Uchaguzi 2020 Dkt. Magufuli: Nimempa Bakhresa hekari 10,000 azalishe sukari

Uchaguzi 2020 Dkt. Magufuli: Nimempa Bakhresa hekari 10,000 azalishe sukari

"Nimempa hekari elfu 10 iliazalishe sukari tan 30,000 hadi 35,000 kwa mwaka na watanzania 800 watapata ajira na badae uzalishaji utafikia tani 60,000 hadi 70,000 na kutoa ajira 2000"

Magufuli akiwa Pwani Leo


Chanzo: TBC online
Kumbukumbu zangu zinasema izo hekari alipewa 2016. Ni Jambo Jema

Now tunataka report ya Mali yetu (ardhi) tuliyompa siyo porojo.

Atuambie mikakati imefikia wapi Kama hakuwa tayari angesema mapema.

Au nayeye vyuma vilikaza?
 
"Nimempa hekari elfu 10 iliazalishe sukari tan 30,000 hadi 35,000 kwa mwaka na watanzania 800 watapata ajira na badae uzalishaji utafikia tani 60,000 hadi 70,000 na kutoa ajira 2000"

Magufuli akiwa Pwani Leo


Chanzo: TBC online
Umempa kama nani bwana wewe!! sema serikali imempa na uache kutukoroga hapa.
 
2 Feb 2018
Shamba la miwa la Said Salim Bakhresa lililopo Makurunge - Bagamoyo linatarajia kuzalisha ajira mpya zaidi ya 1,000 baada ya upandikizaji wa miche ya miwa kwenye mashamba kuanza rasmi.

 
28 Dec 2017
Kampuni ya SSB iliyo chini ya Said Salim Bakhresa imeanza awamu ya kwanza ya upandaji mbegu za miwa kwaajili ya uanzishaji wa kiwanda cha sukari wilayani Bagamoyo. Tazama uwekezaji huo hekta 10,000
 
Matajiri Kama Hawa native,inabidi walindwe wapewe kila msaada wanapohitaji.
Watu Kama Hawa wanamchwngo mkubwa ktk uchumi wa nchi.inabidi hata wasaidiwe taarifa za Intelligensia kuhusu biashara.
Inabidi ifike mahari,Dola ikisikia Bakheresa kapata shida nje ya nchi,taasisi zote za kiusalama lazima ziingie kazini.
Tujifunze kwa Huawei,titock,haya yote ni makampuni ya binafsi ya Raia wa china,lakini USA ilipoanza vita nayo,Idara za kiusalama za china,balozi zake Zilisimama kidete kuyatetea na kuyalinda.
Unajua Mo alitekwa? Au unaposema walindwe una maanisha nini?

Sent from my SM-A515F using JamiiForums mobile app
 
"Nimempa hekari elfu 10 iliazalishe sukari tan 30,000 hadi 35,000 kwa mwaka na watanzania 800 watapata ajira na badae uzalishaji utafikia tani 60,000 hadi 70,000 na kutoa ajira 2000"

Magufuli akiwa Pwani Leo


Chanzo: TBC online

TBC TV imekuwa idara ya propaganda chini ya Katibu wa ideology na propaganda wa CCM Mpya Humphrey Polepole na kueneza taarifa isiyo sahihi kwa manufaa ovu kuelekea 28 Oktoba 2020 kwa kuwadanganya wananchi kwa taarifa potovu.
 
16 Aug 2018
Mkuu wa Mkoa wa Pwani Mhandisi Evarist Ndikilo amewaamuru wafugaji wanaovamia eneo la mradi wa shamba la miwa hekta 10,000 linalomilikiwa na mwekezaji Said Salim Bakhresa wilaya ya Bagamoyo mkoani Pwani kuondoka mara moja ili kuepusha migogoro isiyo ya lazima Mhandisi Ndikilo ametoa agizo hilo baada ya kuzuru shamba hilo akiwa ameambatana na kamati ya siasa ya Mkoa wa Pwani na kuelezwa changamoto iliyopo
 
Serikali inapotumia mamlaka yake ya uonevu kuchukua mali ya Watanzania na kumpa Mtanzania mmoja anufaike ni maajabu sana

Ingetakiwa itolewe nafasi kwa Mtanzania yeyote aombe,then uchujaji ufanyike,then watu wachukue....

Aridhi sio ya Magufuli binafsi na kusema "nimempa"....ni mali ya Watanzania,angesema nimempa kwa niaba ya Watanzania wote tena na Bunge lipitishe ndio iwe halali...

Huu umangimeza ndio maana tunataka katiba mpya....Tukiwa nayo huu ufalme wote unakufa!

Ndio maana napenda sana Capitalism,serikali inakaa pembeni,inaweka sheria of how to use the resources then inakaa pembeni ina hakikisha ina-enforce the law...Na sio kukaa hapa kama Mungu na kuanza kugawa mali kwa upendeleo kwa mtu huyu kwa sababu binafsi za mtu,nk.

Huu ni upumbavu
Acha kukurupukia vitu isivyojua. Chadema mnakazi tarehe 28, lazima kieleweke.
 
Serikali inapotumia mamlaka yake ya uonevu kuchukua mali ya Watanzania na kumpa Mtanzania mmoja anufaike ni maajabu sana

Ingetakiwa itolewe nafasi kwa Mtanzania yeyote aombe,then uchujaji ufanyike,then watu wachukue....

Aridhi sio ya Magufuli binafsi na kusema "nimempa"....ni mali ya Watanzania,angesema nimempa kwa niaba ya Watanzania wote tena na Bunge lipitishe ndio iwe halali...

Huu umangimeza ndio maana tunataka katiba mpya....Tukiwa nayo huu ufalme wote unakufa!

Ndio maana napenda sana Capitalism,serikali inakaa pembeni,inaweka sheria of how to use the resources then inakaa pembeni ina hakikisha ina-enforce the law...Na sio kukaa hapa kama Mungu na kuanza kugawa mali kwa upendeleo kwa mtu huyu kwa sababu binafsi za mtu,nk.

Huu ni upumbavu
tatizo wanaona watu ni wajinga vichwani
 
Kumbukumbu zangu zinasema izo hekari alipewa 2016. Ni Jambo Jema

Now tunataka report ya Mali yetu (ardhi) tuliyompa siyo porojo.

Atuambie mikakati imefikia wapi Kama hakuwa tayari angesema mapema.

Au nayeye vyuma vilikaza?
2018 walitangaza kupanda miwa sasa sielewi kwanini hiyo miwa haijakua hadi saivi ila kiufupi tumepigwa kama kawaida yetu
 
Mwenye nacho huongezewa, kwanini asinipe mimi? ametoa kama shamba lake au mali ya serikali? huyu mzee mali za umma zimegeuka mali zake binafsi.

Naam kama zile Talanta tano, mbili na moja
 
Alikua anajifanya anawapotezea waaekezaji wa ndani Sasa nini Tena?
Maji yamezidi Unga
Bado manji na murji uliowafilisi
 
Hayo maendeleo ya watu ni yapi ambayo hayahusishi vitu?

Hivi kuna mtu atapata hela nyingi kisha asijenge nyumba ama kununua gari? Kuna mtu wa namna hio? Kuna mtu hatafungua miradi binafsi ya kujiendeleza kiuchumi thereafter? Kuna mtu ambaye akipata disposable income hatanunua nguo nzuri na viatu?
 
Back
Top Bottom