Dkt. Mengi alivyomchukua Jacky kwa Kinje

Dkt. Mengi alivyomchukua Jacky kwa Kinje

m
Mange akili ipo kweli sema mdomo unamkwamisha. Sio mtu anaejua kunyenyekea atimize shida yake.
Mwamvita kwa yote Mange amemfanyia sidhani kama ataweza kukaa nae meza moja labda Mange amuombe msamaha. Na yule mpare alivyo kiburi sidhabi kama ataweza
Mtoto wa kipare mwenye exposure anyenyekee mtu? We uliskia wapi??? Vibinti vya kipare kiburi kiko kwenye DNA.
 
Mkuu Mengi hakumchukua Jacky kwa Kinje, Mengi amemchukua Jacky akiwa hana bwana wa maana, alikuwa anajizungusha pale Kilimanjaro hotel, bi dada kutwa na maifile anakaa anajifanya yuko busy kumbe alikuwa anadanga, kama zile file zilikuwa na maandishi itakuwa ni mistari ya bongo fleva tu.. Kinje aliporwa na mzungu, mzungu akamla akaenda kumuacha south Africa , wakarudi na shoga ake WAPOLE..
Duh kumbe kudanga imeanza zamani

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
 
Mkuu Mengi hakumchukua Jacky kwa Kinje, Mengi amemchukua Jacky akiwa hana bwana wa maana, alikuwa anajizungusha pale Kilimanjaro hotel, bi dada kutwa na maifile anakaa anajifanya yuko busy kumbe alikuwa anadanga, kama zile file zilikuwa na maandishi itakuwa ni mistari ya bongo fleva tu.. Kinje aliporwa na mzungu, mzungu akamla akaenda kumuacha south Africa , wakarudi na shoga ake WAPOLE..
Ulichoandika hapa nikilinganisha na povu flani la Mange nililowahi kulisoma enzi zile, napata picha.
 
Back
Top Bottom