Dkt. Mengi alivyomchukua Jacky kwa Kinje

Uzi mzuri but still iko kwenye level ya watu wadogo! Tunajadili watu badala ya vitu na mawazo mapya. Nilijua inahusu namna ya kuwa km Mengi. Mengi kaacha legacy, how about us? GUYS THINK BIG! Mashoga wengi mjini mpk kero.
Hapo ndipo tunapokwama.
 
Miaka uliyoweka hapo juu nakumbuka Bss ya madam ndio ilikuwa inaanza akawa anafanyia Itv inamaana kipindi hiyo alikuwa bado hajawa na ukaribu na madam?nilijuwa miaka hiyo ndio walikuwa karibu ndio maana akapata shavu la kipindi chake kurushwa pale.
 
W

"Khadija Kopa akiacha pengo itaendelea taarabu? Komba naye akianguka itaendelea kwaya? Achimenengule Band wenzake si wataigwaya? Huwa nawaza sana siku akitutoka Ndugu Mengi,nani ataziba pengo na huyu kipenzi cha wengi?" - Waswahili PENGO 2003
Walikuwa waswahili kweli nyimbo zao zilikuwa zinakamata wengi waqt wao.
 
Hizo "Likes" ingekuwa ni Pesa zinaingia kwenye Account ingekuwa Poa sanaa. Si kila anaekuchekea na kukupa likes kafurahishwa nawe, wengine wanashangaa "U-bogus" wako hadi inawabidi watoe likes tuu!

Maneno ya mkosaji hayo!
 
Huu uzi mzuri,kongole kwa muanzisha uzi
Ila wako watu wachache Sana waloongea reality na wanaonekana watoto wa mujini,hawazidi watatu ,mwanzisha uzi included.
Wengine kina sie ni wadandiaji tu,wameufanya uzi ukapoteza ladha kiasi flani.Sometimes ni nyema ukawa mpenzi msomaji ili kuupa uzi uhalisia,hakuna tuzo za kupretend mjuaji while maandishi tu yanaonyesha unadandia points.
 
ila dada mkubwa alitugeia ubuyu kuwa Salama nae aliwah kubakwaa na ndio chanzo cha kipindi cha kukosoa video kufaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…