The whole truth. TumainEl nini kinakufanya umkatie tamaa Jpm ikiwa ana Tume, Jeshi, MaDED wote wake. Nini hasa kinakufanya uone kama atafeli??Mh Rais, pole kwa mihangaiko ya kupiga kampeni ila nina neno moja juu yako usiku Waldo nalo ni siri japo sio Siri baada yakuandika hapa.
Hali inayoendelea hata tukiwa wanafiki na kuwa tumekunywa maji ya bendera mwisho pumzi zitakata na zikikata mashambulizi yatakuwa makali zaidi kuliko wakati huu tuna nguvu.
Asikudanganye mtu, hali sio hali, yani hata kama ni kwa goli la mkono, ila mtiti huu utakusumbua katk awamu yako ya pili kiasi utahisi kila mtu ni msaliti.
Kuna hali sio ya kawaida huku uraiani, yani watu wamejawa na machungu kiasi hawana pa kupumulia ila tu 28.10.2020.
Majeshi na idara za usalama hawatoweza kudhibiti hili vuguvugu na wakiweza basi watu wengi watakuwa silence jambo litazidi kuibuwa vuguvugu jingine baya zaidi, jambo litazigawa idara zako za ushauri.
Uongozi ni kuacha alama na ili ufanikiwe kubali yaishe, kaa na waliokuweka vua urais wako omba ushauri Ila kumbuka shida ipo nyingine Nani wakukupa honest feedback kwa aina ya uongoz wako mkali sana Mzee wangu hapa tafuta MTU tu akusaidie upewe honest feed back japo sijui kama utaipata Mungu akusaidie.
Pamoja umefanya yote mazuri Ila trust me umeshindwa ishi mioyoni mwa Watanzania. Embu jiulize why? Umeme umetadanza kama uyoga, maji kama yote, mahospitali kama yote, madege, reli.
Yani hakuna mahali hujagusa, umefanya mambo makubwa sana ila umeshindwa kula na kipofu, sasa kipofu kapata kipofu aliewahi kuona hapo zamani Ila baadae akawa kipofu. Amewaambia vipofu wenzake huko sio, hiyo njia sio, wamemwamini ani ni shida ukiweka Jiwe na Magi watu wanapigia Kura Jiwe. Why umesahau wakolon walitupa shanga Sisi tukawapa madini?
Ona sasa mziki huu jamaa Hana bango Hana vyombo vya habari Ila ameteka nchi kweupe.
Waite wazee wakushauri maana najuwa uchaguzi huu hautokuwa Rahisi kama tunavyodhani.
Polisi wao wanataka Perdiem tu. Mengine atajijua mwenyewe.Huko Mbarali polisi wameshusha bendera za CHADEMA ili Meko asizione atakapokua anapita kuelekea Mbeya.
Yaani wanamdanganya kwamba anapendwa Tanzania nzima na raia wote wanamkubali.
Atakaposhtuka Lissu atakuwa yuko kwenye kiti cha enzi pale Chamwino.
Hehee amewachana comrade mwenzenu wa miaka yote. Angekuwa mimi mngesema aah wapi e bavicha.Hata Mimi nashangaaa
Sijui mwenzetu yuko mtaa gani
Alijaza Lowasa itakuwa Lissu
Huyo zero kabisaa
Hata Rungwe anamshinda
Lowasa hawezi kumfikia Lissu hata kidogo. LOWASA ALIKUWA NA SERA GANI?Alijaza Lowasa itakuwa Lissu
Huyo zero kabisaa
Hata Rungwe anamshinda
Jibu tosha.
Mh Rais, pole kwa mihangaiko ya kupiga kampeni ila nina neno moja juu yako usiku Waldo nalo ni siri japo sio Siri baada yakuandika hapa.
Hali inayoendelea hata tukiwa wanafiki na kuwa tumekunywa maji ya bendera mwisho pumzi zitakata na zikikata mashambulizi yatakuwa makali zaidi kuliko wakati huu tuna nguvu.
Asikudanganye mtu, hali sio hali, yani hata kama ni kwa goli la mkono, ila mtiti huu utakusumbua katk awamu yako ya pili kiasi utahisi kila mtu ni msaliti.
Kuna hali sio ya kawaida huku uraiani, yani watu wamejawa na machungu kiasi hawana pa kupumulia ila tu 28.10.2020.
Majeshi na idara za usalama hawatoweza kudhibiti hili vuguvugu na wakiweza basi watu wengi watakuwa silence jambo litazidi kuibuwa vuguvugu jingine baya zaidi, jambo litazigawa idara zako za ushauri.
Uongozi ni kuacha alama na ili ufanikiwe kubali yaishe, kaa na waliokuweka vua urais wako omba ushauri Ila kumbuka shida ipo nyingine Nani wakukupa honest feedback kwa aina ya uongoz wako mkali sana Mzee wangu hapa tafuta MTU tu akusaidie upewe honest feed back japo sijui kama utaipata Mungu akusaidie.
Pamoja umefanya yote mazuri Ila trust me umeshindwa ishi mioyoni mwa Watanzania. Embu jiulize why? Umeme umetadanza kama uyoga, maji kama yote, mahospitali kama yote, madege, reli.
Yani hakuna mahali hujagusa, umefanya mambo makubwa sana ila umeshindwa kula na kipofu, sasa kipofu kapata kipofu aliewahi kuona hapo zamani Ila baadae akawa kipofu. Amewaambia vipofu wenzake huko sio, hiyo njia sio, wamemwamini ani ni shida ukiweka Jiwe na Magi watu wanapigia Kura Jiwe. Why umesahau wakolon walitupa shanga Sisi tukawapa madini?
Ona sasa mziki huu jamaa Hana bango Hana vyombo vya habari Ila ameteka nchi kweupe.
Waite wazee wakushauri maana najuwa uchaguzi huu hautokuwa Rahisi kama tunavyodhani.
Unachoshangaa Nini Sasa
Na bado ataendelea kutawalaLowasa hawezi kumfikia Lissu hata kidogo. LOWASA ALIKUWA NA SERA GANI?
leo kila mbinu ya wizi inabumbuluka kabla ya kuanza.
Lissu ametujengea ujasiri ambao hakuna mtu yeyote aliwahi tokea.
Lissu ametuonesha jinsi ilivyongumu kuhinda uchaguzi huu tofauti na Lowasa anatwambia tukapige kura mengine tumwachie....kumbe mzee mnafiki amekula dili na jpm
Hii haitatokea mwaka huu. Pili roho mbaya na uchawi wa magu unamuandama na mikosi, nuksi....nk
Anapumbaza tuView attachment 1585078
Hii ni historia
Hapo hata mi nashindwaga kuelewa haya mambo nayaonaga JF tu mtaani hamna kabisa ila ukifungua JF 😂😂 utasema nchi imepinduliwaHata Mimi nashangaaa
Sijui mwenzetu yuko mtaa gani
Huwezi kuona maana akili yako anayo mtu mwingine....[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Najaribu kuona hiki ulichokiandika huku mtaani lakini sioni
Na wanakesha usiku kucha kumsubiri kama jana kule Karatu.Haya mlitakiw akumshauri toka 2016.
Hali ilivyo asidhani vyombo vya polisi na usalama vitamuokoa. Itafika kipindi hata hao wanaompa kbri watajitoa. Watagawanyika maana ukweli uko wazi
Kweli Raia ili ajaze wafuasi mpaka awasombe kwa mabasi?? Kwamba Wananchi hawawezi kuja wenyewe?? Yaani mpaka walipwe? Kwanini wnaanchi wamekuw na hasira dhidi yake kiasi hiki?
Wakati ccm inalipa na kubeba wahudhuriaji Tundu lisu wahudhuriaji ndio wanaomchangia pesa
Kule Twitter vinganganizi kama hawa huwa wako kwenye pay rolls, waweza kukuta huyu ni mmoja wao.Utakua na roho ya ubishi na kiburi Kama hutishwi na hali ilivyo
Heheee Kapige magoti basi. Kesho mtagalagala kwenye mavumbi😁😁😁Hakuna ugumu wowote
Woga wako tu
Sijaona was kumtetemesha Magu
Na anaishhi mioyoni mwetu
Magufuli babalaooo