya sana kukabiliana na hoja za upinzani. Mfano. Hija ya TL ya majimbo ameongea upotoro na kumdanganya raid eti italeta mgawanyiko na utengano kitaifa, hivyo kuwa ya kibaguzi, waka huo akimshauri rais kuwa aongelee ubaguzi kwa mini hapeleki maendeleo sehemu ya wapinzani wakati alikuwa na kauli mbiu ya maendeleo hayana vyama
 
Humprey Polepole tambua Rais anategemea taarifa sahihi toka kwenu lakini wewe unamdaganya na kumsababishia kampeni kuwa ngumu kwake sana

Mimi ni mwana ccm na sihami ccm,Ni dhahiri Humphrey Polepole anamuhujumu Magufuli kwa ushauri wake mbovu na wa kizamani enzi za ukoloni

Polepole anafikiria mambo ya kizamani sana wakati yeye ni kijana ambaye ilibidi amwambie Rais kuwa wananchi wanataka pesa na maisha yao yameyumba

Polepole alishauri watu wa upinzani kuhamia ccm ,Hii plan imeshindwa vibaya sana

Polepole ameigawa ccm pande mbili ccm mpya na ccm asilia huku akimshauri Rais kuwaadhibu ccm asilia sasa yupo yupo tu

Polepole sasa ameanza kuongea matusi kwenye television mbele za watoto wetu sebuleni anatudhalilisha watu wazima,Anashindwa kujibu hoja kabisa

Kikwete aliwateua Nape na Makamba kwa ajili ya propaganda kujibu hoja za Dkt Slaa

Nape na Kinana wakati wa mambo ya ufisadi waliwakana wezi wote na kuongea ukweli

Humprey polepole ni wa kuwa nae makini sana wakati huu ni ndumilakuwili na hafai

Kwa kuwa Nape yupo na January yupo ni muda wa kuwatumia kujibu hoja

Ni wakati wa Rais Magufuli umuulize polepole kwa kipindi chake amefanya kitu gani kwa chama,kwanini wananchi wanaunga mkono upinzani wakati alituaminisha upinzani umekufa?

Amechanganyikiwa sasa anaanza kutukana matusi,Huyu anachochea fujo ni wakati wa ccm kukubali polepole hana ushawishi wa kukiunganisha chama

Yeye Polepole na Magufuli wake wote wana akili ndogo. Liccm linawafia mikononi mwao
 
Humprey Polepole tambua Rais anategemea taarifa sahihi toka kwenu lakini wewe unamdaganya na kumsababishia kampeni kuwa ngumu kwake sana.

Mimi ni mwana CCM na sihami CCM, Ni dhahiri Humphrey Polepole anamuhujumu Magufuli kwa ushauri wake mbovu na wa kizamani enzi za ukoloni.

Polepole anafikiria mambo ya kizamani sana wakati yeye ni kijana ambaye ilibidi amwambie Rais kuwa wananchi wanataka pesa na maisha yao yameyumba

Polepole alishauri watu wa upinzani kuhamia CCM,Hii plan imeshindwa vibaya sana

Polepole ameigawa CCM pande mbili CCM mpya na CCM asilia huku akimshauri Rais kuwaadhibu CCM asilia sasa yupo yupo tu

Polepole sasa ameanza kuongea matusi kwenye television mbele za watoto wetu sebuleni anatudhalilisha watu wazima. Anashindwa kujibu hoja kabisa.

Kikwete aliwateua Nape na Makamba kwa ajili ya propaganda kujibu hoja za Dkt Slaa.

Nape na Kinana wakati wa mambo ya ufisadi waliwakana wezi wote na kuongea ukweli.

Humprey polepole ni wa kuwa nae makini sana wakati huu ni ndumilakuwili na hafai.
.
Kwa kuwa Nape yupo na January yupo ni muda wa kuwatumia kujibu hoja.

Ni wakati wa Rais Magufuli umuulize polepole kwa kipindi chake amefanya kitu gani kwa chama,kwanini wananchi wanaunga mkono upinzani wakati alituaminisha upinzani umekufa?

Amechanganyikiwa sasa anaanza kutukana matusi,Huyu anachochea fujo ni wakati wa ccm kukubali polepole hana ushawishi wa kukiunganisha chama
Hilo hatafanya kwakuwa yeye anaamini kuwa hakuna mtu anayejua zaidi kuliko yeye
 
Yawezekana kana Pole Pole anaongea ukweli,lakini ukweli huo haujazingatia muda,wakati na hali ya watanzania.

Nikiwa mwanafunzi wa sekondari kipindi hicho nakumbuka kauli ya Mkuu wa Shule alisema"Wanafunzi hawa wakiwa na njaa nikama wanyama,ubinadamu wote huwatoka,husahau kila fadhila wanayotendewa na walimu wao wawapo hapa shule"
Hii ina maana gani?

1: Polepole asidhani kuwa watu hawajui Rais katenda makubwa.Wanaelewa fika ila wanahitaji Rais abalance kidogo miundo mbinu ,ajira kidogo,mishahara kidogo,pembejeo kidogo,nk

2: Watanzania wanahitaji uhuru wao, maono yao, itikadi zao kuheshimiwa ,mfano, jambo dogo tu la kuengua wagombea wa upinzani huku wa chama tawala wakiachwa kinachochea hasara kwa raia nakuona kama serikali inaingilia uhuru wa wananchi kuchagua MTU wameendeleza

3:Kauli za kejeli na vijembe kwa wakati huu zinanasibishwa na chama au serikali Jambo ambalo muda mwingine siyo sahihi ni Mtazamo tu wa Polepole mwenyewe

4😛ole Pole anatakiwa kuueleza umma nini wanakusudia kufanya kwa miaka 5 ijayo kuliko kupoteza muda kumnanga mgombea wa upinzani

5: Watu wanataka kujua ni ahueni gani watapata miaka 5 ijayo tofauti na 5 iliyopita

6: Aelewe kuwa watu wamekata tamaa, hivyo kazi yake kuwa mfariji wa kuueleza Sera nzuri ambazo zinawagusa wananchi hasa waliokata tamaa

7: Jambo lolote lenye mlengo wa kushambulia wapinzani linachukuliwa kama ni mkakati wa serikali kuwahujumu wapiga Kura

8: Aangalie MTU mahsusi wa kujibu hoja za upinzani kwa Uthabiti na kwa ufafanuzi mzuri,watanzania ni waelewa sana wanajua kupima ukweli na propaganda

9: CCM ni chama kikongwe sana, kila MTU anatarajia majibu stahiki na yenye kutia moyo kwani kinachukuliwa kama serikali yenyewe, propaganda zinachukuliwa kama madai ya upinzani ni kweli.

10: Polepole kuleta propaganda kwenye press katika kipindi hiki inaweza kuchukuliwa kama ni hujuma kwa Rais, kumbuka huu ni muda wa kuomba ridhaa kwa wananchi, kila Jambo linatakiwa kuonekana kuratibiwa kitaalam siyo blablaa. Mzee Lukuvi kajibu vizuri sana juu ya maswala ya ARDHI ambayo wapinzani walilalamika, ule ni mfano mzuri wa kujibu hoja kwa kipindi hiki.

Polepole ni toto la hovyooo kabisa, pumbavu na jinga. Linakera. Ni liability kwa chama chake.
 
Dr. Bashiru alikuwa mwanachama wa CUF. Pole Pole alikuwa opposition toka enzi za Bunge la Katiba.

Ni wazi hawa watu wawili wanakihujumu Chama. Kampeni za urais opposition wanatupeleka puta kama watoto, very shame!

Magufuli kaa macho na hao watu. Wanakihujumu chama wazi wazi.
wote nje
 
Back
Top Bottom