Kipangaspecial
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 20,778
- 28,722
Awe na amani tu mzee wanguLabda ubinasfi, roho nyeusi kwa wengine, utendaji wa matamko, ubaguzi, kujenga chuki ndani ya chama... Nk.
Njoo na ushahidi hapaHuyu mwinyi anawajua vizuri wasiojulikana
Kabula ni mbunge wa viti maalum, ana sifa zote za kuwa waziriAcha akili mbovu za kuutweza utu wa mtu hasa mkuu wa nchi wewe bwana mkubwa
Sio kweli ni ufinyu wako qa kufikiri tu.Hizi kauli zinawakilisha mawazo ya muhusika...
Hapo upo wasiwasi, kutojiamni na kuhofia maadui...
We kakwbia nani msimpime mtu kwa kauli bwana mkubwaMagu ni hopeless sana
Sio wizara yakeHuyu mwinyi anawajua vizuri wasiojulikana
Mzee anaishi kwa wasiwasi sana.Heeeew....
Tamaa ya kupindua nchi [emoji33][emoji33][emoji33]
Kwani huko CCM kumejaa viazi?Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia CCM, Dkt. John Magufuli amesema Waziri wa Ulinzi anauwezo mkubwa hata wa kupindua nchi kwa kuwa vifaa vyote viko chini yake
Aidha amemsifu Dkt. Hussein Mwinyi, ambaye ni mgombe urais Zanzibar kuwa alikuwa waziri wa Ulinzi kwa miaka 11 na hakuwa na tamaa ya kutaka kupindua nchi
Kutokana na sifa hizo amesema atapata wakati mgumu kumpata Waziri wa Ulinzi mwenye kaliba ya Dkt. Hussein Mwinyi kwa muhula wa 2020-2025
Ameyasema hayo alipokuwa kwenye mkutano wa kampeni viwanja vya Mnazi Mmoja, Zanzibar
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia CCM, Dkt. John Magufuli amesema Waziri wa Ulinzi anauwezo mkubwa hata wa kupindua nchi kwa kuwa vifaa vyote viko chini yake
Aidha amemsifu Dkt. Hussein Mwinyi, ambaye ni mgombe urais Zanzibar kuwa alikuwa waziri wa Ulinzi kwa miaka 11 na hakuwa na tamaa ya kutaka kupindua nchi
Kutokana na sifa hizo amesema atapata wakati mgumu kumpata Waziri wa Ulinzi mwenye kaliba ya Dkt. Hussein Mwinyi kwa muhula wa 2020-2025
Ameyasema hayo alipokuwa kwenye mkutano wa kampeni viwanja vya Mnazi Mmoja, Zanzibar
Nafikiri ni malezi na mazingira aliyokulia. Tujitahidini sana kuwalea vizuri watoto na vijana wetu jamani.Huku kutokujiamini kwa magufuli(insecurity) kunatokana na nini ?
Hizo side effects za malezi mabovu zinamfuata mtu hadi uzeeni ?Nafikiri ni malezi na mazingira aliyokulia. Tujitahidini sana kuwalea vizuri watoto na vijana wetu jamani.
Hata wewe usiyejua kuandika vizuri ni hopeless as shitWe kakwbia nani msimpime mtu kwa kauli bwana mkubwa
Ushahidi hutolewa mahakani sio hapa jukwaaniNjoo na ushahidi hapa
Kweli bro umenikimbusha kituSio wizara yake