Contraband
JF-Expert Member
- Nov 14, 2021
- 1,036
- 2,807
Sahihi mkuu kuna mbegu wamemodify ina CBD pekee ambaye ndiyo content inayotumika kwenye kusindika madawa na ina faida nyingi kiafya.Kwenye Bangi kemikali inayoleta Uchizi ni THC ni kuagiza mbegu ambayi imefanyiwa Modification na kutolewa hiyo THC.