Dkt. Mollel: Gharama za kutibu wagonjwa wa Kisukari ni Tsh. Bilioni 300 kwa mwaka

Dkt. Mollel: Gharama za kutibu wagonjwa wa Kisukari ni Tsh. Bilioni 300 kwa mwaka

Roving Journalist

JF Roving Journalist
Joined
Apr 18, 2017
Posts
3,984
Reaction score
13,760
Fuatilia yanayojiri kwenye Bunge la 12, Mkutano wa 14, Kikao cha 6, leo Januari 6, 2024.


Gharama ya kutibu wagonjwa wa sukari kwa mwaka ni TZS bilioni 300, na gharama za kutibu wagonjwa wote wa tezi dume ni TZS bilioni 46.42, hivyo kupelekea jumla ya gharama za matibabu kwa magonjwa haya mawili tu kufikia TZS bilioni 346.42, wakati bajeti ya dawa na vifaa tiba kwa mwaka ni TZS bilioni 200.

Hivyo, ikitokea huduma ya matibabu kwa magonjwa haya mawili kutolewa bure itapelekea huduma nyingine katika nchi kusimama.” – Dkt. Godwin Mollel, Naibu Waziri wa Afya
 
Fuatilia yanayojiri kwenye Bunge la 12, Mkutano wa 14, Kikao cha 6, leo Januari 6, 2024.


Gharama ya kutibu wagonjwa wa sukari kwa mwaka ni TZS bilioni 300, na gharama za kutibu wagonjwa wote wa tezi dume ni TZS bilioni 46.42, hivyo kupelekea jumla ya gharama za matibabu kwa magonjwa haya mawili tu kufikia TZS bilioni 346.42, wakati bajeti ya dawa na vifaa tiba kwa mwaka ni TZS bilioni 200.

Hivyo, ikitokea huduma ya matibabu kwa magonjwa haya mawili kutolewa bure itapelekea huduma nyingine katika nchi kusimama.” – Dkt. Godwin Mollel, Naibu Waziri wa Afya

Hawa wajinga waache utani, 300B ni nini kwenye 40T?
 
Kuna upigaji wa hali ya juu sana kwenye hizo Billion 300 za Kisukari.
 
Fuatilia yanayojiri kwenye Bunge la 12, Mkutano wa 14, Kikao cha 6, leo Januari 6, 2024.


Gharama ya kutibu wagonjwa wa sukari kwa mwaka ni TZS bilioni 300, na gharama za kutibu wagonjwa wote wa tezi dume ni TZS bilioni 46.42, hivyo kupelekea jumla ya gharama za matibabu kwa magonjwa haya mawili tu kufikia TZS bilioni 346.42, wakati bajeti ya dawa na vifaa tiba kwa mwaka ni TZS bilioni 200.

Hivyo, ikitokea huduma ya matibabu kwa magonjwa haya mawili kutolewa bure itapelekea huduma nyingine katika nchi kusimama.” – Dkt. Godwin Mollel, Naibu Waziri wa Afya

Huyu chawa mimi huwa simuamini kabisa
 

Attachments

  • 20231209_105134.jpg
    20231209_105134.jpg
    83.1 KB · Views: 3
Fuatilia yanayojiri kwenye Bunge la 12, Mkutano wa 14, Kikao cha 6, leo Januari 6, 2024.


Gharama ya kutibu wagonjwa wa sukari kwa mwaka ni TZS bilioni 300, na gharama za kutibu wagonjwa wote wa tezi dume ni TZS bilioni 46.42, hivyo kupelekea jumla ya gharama za matibabu kwa magonjwa haya mawili tu kufikia TZS bilioni 346.42, wakati bajeti ya dawa na vifaa tiba kwa mwaka ni TZS bilioni 200.

Hivyo, ikitokea huduma ya matibabu kwa magonjwa haya mawili kutolewa bure itapelekea huduma nyingine katika nchi kusimama.” – Dkt. Godwin Mollel, Naibu Waziri wa Afya

Kwani kuna watu wanatibiwa bure !
 
Back
Top Bottom