Zanzibar 2020 Dkt. Magufuli: Nitapata tabu ya kumpata Waziri wa Ulinzi nikichaguliwa kuwa Rais

Unafiki wa Magufuli ni wa kiwango cha Shetani !!

Kwanza sisi hatukuchagui tena. Acha kujitoa ufahamu...
 
Ndani ya CCM nani aweza mkemea Magufuli? Kama JK, aliwahi ambiwa ana washwawashwa. Je, nani mwingine mwenye uwezo huo?

Ndo maana suluhisho la upuuzi wa mpuuzi huyu ni kumkataa kwenye sanduku la KURA Oktoba 28 ili jambo letu litimie....
 
Kwa hali hii kweli atachaguliwa tena?
Your browser is not able to display this video.
 
Mhhh kazi kweli kweli!
 
Unapokuwa na uhakika 100% kwamba wenyenchi hawakupendi, ni lazima uwe insecured tu.
 
Kuna watu ni wazito sana kuelewa mambo,

Rais alitoa kauli hiyo akilenga kuonesha ubora wa Mgombea kwa nafasi ya Urais Zanzibar , Hussein Mwinyi na sio zaidi ya hapo.
Nilidhani una uelewa mkubwa wa mambo kumbe hakuna kitu. Niambie nchi ngapi uliskia Waziri wa Ulinzi ( ambaye sio mwanajeshi) alipindua Serikali.

Huyo Mwinyi, JPM kamkuta hapo na kamuacha hapo kwa sababu alikuwa anaandaliwa na CCM
 
Kama ni kweli kayasema hayo, basi nampa ushauri huu - Ajiteue mwenyewe kuwa waziri wa ulinzi; yaani awe rais na amir jeshi mkuu na waziri wa ulinzi!
 
Sio kweli ni ufinyu wako qa kufikiri tu.
Swala la kuchagua viongozi kwenye sekta nyeti inahitaji umakini wa hali ya juu na sio kukurupuka.
Jiwe anatakiwa kudhibitiwa haraka sana, vinginevyo atatupeleke shimoni huyu kiumbe, kauli nyingine si vyema zikatolewa na kiongozi kama yeye

Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
 
Lissu akisema atashinda ni kosa, huyu mbwiga mpaka keshaanza kupata shida wa kumteua inaonekana ni sawa, ndio maana hata jirani zetu wanatucheka huu sio uchaguzi ni takataka.
 
Hata haiingii akilini, kampeni ya kiwango cha chini sana hii.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…