Blessed Keinerugaba
JF-Expert Member
- Nov 16, 2011
- 4,754
- 4,746
Eti Marahaba! Haya Mkuu, by the way ile comment yako ikinufanya nisusimuke sana!Marahaba mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Eti Marahaba! Haya Mkuu, by the way ile comment yako ikinufanya nisusimuke sana!Marahaba mkuu
Kweli kudanga ni mchezo wa zamani umebdailika jina tuuKuna wakati alikua ana hunt madanga enzi za Kilimanjaro Hotel.
punguza wivu..mkuuNin wewe.... Acha kujisahau.
Unashikwa kidevu unajiaaaachia.... Unajikuta namna gaaaani vipi.
Wengine midume iyo.. Inakuchora tu na google drive zako.
Mjini hapa utaibiwa.
Mtoto wa kipare mwenye exposure anyenyekee mtu? We uliskia wapi??? Vibinti vya kipare kiburi kiko kwenye DNA.Mange akili ipo kweli sema mdomo unamkwamisha. Sio mtu anaejua kunyenyekea atimize shida yake.
Mwamvita kwa yote Mange amemfanyia sidhani kama ataweza kukaa nae meza moja labda Mange amuombe msamaha. Na yule mpare alivyo kiburi sidhabi kama ataweza
Ipi tena??Eti Marahaba! Haya Mkuu, by the way ile comment yako ikinufanya nisusimuke sana!
Wabeshi = Wapigaji wa kutumia akili kubwa!Teh teh teh
Kipeme jina kibeshi hilo mkuu
Duh kumbe kudanga imeanza zamaniMkuu Mengi hakumchukua Jacky kwa Kinje, Mengi amemchukua Jacky akiwa hana bwana wa maana, alikuwa anajizungusha pale Kilimanjaro hotel, bi dada kutwa na maifile anakaa anajifanya yuko busy kumbe alikuwa anadanga, kama zile file zilikuwa na maandishi itakuwa ni mistari ya bongo fleva tu.. Kinje aliporwa na mzungu, mzungu akamla akaenda kumuacha south Africa , wakarudi na shoga ake WAPOLE..
Ulichoandika hapa nikilinganisha na povu flani la Mange nililowahi kulisoma enzi zile, napata picha.Mkuu Mengi hakumchukua Jacky kwa Kinje, Mengi amemchukua Jacky akiwa hana bwana wa maana, alikuwa anajizungusha pale Kilimanjaro hotel, bi dada kutwa na maifile anakaa anajifanya yuko busy kumbe alikuwa anadanga, kama zile file zilikuwa na maandishi itakuwa ni mistari ya bongo fleva tu.. Kinje aliporwa na mzungu, mzungu akamla akaenda kumuacha south Africa , wakarudi na shoga ake WAPOLE..