Zanzibar 2020 Dkt. Magufuli: Nitapata tabu ya kumpata Waziri wa Ulinzi nikichaguliwa kuwa Rais

Inasikitisha sana tena sana kauli kama hizi, ni hatari sana kwa kweli ni lazima zikemewe haijalishi chama gani. Haya mambo Tz hatuna na wala hatujawahi kuongea huu upuuzi piga kampeni lakini kauli hizi hatari sana. Kwanza waziri hawezi moja na zaidi mkuu wa majeshi ana report kwa Rais ambaye ni mkuu wao wote na kupinduliwa nchi nyingi za africa mapinduzi yamefanywa na watu wa kawaida sana jeshini wala sio wakuu wa majeshi lakini haya sio muhimu. Rais lazima akemewe na hizi kauli zake na CCM viongozi wamwambie mzee hapa hapana umeteleza...
 
Hizi kauli zinawakilisha mawazo ya muhusika...
Hapo upo wasiwasi, kutojiamni na kuhofia maadui...
Sio kweli ni ufinyu wako qa kufikiri tu.
Swala la kuchagua viongozi kwenye sekta nyeti inahitaji umakini wa hali ya juu na sio kukurupuka.
 
Kwani huko CCM kumejaa viazi?
 


Labda wanataka kupindua matakwa ya wapiga kura bara na visiwani. Hali wameshaiona ni ngumu sana kwao
 
Awataje hao waliokuwa na tamaa tu๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒ
 
Yani JPM keshapita sasa anaanza kupanga baraza la mawaziri kwenye majukwaa ya kampeni.
 
Kuna watu ni wazito sana kuelewa mambo,

Rais alitoa kauli hiyo akilenga kuonesha ubora wa Mgombea kwa nafasi ya Urais Zanzibar , Hussein Mwinyi na sio zaidi ya hapo.
 
Hatukuchagui mzee ili usijekupata shida,, huo nao ni upendo wetu kwako mzee, hatutaki upate shida #lissu2020
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ