Dkt. Mahera acha masihara na uchaguzi huu. Hujajibu hoja tata za Mnyika

Dkt. Mahera acha masihara na uchaguzi huu. Hujajibu hoja tata za Mnyika

assadsyria3

JF-Expert Member
Joined
Apr 9, 2013
Posts
6,905
Reaction score
4,054
Dkt. Mahera kuwa makini watanzania watano wamefariki kwa sababu ya nyinyi kuleta mkanganyiko hapo jana.

Umejitokeza kujibu hoja lakini hukujibu hoja nzito za mnyika

1) Wasimamizi kwa makusudi kukataa kuwaapisha mawakala wa chadema wewe unasema kuhusu umbali je wale walioleta jeuri na kuvunja sheria hawana makosa

2) Mawakala kupewa nakala ya kiapo na barua ya utambulisho.

Please jitokeze ukemee tabia hizi za Wakurugenzi usije kuimwaga damu ya watanzania.

Kinga ni Bora kuliko tiba
 
Tatizo ni mgawanyo wa madaraka.

Wasimamizi wa uchaguzi ni wakurugenzi wa halmashauri, Boss wao ni Rais, ndiye aliyewateua.

Mkurugenzi wa Tume ya uchaguzi naye kateuliwa na rais.

Unaweza kusema wako level moja, hiyo ndiyo inawafanya wasimamizi wa uchaguzi wadharau au kukaidi maelekezo ya mkurugenzi wa Tume ya uchaguzi na kuamua kufua walichoambiwa na mteule wao pale aliposema "nikuteue, nikupe mshahara na gari la kutembelea halafu umtangaze mpinzani kuwa mshindi, iiiiiiiiii!!!!. Mkurugenzi wa tume anajitahidi kuelekeza kinachotakiwa lakini wasimamizi wa uchaguzi wanaofanya ndivyo sivyo!
 
NEC ni kama speakers za radio tu, maelekezo yote wanataka kwa gari John
 
Mahera ni kama mdoli, nikikumbuka ile picha aliyopiga akiwa na Magufuli kaweka mikono mbele kama kondoo anapelekwa kuchinjwa ndio kabisa napoteza imani nae.
🙆🏽‍♂️🙆🏽‍♂️🙆🏽‍♂️
 
Nchi haina amani hii bali imejaa watu wavumilivu na mwisho wa Uvumilivu ni kwenye Uchaguzi wa mwaka huu.
" Kama mbwai na iwe mbwai"
 
Nchi haina akani hii bali imejaa watu wavumilivu na mwisho wa Uvumilivu ni kwwnye Uchaguzi huu.
" Kama mbwai na iwe mbwai"
Kwa kaundika tuu Mko Vizuri, Mtu hujawah hata kulala Sero Leo unajidai mgumu, pumbaff

Nikuone Tarehe 28/10 Barabarani Shenzzz
 
Tatizo ni mgawanyo wa madaraka.

Wasimamizi wa uchaguzi ni wakurugenzi wa halmashauri, Boss wao ni Rais, ndiye aliyewateua.

Mkurugenzi wa Tume ya uchaguzi naye kateuliwa na rais.

Unaweza kusema wako level moja, hiyo ndiyo inawafanya wasimamizi wa uchaguzi wadharau au kukaidi maelekezo ya mkurugenzi wa Tume ya uchaguzi na kuamua kufua walichoambiwa na mteule wao pale aliposema "nikuteue, nikupe mshahara na gari la kutembelea halafu umtangaze mpinzani kuwa mshindi, iiiiiiiiii!!!!. Mkurugenzi wa tume anajitahidi kuelekeza kinachotakiwa lakini wasimamizi wa uchaguzi wanaofanya ndivyo sivyo!
Maneno mazito
 
Mshukuruni Mungu kwa kila jambo. Mungu ana makusudi yake kutuwekea manoti pale. Anatuvumbua macho kua nchi yenu inahitaji mabadiliko ya kimfumo.
 
Kwa kaundika tuu Mko Vizuri, Mtu hujawah hata kulala Sero Leo unajidai mgumu, pumbaff

Nikuone Tarehe 28/10 Barabarani Shenzzz
Hizo nchi unazoziona zina machafuko unafikiri yalianzaje ndugu.Tuombe tuvuke salama lkn usijitoe fahamu kwamba machafuko hayawezi kutokea.Kwani sisi ni nani labda.
 
Hili ni kama TV la chogo linapigwa rimoti tu

Mfumo wa upatikanaji wa hizi Taasisi ni Mfumo mmbovu sana ,na ndio Sababu kwa wenye kufikiri sawa sawa wanasema wnaahitaji Tume Huru sababu hii iliyopo sio Huru hata kidogo.Ni rahisi sana kunywa Damu za Watu ili matakwa ya Boss yatimie na sio vinginevyo.

Hamjiulizi ni kwa nini Wapinzani hasa CHADEMA na
ACT ndio ambao huonekana mara zote kuwa ni wakosaji !!..
 
Tatizo wakurugenzi wanawajibika kwa rais na wala sio kwa tume, na tume nayo inawajibika kwa huyo huyo rais, ni shida tupu.

Uchaguzi wa nchi hii haitakaa iwe huru hata siku moja. Never.
 
Back
Top Bottom