mugah di matheo
JF-Expert Member
- Jul 28, 2018
- 6,307
- 12,410
Jipe moyo utashinda.Hiyo ndo Tz tunayoitaka sisi vijana tupate ajira itikadi badae
Hakika.Hiyo ndo Tz tunayoitaka sisi vijana tupate ajira itikadi badae
Ni yeyeeee.Huyu si ndiye aliyesema kuwa alipoingia madarakani sukari ilikuwa ikiuzwa elfu 5(5000/=)!!!!
"Nimempa hekari elfu 10 iliazalishe sukari tan 30,000 hadi 35,000 kwa mwaka na watanzania 800 watapata ajira na badae uzalishaji utafikia tani 60,000 hadi 70,000 na kutoa ajira 2000"
Magufuli akiwa Pwani Leo
Chanzo: TBC online
Vyema ukaisoma sheria ya umiliki wa Ardhi Tanzania inasemaje ili tuanzie hapo.Mwenye nacho huongezewa, kwanini asinipe mimi? ametoa kama shamba lake au mali ya serikali? huyu mzee mali za umma zimegeuka mali zake binafsi.
Sheria na 4 ya mwaka 1999, ehee nakusubiri mkuuVyema ukaisoma sheria ya umiliki wa Ardhi Tanzania inasemaje ili tuanzie
Matajiri Kama Hawa native,inabidi walindwe wapewe kila msaada wanapohitaji."Nimempa hekari elfu 10 iliazalishe sukari tan 30,000 hadi 35,000 kwa mwaka na watanzania 800 watapata ajira na badae uzalishaji utafikia tani 60,000 hadi 70,000 na kutoa ajira 2000"
Magufuli akiwa Pwani Leo
Chanzo: TBC online
Hapohapo watumishi wa umma ni laki 5 mpk waliopo ubaloziniHuyu si ndiye aliyesema kuwa alipoingia madarakani sukari ilikuwa ikiuzwa elfu 5(5000/=)!!!!
Wewe ni miongoni mwa Watanzania wapumbavu. Maana ujinga ushakuondoka bado upumbavu tu.
Wewe ndio wale mnaopiga makofi na vigeregere Serikali inapoongopa kuwa ndani ya miaka 5 imeleta ajira zaidi ya milioni 8 huku vijana wanateseka kwa ugumu wa maisha.
Kama yeye ni shujaa ampe Masawe heka elfu 10 aone kama hatazalisha sukari. Magufuli mdhaifu sana kwa watu wenye rangi nyeupe na ndiyo maana pale Mkapa akasema yeye anasikiliza wenye rangi nyeupe mapema kuliko weusi."Nimempa hekari elfu 10 iliazalishe sukari tan 30,000 hadi 35,000 kwa mwaka na watanzania 800 watapata ajira na badae uzalishaji utafikia tani 60,000 hadi 70,000 na kutoa ajira 2000"
Magufuli akiwa Pwani Leo
Chanzo: TBC online
Wewe nawe mjinga huyo bakharesa emepe2a atajenga viwanda vitatoa Ajira KWa watu lakini fursa KWa wakulima kuuza mazao yaooMwenye nacho huongezewa, kwanini asinipe mimi? ametoa kama shamba lake au mali ya serikali? huyu mzee mali za umma zimegeuka mali zake binafsi.
Yan Magufuli kila kitu "anajiona" yeye badala ya kuiona Serikali anayoongoza.."Nimempa hekari elfu 10 iliazalishe sukari tan 30,000 hadi 35,000 kwa mwaka na watanzania 800 watapata ajira na badae uzalishaji utafikia tani 60,000 hadi 70,000 na kutoa ajira 2000"
Magufuli akiwa Pwani Leo
Chanzo: TBC online