Dkt. Mengi alivyomchukua Jacky kwa Kinje

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mleta post naona katupiga kamba eti"lilikuwa bifu zito pesa ikashinda"


Unajua chochote kuhusu huyo Mzungu mbulugaria na project alizokuwa anawafanyisha wadada wa mjini huko bondeni?
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mleta post naona katupiga kamba eti"lilikuwa bifu zito pesa ikashinda"


Unajua chochote kuhusu huyo Mzungu mbulugaria na project alizokuwa anawafanyisha wadada wa mjini huko bondeni?
Hakuna kitu kama hicho, Kinje alisha ibiwa, lakini Jacky alivyorudi alijipitisha akifikiri kinje angemrudia ila wapi, Mzungu sijui alikuwa ana push nini huko South na TZ, ila waliahidiwa kuwa wanaolewa wanaenda nchi za ulaya huko shoga ake mpaka akajibebesha mimba lakini aliachwa na mimba, akajipatia mtoto handsom balaa.
 
Shoga yake yupi Irene?na je hiyo mimba alipewa na huyo huyo mbulugaria?
 
Shoga yake yupi Irene?na je hiyo mimba alipewa na huyo huyo mbulugaria?
Huyo huyo alipewa na mzungu sijuindio wa bulgaria au, ila ni rafiki na yule wa Jacky, na walikuwa wanafanya wote biashara, wadada waliachwa hotel yaani waliachwa na nauli tu hata hela ya kuanzia maisha hakuna, Irene kwao walimtimua akapewa hifadhi na mama mmoja rafiki hadi akajifungua.
 
Duh!!!kumbe wamepambana na kupitia mengi hawa mabinti hivi Irene ana elimu gani huwa namwona ni binti flani makini?
 
Duh!!!kumbe wamepambana na kupitia mengi hawa mabinti hivi Irene ana elimu gani huwa namwona ni binti flani makini?
Irene yuko makini kutakmaisha ya juu, sasa hivi katulia kwa sababu amepata bwana mwenye hela ya ufusadi wa baba ake, wale hawataki maisha ya kupima mkaa kwa Dula, wala kwenda gengeni kwa mama Juma mkuu, Irene nadhani kapita mlimani chuo.
 
Ahsante umemaliza utata hata Mimi nilichelea kusema nilijua labda sijui kitu
 
Kuna mmoja jina limenitoka kabisa, alikuwa 2003 au 2004, alikuwa mweupe halafu mnene, sijawahi kumsikia baada ya hapo.

Nilikuwa namwona chuo miaka hiyo, ila baada ya kumaliza sikumsikia tena.

Ni either before au after Happiness Magesa.
Silvia Bahame
 
Kwamba hata madam Jack nae ashawahi kuwa mdangaji ?
 
Hivi kuna mtu amekula bata awamu ya kwanza?
wapo wengi mkuu, tena la hawa watoto ambao baba zao walikuwa serikalini, na kwenye mashirika ya uma wamekula bata mbaya, enzi hizo osterbay, watoto nao walikuwa wazuri balaa mpaka unashangaa, siku hizi sijui kwa nini wazuri ni wa ushwahilini? Mabadiliko ya tabia nchi..Awamu ya kwanza binti na mabraza men wa kishua ndio kina kinje, wamekula sana bata..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…