Kiranja Mkuu
JF-Expert Member
- Feb 18, 2010
- 4,219
- 4,608
CCM ni mama wa matatizo yote nchini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Katiba mpya inanukia !!Huku mbona tayari kesha fungwa paka kengele. Au humwamini huyu mzito?
Ninakazia: Dk Mpango: Mfumo wa haki jinai una matatizo mengi
Itakuwa habari mbaya sana kwenye hii.
Huyu katangulia kemye tanuru la moto bladifakenbora hata alivyotangulia mbele ya haki
Ilikuwa mamlaka ya yule mwovu wa chatoHiyo maana yake polisi wanawaficha watuhumiwa, wanafanya hivyo kwa mamlaka yapi waliyonayo?
Hawa jamaa kila siku wanazidi kuonekana walivyo wavunja sheria namba moja, hawawezi kuwa watetezi wa wanyonge tena, wala kulinda mali za raia, hilo jeshi lifumuliwe kabisa.