Dkt. Mengi alivyomchukua Jacky kwa Kinje

Kuna mmoja jina limenitoka kabisa, alikuwa 2003 au 2004, alikuwa mweupe halafu mnene, sijawahi kumsikia baada ya hapo.

Nilikuwa namwona chuo miaka hiyo, ila baada ya kumaliza sikumsikia tena.

Ni either before au after Happiness Magesa.
alikuwa Angela Damas
 
Nitakwambia kitu hapa, humu ndani tulioko ndiyo tulio nje.

Ingawa wakati mwingine tunajificha kwa ID fake, lakini bado tuna wajibu wa kupeana heshima kama ilivyo nje.

Shukrani kwa compliment.
Nin wewe.... Acha kujisahau.

Unashikwa kidevu unajiaaaachia.... Unajikuta namna gaaaani vipi.

Wengine midume iyo.. Inakuchora tu na google drive zako.

Mjini hapa utaibiwa.
 
A
Haaah! ishi! ...coke imeisha kiu hakijakata..ongezea nyama tupunguze njaa ya jumatatu!
 
Kwa kweli, kuna kesi moja aligonga gari, alipokamatwa na traffic alipiga simu akaambiwa nipe huyo askari niongee nae.

Masikini yule Askari sijui aliambiwa nini, lakini alivyofika nyumbani alijiua.
askari akajiua? mwaka gani hiyo?
 
Jack aliona amfuate Mengi mwenye pesa zake,sio Kinje mwenye kutegemea za mzee Kingunge. Kije arudie sasa koloni lake.
Kinje alipata shida sana kwa huyu Jackie,kuna wakati alitoroka na tapeli la Kibulgaria aliyekuwa anaendesha michezo za lotto nasikia walienda kula bata Msumbiji,kinje alimfuata huko lakiniwapi na wakati huu mdada alikuwa amevalishwa pete na Kijna ,Huyu dada si wa mchezo .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…