Kumbukumbu zangu zinasema izo hekari alipewa 2016. Ni Jambo Jema"Nimempa hekari elfu 10 iliazalishe sukari tan 30,000 hadi 35,000 kwa mwaka na watanzania 800 watapata ajira na badae uzalishaji utafikia tani 60,000 hadi 70,000 na kutoa ajira 2000"
Magufuli akiwa Pwani Leo
Chanzo: TBC online
Umempa kama nani bwana wewe!! sema serikali imempa na uache kutukoroga hapa."Nimempa hekari elfu 10 iliazalishe sukari tan 30,000 hadi 35,000 kwa mwaka na watanzania 800 watapata ajira na badae uzalishaji utafikia tani 60,000 hadi 70,000 na kutoa ajira 2000"
Magufuli akiwa Pwani Leo
Chanzo: TBC online
Unajua Mo alitekwa? Au unaposema walindwe una maanisha nini?Matajiri Kama Hawa native,inabidi walindwe wapewe kila msaada wanapohitaji.
Watu Kama Hawa wanamchwngo mkubwa ktk uchumi wa nchi.inabidi hata wasaidiwe taarifa za Intelligensia kuhusu biashara.
Inabidi ifike mahari,Dola ikisikia Bakheresa kapata shida nje ya nchi,taasisi zote za kiusalama lazima ziingie kazini.
Tujifunze kwa Huawei,titock,haya yote ni makampuni ya binafsi ya Raia wa china,lakini USA ilipoanza vita nayo,Idara za kiusalama za china,balozi zake Zilisimama kidete kuyatetea na kuyalinda.
"Nimempa hekari elfu 10 iliazalishe sukari tan 30,000 hadi 35,000 kwa mwaka na watanzania 800 watapata ajira na badae uzalishaji utafikia tani 60,000 hadi 70,000 na kutoa ajira 2000"
Magufuli akiwa Pwani Leo
Chanzo: TBC online
wewe jamaa umeshakuwa kama zezeta ninauhakika mpaka kampeni ziishe utahamia majalalaniRais Magufuli ni kipenzi cha Watanzania
Magufuli sio Mbowe. Serikali lazima itakuwa na hisa kwenye hicho kiwanda.Mwenye nacho huongezewa, kwanini asinipe mimi? ametoa kama shamba lake au mali ya serikali? huyu mzee mali za umma zimegeuka mali zake binafsi.
Acha kukurupukia vitu isivyojua. Chadema mnakazi tarehe 28, lazima kieleweke.Serikali inapotumia mamlaka yake ya uonevu kuchukua mali ya Watanzania na kumpa Mtanzania mmoja anufaike ni maajabu sana
Ingetakiwa itolewe nafasi kwa Mtanzania yeyote aombe,then uchujaji ufanyike,then watu wachukue....
Aridhi sio ya Magufuli binafsi na kusema "nimempa"....ni mali ya Watanzania,angesema nimempa kwa niaba ya Watanzania wote tena na Bunge lipitishe ndio iwe halali...
Huu umangimeza ndio maana tunataka katiba mpya....Tukiwa nayo huu ufalme wote unakufa!
Ndio maana napenda sana Capitalism,serikali inakaa pembeni,inaweka sheria of how to use the resources then inakaa pembeni ina hakikisha ina-enforce the law...Na sio kukaa hapa kama Mungu na kuanza kugawa mali kwa upendeleo kwa mtu huyu kwa sababu binafsi za mtu,nk.
Huu ni upumbavu
wewe bunyengo unajua nini utuambieAcha kukurupukia vitu isivyojua. Chadema mnakazi tarehe 28, lazima kieleweke.
tatizo wanaona watu ni wajinga vichwaniSerikali inapotumia mamlaka yake ya uonevu kuchukua mali ya Watanzania na kumpa Mtanzania mmoja anufaike ni maajabu sana
Ingetakiwa itolewe nafasi kwa Mtanzania yeyote aombe,then uchujaji ufanyike,then watu wachukue....
Aridhi sio ya Magufuli binafsi na kusema "nimempa"....ni mali ya Watanzania,angesema nimempa kwa niaba ya Watanzania wote tena na Bunge lipitishe ndio iwe halali...
Huu umangimeza ndio maana tunataka katiba mpya....Tukiwa nayo huu ufalme wote unakufa!
Ndio maana napenda sana Capitalism,serikali inakaa pembeni,inaweka sheria of how to use the resources then inakaa pembeni ina hakikisha ina-enforce the law...Na sio kukaa hapa kama Mungu na kuanza kugawa mali kwa upendeleo kwa mtu huyu kwa sababu binafsi za mtu,nk.
Huu ni upumbavu
"Nimempa hekari elfu 10 iliazalishe sukari tan 30,000 hadi 35,000 kwa mwaka na watanzania 800 watapata ajira na badae uzalishaji utafikia tani 60,000 hadi 70,000 na kutoa ajira 2000"
Magufuli akiwa Pwani Leo
Chanzo: TBC online
2018 walitangaza kupanda miwa sasa sielewi kwanini hiyo miwa haijakua hadi saivi ila kiufupi tumepigwa kama kawaida yetuKumbukumbu zangu zinasema izo hekari alipewa 2016. Ni Jambo Jema
Now tunataka report ya Mali yetu (ardhi) tuliyompa siyo porojo.
Atuambie mikakati imefikia wapi Kama hakuwa tayari angesema mapema.
Au nayeye vyuma vilikaza?
[emoji1702][emoji1702]Yan Magufuli kila kitu "anajiona" yeye badala ya kuiona Serikali anayoongoza..
Kila kitu anajiona kafanya yeye yeye yeye hadi akaamua ajijengee Uwanja wa Ndege Kijijini kwake
Mwenye nacho huongezewa, kwanini asinipe mimi? ametoa kama shamba lake au mali ya serikali? huyu mzee mali za umma zimegeuka mali zake binafsi.
Sema walumumba sio watanzaniaRais Magufuli ni kipenzi cha Watanzania
Hayo maendeleo ya watu ni yapi ambayo hayahusishi vitu?