Dkt. Mpango: Aliyetoweka na kufanyiwa matanga hatimaye alipatikana mbaroni Polisi

Dkt. Mpango: Aliyetoweka na kufanyiwa matanga hatimaye alipatikana mbaroni Polisi

Hiyo maana yake polisi wanawaficha watuhumiwa, wanafanya hivyo kwa mamlaka yapi waliyonayo?

Hawa jamaa kila siku wanazidi kuonekana walivyo wavunja sheria namba moja, hawawezi kuwa watetezi wa wanyonge tena, wala kulinda mali za raia, hilo jeshi lifumuliwe kabisa.
 
Hiyo maana yake polisi wanawaficha watuhumiwa, wanafanya hivyo kwa mamlaka yapi waliyonayo?

Hawa jamaa kila siku wanazidi kuonekana walivyo wavunja sheria namba moja, hawawezi kuwa watetezi wa wanyonge tena, wala kulinda mali za raia, hilo jeshi lifumuliwe kabisa.
Ilikuwa mamlaka ya yule mwovu wa chato
 
Back
Top Bottom