TANZIA Dkt. Misanya Bingi, Mhadhiri wa UDSM na Mtangazaji wa zamani wa Radio One afariki dunia

TANZIA Dkt. Misanya Bingi, Mhadhiri wa UDSM na Mtangazaji wa zamani wa Radio One afariki dunia

Tusker Bariiiidi

JF-Expert Member
Joined
Jul 3, 2007
Posts
5,551
Reaction score
2,153
Wadau za Jioni,

Aliyewahi kuwa Mtangazaji Maarufu wa Radio One enzi hizo, Misanya Bingi anaumwa baada ya kupata na Stroke na kupelekea kulazwa katika Chumba cha uangalizi maalum Muhimbili.

Wadau Tumuombee.

9FC7574B-D425-40B2-94B9-112B06543D24.jpeg

Misanya Bingi (pichani)

=======

UPDATE:

Dkt. Misanya Bingi amefariki dunia. Msiba upo Makongo juu, Dar.

Aliwahi kuwa Mtangazaji wa Radio One kabla ya kuwa Mhadhiri wa UDSM

Amefariki katika Hospitali ya Taifa, Muhimbili baada ya kuugua kwa muda mfupi

Habari zaidi, soma=>Misanya Bingi sasa ni Daktari wa Falsafa (PhD) - JamiiForums
 
Back
Top Bottom