Uchaguzi 2020 Dkt. Magufuli ongea na wazee, wakuu wa Taifa! Sioni mwisho mwema kama nabii

To be honest Magufuli ana roho ya kukataliwa! Hata hulka zake huonesha ana athari za kukataliwa zinamsumbua sana!

This time wingu sio zuri kwa CCM!

mwenzako anadekiwa lami, uyu mwingine sjui ana bahati gan ya kukoswa na mawe na wananchi
 

kiti gan unchoongelea? kile cha ufipa mmeshindwa kununua mnakodisha hadi viti
 
Alipoingia madarakani alisema waziri kuwa yeye ni dereva hivyo hawezi kumsikiliza mtu, hakuna aliyemsaidia kuchukua fomu ya kugombea urais hivyo hana sababu ya kukusikiliza.
 
Hiyo ndiyo Hali halisi. Kama JPM atashinda 🥺😤 na akaendela na Siasa zake hizihizi....2025 hakutakuwa na CCM

Economy must take a different twist. TRA should not be working on closing down businesses by forcing to collect taxes that do not exist.
Hela zirudi tena kwenye circulation kwa wale wanafanya kazi za halali.
Over and above, we have to change the tone and allow mining and gas/oil investors to start pumping the highly valued and needed cash.
 
The whole truth. TumainEl nini kinakufanya umkatie tamaa Jpm ikiwa ana Tume, Jeshi, MaDED wote wake. Nini hasa kinakufanya uone kama atafeli??
JPM hatafeli. Katiba ya sasa inamlinda mno kuliko chochote kingine. Na CCM itaendelea kuongoza kama katiba itabaki ilivyo

Mtazamo wangu ni kuwa approach ya mambo ya kiuchumi lazima ibadilike. Wafanyabiashara wa ndani wathaminiwe na kusaidiwa. Kuua biashara za ndani ni suicide mission.

Hakuna kiongozi atakayeweza kuongoza watu wenye njaa. Mambo lazima yabadilike ili tuweze kuendelea kuwa na ustawi
 
Sawa. Bado huna imani tu!
 
Kweli kazi ipo, yaani unasema flyover, ndege na reli umevizoea kwa kuviona kwenye video? Siriazi kabisa? Unasema sio vya kutishia watu, ukienda nchi kama marekani ndege kwa siku zinapaa zaidi ya 200 ndani marekani peke ake achia mbali zinazoenda nje ya Marekani. Ukimsikiliza Tundu ukamuelewa lazima una hitilafu mahali kwa sababu mambo anayohimiza na ahadi zake hazitekelezeki hata kidogo. Huwezi zuia ukusanyaji wa kodi, anavyoahidi ataondoa utitiri wa kodi sio kweli kwani hizo kodi zilikuwepo hata kabla ya Magufuli sema tu hakukuwa na ufatiliaji zikawa hazilipwi ikafikia hatua watu wakaona kama hazipo. Mataifa kama Marekani na wengine msingi wao mkubwa ni kodi na ndio maana walipoona Magufuli anakazia kodi wakastuka waafrika wanaamka. Kitu kingine unachotakiwa kujua hata kama Magufuli ataondoka madarakani ni ngumu kutoa ajira kwa watu wote bila kuwa na mkakati wa mazingira ya kazi. Leo uajiti watu kwa kuwa tu unafurahisha kuwa umetoa ajira mwisho wa siku ushindwe kuwalipa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…