Uchaguzi 2020 Dkt. Magufuli unamtenga Jakaya Kikwete kwenye Kampeni zako, kumbuka ndiye aliyekupa Urais 2015. Muangukie akusaidie

Marehemu naye alikuwa na jaziba
 
kampeni hua na amsha amsha pale panapokua na ushindani na hata wananchi hua na morali sana bt kwa sasa hakuna ushindani wowote ule njia ni nyeupe ndo maana hakuna amsha amsha.
 
Hebu tulia wewe, unawashwa washwa na nini ? Magufuli ameshashinda huu uchaguzi akiamua anaweza hata akafunga kampeni leo na akapata ushindi zaidi ya asilimia 70%, wanyonge wote tunamkubali mtetezi wetu.
 
Ushindi wa Magufuli mwaka huu ni kwa 90%.

Wabunge wa Chadema watapewa wasiozidi 5 kwaajili tu ya kuchangamsha bunge.
 
Hahaha risasi 16 ndio ilikuwa ndio njia ya mkato.

Kuongea hajui, kujenga hoja hajui, anjua kutukana, kukejeli na KUFOKA.

Alizoea tangu 2015 ana FOKA peke yake nchi nzima, sasa kabaki na shati la KIJANI tu hahaha.
 
Hebu tulia wewe, unawashwa washwa na nini ? Magufuli ameshashinda huu uchaguzi akiamua anaweza hata akafunga kampeni leo na akapata ushindi zaidi ya asilimia 70%, wanyonge wote tunamkubali mtetezi wetu.
Unajua maana ya mnyonge au unajiharishia tu ka bata
 
Endelea kupata ndoto za mchana, huwa ni tamu kishenzi
 
Salaam,

1. Kuhamia Dodoma ni Idea ya Mwalimu Nyerere
2. Stiegler's Gorge ni Idea ya Nyerere
3. Flyover zote ni Idea za Jakaya Kikwete
4. TASAF ni Idea ya Mkapa
5. Umeme Vijijini REA ni Idea ya Kikwete nk.
Haupo fair kabisa!!
Unamsifia mtu kuwa na “idea” then you try to discredit aliyetelekeza hizo ideas!!

William Shakespeare aliwahi kunena “Thoughts are but dreams until their effects are tried”.

Ni rahisi mtu kusema au kuandika nitagawa UBWABWA WA NYAMA bure lakini ni vigumu kutelekeza!

Magufuli ameweza kufanya walichoshindwa wenye “idea”!!
 
Nakumbuka mwaka 2015 alipo magufuli lazima Bulembo awepo.
Ila mwaka 2020 alipo Magufuli lazima waimba singeli wawepo.
Yaani saa hivi ile kampeni meneja haipo tena anaipiga mwenyewe yaani ni jeshi la mtu mmoja
 
Ok asante nimekuelewa
 
Haupo fair kabisa!!
Unamsifia mtu kuwa na “idea” then you try to discredit aliyetelekeza hizo ideas
Aliyetekeleza kugawa ubwabwa nyama bure ni Mzee Rungwe peke yake, sifa na kura zimuendee🤣🤣🤣
 
Tungeendelea na huyo mswahili kwa miaka 20 kila kitu kingeuzwa.usitukumbushe mambo ya ricmond, iptl, twiga wanabebwa wazima acha bwana.
Aliyeanza kuuza makampuni ya umma ni Mkapa.

Mnyonge mnyongeni, haki yake mpeni.
 
Kuna watu mmezaliwa kuchochea chuki tuu yani..... Kwani lini na wapi JK kalalamika kwamba ametengwa?
 
Ni ngumu sana kujua Magufuli ni Mtu Wa namna gani...anaweza akaamka akawaambia kuwa "maendereo hayana chama" au "Mimi ni raisi Wa Watanzania wote na ninawapenda sana ndugu zangu au nasema uongo jamaniii!
Nimecheka sana mkuu😄😄😄
 
Jakaya mtoto wa mjini. siasa za vita na uhasama hanaga time nazo!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…