mugah di matheo
JF-Expert Member
- Jul 28, 2018
- 6,307
- 12,410
"Nimempa hekari elfu 10 iliazalishe sukari tan 30,000 hadi 35,000 kwa mwaka na watanzania 800 watapata ajira na badae uzalishaji utafikia tani 60,000 hadi 70,000 na kutoa ajira 2000"
Magufuli akiwa Pwani Leo
Chanzo: TBC online
Magufuli akiwa Pwani Leo
Chanzo: TBC online