Uchaguzi 2020 Dkt. Magufuli ongea na wazee, wakuu wa Taifa! Sioni mwisho mwema kama nabii

Too late. Ngoja abamizwe akajutie Chato. Anajiziuka na makundi feki ya wanaojitokeza kwenye mikutano yake. Watu wanafuata kumshangaa mtu aliyeharibu mifumo ya maisha katika nchi yenye amani. Wanakuja kwenye tamasha la wasanii, wanakuja kushangaa movie za walinzi, kutazama safu za magari yanayotisha na helikopta angani.

Ukweli ni huu, katika umati wote ule atapata kura chini ya robo tu.
 
Ndege John, Imhotep, TumainEl, Mahanju, gussie....sasa mmeelewa tulichowahubiria miaka 5
Nataka mabadiliko wameshakula Sana hii nchi waache yu na wengine wale hata km tutapigwa Tena nafuu kuliwa kuliwa na wale wale wanapeana maisha wao kwa wao maarufu...pum.bav kbs CCM mmetuvunjia heshima vijana kwa kutunyima ajira na huku tumesoma kwa mamilioni ni heri tungefanya biashara mapema
 
Ukweli mtupu. Na yeye kaona ndio maana kaja na strategy mpya ya kujiliza kwemye maiki. Yale yale ya Makonda.
 
A
Ungekunywa Kvanta Na Maandazi ungerudia ufahamu wako huku uraiani tuko Powa sisi Vijana tunaojituma. Nyie BAVICHA MNAEMSUBILIA LISSU AWE RAIS AWAJAZE MAHELA AU ABADILI MAISHA MTANGOJA SANA

MAGUFULI 5 TENA
 
Polepole Ndio ametuponza kwa kuwa dharau hadharani wazee wetu na kusema '' hatutaki Tena shikamoo wasanii wanatosha""
Wazee kama Akina Kinana na Makamba wamedhalilishwa na polepole hadharani eti '' tumewapa karipio hii CCM sio walio izoea shikamoo Hawa kama vipi waende wanakotaka''
Kwa kweli kauli kama hizi zimetuvunja moyo wazee na makada wa Chama
Kwa Mara ya kwanza makada wa Chama wanaweza kupigia kura upinzani
 
Kweli kabisa. Yaani watanzania wengi maskini wakati wengine wananemeka. Hivi kweli kuna haja ya mtu anastaff ni mkurugenzi wa PSPF anapewa tena ubalozi??
Au mtu anastafu Maj General anapewa tena Ubunge?? Au mtu anamaliza ukuregenzi Taasisi fulani anateuliwa tena kuwa mkuu wa mkoa?? Why why?? Wengine tufannye nini sasa??
 
Laana inawatafuna.
 
Naona hii ni project mpya ya Zero Chakubanga.
 
Umeshamaliza kuota? Tunaheshimu hisia zako lakini ziko tofauti na uhalisia. Maelezo yako hayana takwimu. CCM ina wanachama wangapi, je unajua idadi ya wapiga kura? CCM ina mtaji mkubwa. Hizo hadithi wasimulie wanao na endeleeni kumdanganya wakala wa mabeberu!
 
Acha kabisa mkuu
CCM wachoyo sana hawaonei huruma watoto wa maskini
Mwinyi kawa raisi na Tena mwinyi mtoto anapewa urais
Hadija kopa kala mahela na Tena zuchu wanampa maisha Wana force ndo tabia zao...CCM wanafanya kazi Kama walevi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…