Dkt. Mpango: Mkandarasi wa Bwawa la Nyerere hana Uzoefu, pia mradi upo nyuma ya muda

Dkt. Mpango: Mkandarasi wa Bwawa la Nyerere hana Uzoefu, pia mradi upo nyuma ya muda

Tanzania ni zaidi ya uijuavyo...

Kwahiyo, kwa lugha inayoeleweka, Mkandarasi HANA SIFA za kupewa hiyo kazi lakini serikali ya Rais Mtukufu bado ikatoa kazi kwa Mkandarasi asiye na sifa!

Yaani, kwa maana nyingine tulimpa kazi Middle Man...

Na pesa anapewa Middle Man

Middle Man anachukua chake, na kinachobaki anawapa subcontractors wanaofanya kazi yenyewe!!

Yaani ni sawa na mtu unampa kazi Civil Contractor akujengee mjengo halafu nae ana-subcontract kila idara including civil works!
Hapa kunajambo tunadanganuwa waz waz mbona huu mradi ulienda kwa spidi wkt wa Magu na kwa nn sasa unakwamwa nakumbuka huu mradinulikuwa uanze zamani lkn wapi hawa watu wanatudanganya waz waz siamini conaractor hajui kaz alifanyaje mradi wakt wa magu uende fasta saiz usimame magu alisema hv wanauzaga majererator biashara yao...
 
Hapa kunajambo tunadanganuwa waz waz mbona huu mradi ulienda kwa spidi wkt wa Magu na kwa nn sasa unakwamwa nakumbuka huu mradinulikuwa uanze zamani lkn wapi hawa watu wanatudanganya waz waz siamini conaractor hajui kaz alifanyaje mradi wakt wa magu uende fasta saiz usimame magu alisema hv wanauzaga majererator biashara yao...
Ulikuwa uanze zamani ya lini wakati mwanzoni ilikadiriwa ungeanza May 2022, lakini pakatokea tatizo ambalo lili-delay kazi kwa miezi 5.

Hilo suala la subcontractor, tafuta CAG Report 2019-2020 wamelielezea! And remember, ripoti hii ilikuwa imeangalia ujenzi kwa kipindi cha 2017/2018-2019/2020, na kwa kipindi CAG alikuta kuna Subcontractors 21 and 9 Subconsultants TO ALL MAJOR PROJECT COMPONENTS!

Uzuri ni kwamba, by the time only 36.7% ya kazi ndizo zilikuwa subcontracted huku mkataba ukiruhusu a maximum of 50%. Hata hivyo, CAG bado alikuwa na concern kwa sababu miongoni mwa kazi zilizokuwa subcontracted ndo hizo nilizotaja hapo juu kwamba kulikuwa na Subcontractors 21 and 9 Subconsultants TO ALL MAJOR PROJECT COMPONENTS!
 
Mbona kama chenga dizaini hivi??
Screenshot_20220210-205826_Chrome.jpg
 
Wakati akitoa maelekezo alipotembelea mradi wa kufua wa umeme wa stiglers gorge , Mh. Mpango alipongeza kwa kazi nzuri unayoendelea na kuongea mengi yakiwemo

1. Mkandarasi Hana Uzoefu wa kutosha katika ufanyaji wa kazi zake huku akisema kwasababu anatumia subcontractor kwa karibu kazi zote kila sehemu. Serikali labda ilitaka mkandarasi mkuu afanye kazi zote peke yake, lakini sehemu nyingi ameweka wachina

2. Mkandarasi yupo nyuma ya mpango kazi, na kwamba amechelewa kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo mafuriko na uvico19. Kauli ambayo Kalemani amekuwa akitudanganya kuwa tupo mbele ya muda na maji yataanza kujazwa Mwezi wa 11 tarehe 15, na kuwasha mitambo June 2022( KAULI AMBAYO NI DHAHIRI ALITUDANGANYA NA ILIKUWA YA KISIASA) Laini Makamu wa Rais ameongea ukweli.

Kutokana na Kauli ya Mh. Makamu wa Rais ni DHAHIRI kuwa Mradi huu hautaweza kukamilika 2022 Wala 2023 Wala 2024 labda 2025.
Mhh Tanzania safari bado ni ndefu wajameni. Huyu si alikuwa Waziri wa Fedha na Mipango..sasa kulikoni tena?
 
Crane la tani 26 liko wapi kwani?
Mkuu ni vema tu wahusika waseme wazi tu kuwa wameachana na mradi huo wa bwawa ka Nyerere, tutawaelewa tu maana wana haki na nguvu za kufanya hivo. Hii ya kudanganya danganya wanajipotezea muda tu kama ule uongo wao wa yupo ofisini na lundo la mafaili.
 
Tanzania ni zaidi ya uijuavyo...

Kwahiyo, kwa lugha inayoeleweka, Mkandarasi HANA SIFA za kupewa hiyo kazi lakini serikali ya Rais Mtukufu bado ikatoa kazi kwa Mkandarasi asiye na sifa!

Yaani, kwa maana nyingine tulimpa kazi Middle Man...

Na pesa anapewa Middle Man

Middle Man anachukua chake, na kinachobaki anawapa subcontractors wanaofanya kazi yenyewe!!

Yaani ni sawa na mtu unampa kazi Civil Contractor akujengee mjengo halafu nae ana-subcontract kila idara including civil works!
Tanzania tuna tatizo la upotoshwaji wa habari, na hii chanzo chake ni ukanjanja wa wanahabari wengi tulionao.

Habari isiyokuwa na ukweli ndio inaibua mjadala miongoni mwa watu na ile yenye ukweli inapita kama vile haina umuhimu wa kujulikana.
 
Tanzania tuna tatizo la upotoshwaji wa habari, na hii chanzo chake ni ukanjanja wa wanahabari wengi tulionao.

Habari isiyokuwa na ukweli ndio inaibua mjadala miongoni mwa watu na ile yenye ukweli inapita kama vile haina umuhimu wa kujulikana.
Mkuu Bukililo,

Kwa hili Waandishi itakuwa unawaonea...

Tafuta Ripoti ya CAG (For Development Project) ya mwaka 2019/2020 na humo utaona the following highlights ambazo nilizitoa kwenye post moja wapo:-
Ningekuwa na enough time, ningeweka Ripoti ya CAG (for Development Projects) ya 2019/2020. Katika ripoti ile, kwa kuangalia muktadha huu, CAG ali-highlight mambo yafuatayo:-

1. Wakati tenda inatolewa, moja ya sharti lilikuwa ni kwa Contractor kuto-subcontract kazi yote, na kazi atakazo-subcontract zisizidi 50% of Contract Price!

Kwenye uchunguzi wake ule CAG akagundua, by the time kulikuwa na 21 Subcontractors na 9 Subconsultants. Kilichomtia hofu CAG ni kwa hao Subcontractors kupewa kile alichoita ALL MAJOR PROJECT COMPONENTS.
JNHPP SUBCONTRACTING.png

Kutokana na hilo, CAG akaeleza wazi kwamba HII INAWEZA KU-IMPAIR THE QUALITY OF WORK hata kama the quality risks inaangukia kwa Contractor.
JNHPP POSSIBLE QUALITY IMPAIRMENT.png

2. Wakati sharti la mkataba lilikuwa linamtaka Contractor kuto-subcontract more 50% of the Contract Price, kwa bahati sharti hilo lilizingatiwa na kuona ni around 37% of the Contract Price ndiyo ilikuwa subcontracted!

Hata hivyo, disclosure ya hyo subcontracted price haikuwa kazi ndogo kwa sababu Contractor aligoma kutoa na ikabidi ifanyike jitihada ya ziada kuhakikisha anatoa!!

Sasa ndipo unajiuliza kama Subcontracting yake imefuata masharti ya mkataba, ni kwanini basi alikuwa hataki kutoa!
SUBCONTRACT PRICE DISCLOSURE.png

3. Contract and Project Design Requirements ilikuwa inataka Contractor ajenge 2 Diversion Tunnels. Kwa mshangao wa CAG, Contractor akajenga ONLY ONE Diversion Tunnel!

Matokeo yake, iliponyesha mvua na mto kujaa, maji yakafanya mambo yake!!
JNHPP TUNNEL.png

What happened next day? Wakati mnaambiwa mambo ni FIRE kumbe uhalisia project ilikuwa DELAYED FOR 5 MONTHS!!
JNHPP 5 MONTHS DELAY.png


Na ripoti zingine zinaonesha, hata baada ya hiyo delay inayooneshwa hapo juu, bado delays iliendelea! Kwa mfano, as at December 31, 2020 ONLY 28% of the project was completed out of around 46% lakini huku mitaani watu walikuwa wanaaminishwa mambo ni FIRE!
Ndugu yangu residentura...

Nimeona post yako lakini amini usiamini, tatizo kuu la nchi hii sio CCM wala mawaziri wao bali ni WANANCHI...

Be the worst leader EVER... bado watatokea wa kushangilia na kukutea na uovu wako!

Na tatizo letu kubwa ni kwamba, HUWA HATUFUATILII mambo kwa undani na matokeo yake tunakuwa Victim wa Uongo wa Viongozi wa CCM!!

Amini usiamini, anayosema Makamba mengi kama sio yote aliyokuta pale TANESCO ni ukweli mtupu!!

Sio kwamba Makamba ana tofauti na viongozi wenzake wa CCM, la hasha! Kwa sababu zilizo wazi kabisa inaonesha bado ana kinyongo na JPM Administration.

Kwahiyo kwa kutumia kinyongo hicho alichonacho, ndipo nae anaamua kutumia nafasi yake kuonesha ni namna gani JPM Administration ili-handle power sector kwa uovyo kabisa!!

Yaani ni kama anamwaga mboga vile! I doubt kama angekuwa anayasema haya kwa uwazi endapo angeendelea kuwa kwenye JPM's Circle.

But trust me, mengi anayosema ni ya ukweli na yapo kwenye Ripoti za CAG za tangu wakati JPM yupo madarakani! Sema kwavile huwa hatufuatilii, ndo maana leo yakisemwa tunaona uongo tu!!

Kwa mfano, suala la watu kutoruhusiwa kufanya maintenance, LIPO KWENYE RIPOTI YA CAG. Ipo baadhi ya mitambo pale Ubungo tu ambayo ilifanya kazi kwa zaidi ya saa 10K nje ya muda ambao ilitakiwa ziwe zimefanyiwa maintanence.

Yaani, kama mtambo ulitakiwa kufanyiwa maintanence baada ya kuwa umepiga mzigo kwa saa 15K, basi CAG aliukuta ukiwa umepiga mzigo kwa saa 25K bila maintanence!!

Wakati huku mtaani tunaambiwa MAMBO NI FIRE kiasi kwamba hata ndugu yangu MALCOM LUMUMBA akashawishika kwamba inawezekana kuna hujuma kweli pale JNHP, lakini Ripoti ya CAG inasema, as at December 31, 2020 Mradi ulikuwa umeendelea kwa ONLY 28.61% wakati kwa tarehe hiyo walitakiwa wawe wamekamilisha 47%!

Yote hayo wananchi hatukujua, na wengine tulipojaribu kuweka uhalisia, tena with facts from Govt Sources, tukaambiwa tuna chuki na JPM!!

Leo hii wanaona mradi upo bado, wanalia hujuma dhidi ya JPM bila kufahamu kwamba, ingawaje tulikuwa tunaimbiwa nyimbo tamu za maendeleo ya mradi lakini hadi JPM anatangulia mbele za haki, sehemu kubwa ya mradi ilikuwa haijafanyika!

And guess what... moja ya sehemu ya ripoti inasema, 2 years baada ya kutangazwa kuanza kwa mradi, TANESCO walishindwa kutoa PROOF ya kuwepo kwa pesa za kuendeshea mradi kwa sababu walishindwa kuonesha bajeti ya mradi!

Lakini pamoja na yote hayo, huku mtaani tulikuwa tunashangilia uongo tunaoambiwa ambao unaweza kuifanya CCM iendelee kubaki madarakani kwa miaka kadhaa kwa sababu they're good in telling lies, na wananchi wanafurahia kudanganywa kwa sababu hatufuatilii na matokeo yake tumekuwa ndo agents of Lies Protections!!

Leo hii Makamba anatembelea madhaifu ya past administration as defensive mechanism but nobody believe him coz' we already believed in lies.

Makamba nae itafika wakati ambapo hatimae defensive mechanism ya kutumia JPM Administartion itakuwa No More Applicable kwa sababu atalazimika kuonesha Results and no more Updates!

Na kwavile possibly nae HATAWEZA kuonesha results, nae ataanza kutoa NEW LIES, and we'll believe him from his new lies, na atapata New Lies Defenders... it's vicious circle!!
 
Tanzania ni zaidi ya uijuavyo...

Kwahiyo, kwa lugha inayoeleweka, Mkandarasi HANA SIFA za kupewa hiyo kazi lakini serikali ya Rais Mtukufu bado ikatoa kazi kwa Mkandarasi asiye na sifa!

Yaani, kwa maana nyingine tulimpa kazi Middle Man...

Na pesa anapewa Middle Man

Middle Man anachukua chake, na kinachobaki anawapa subcontractors wanaofanya kazi yenyewe!!

Yaani ni sawa na mtu unampa kazi Civil Contractor akujengee mjengo halafu nae ana-subcontract kila idara

Tanzania ni zaidi ya uijuavyo...

Kwahiyo, kwa lugha inayoeleweka, Mkandarasi HANA SIFA za kupewa hiyo kazi lakini serikali ya Rais Mtukufu bado ikatoa kazi kwa Mkandarasi asiye na sifa!

Yaani, kwa maana nyingine tulimpa kazi Middle Man...

Na pesa anapewa Middle Man

Middle Man anachukua chake, na kinachobaki anawapa subcontractors wanaofanya kazi yenyewe!!

Yaani ni sawa na mtu unampa kazi Civil Contractor akujengee mjengo halafu nae ana-subcontract kila idara including civil works!
Ufisadi mkubwa sana umefanyika kwenye mradi huu. Sehemu kubwa ya kazi ya ujenzi inafanywa na Sino Hydro. Ukitembelea mradi huu unakuta hawa waarabu wana supervise kazi tu.
 
Wakati akitoa maelekezo alipotembelea mradi wa kufua wa umeme wa stiglers gorge , Mh. Mpango alipongeza kwa kazi nzuri unayoendelea na kuongea mengi yakiwemo

1. Mkandarasi Hana Uzoefu wa kutosha katika ufanyaji wa kazi zake huku akisema kwasababu anatumia subcontractor kwa karibu kazi zote kila sehemu. Serikali labda ilitaka mkandarasi mkuu afanye kazi zote peke yake, lakini sehemu nyingi ameweka wachina

2. Mkandarasi yupo nyuma ya mpango kazi, na kwamba amechelewa kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo mafuriko na uvico19. Kauli ambayo Kalemani amekuwa akitudanganya kuwa tupo mbele ya muda na maji yataanza kujazwa Mwezi wa 11 tarehe 15, na kuwasha mitambo June 2022( KAULI AMBAYO NI DHAHIRI ALITUDANGANYA NA ILIKUWA YA KISIASA) Laini Makamu wa Rais ameongea ukweli.

Kutokana na Kauli ya Mh. Makamu wa Rais ni DHAHIRI kuwa Mradi huu hautaweza kukamilika 2022 Wala 2023 Wala 2024 labda 2025.
Taratibu za kumpata mkandarasi zilifuatwa? Kama zilifuatwa ilikuwaje apewe huyu asiye na uzoefu. Huu ni mradi mkubwa sana na unatumia pesa nyingi za watanzania. Ilitakiwa umakini mkubwa katika kumpata mkandarasi. Hii si sawa na kipande cha barabara cha km 2! Wasiwasi wangu ni viwango, isije ikawa kwa kukosa uzoefu isije kutengenezwa bwawa lisilo na viwango sahihi. Madhara yake kila mtu anayajua!
 
Sasa si bora waanze kufuga kambale na perege kwenye hilo shimo? Au kilimo cha nyanya na vitunguu? Si ndiyo uwekezaji? Au?
Tusubiri hadi wazingu wapone corona mpaka lini?
 
Mkuu Bukililo,

Kwa hili Waandishi itakuwa unawaonea...

Tafuta Ripoti ya CAG (For Development Project) ya mwaka 2019/2020 na humo utaona the following highlights ambazo nilizitoa kwenye post moja wapo:-

View attachment 2125586

View attachment 2125589

View attachment 2125593

View attachment 2125598

View attachment 2125600

Na ripoti zingine zinaonesha, hata baada ya hiyo delay inayooneshwa hapo juu, bado delays iliendelea! Kwa mfano, as at December 31, 2020 ONLY 28% of the project was completed out of around 46% lakini huku mitaani watu walikuwa wanaaminishwa mambo ni FIRE!
Mkandarasi awezi kufanya deviation kubwa from the initial design bila ya makubaliano na mteja kwanza.

Ni sawa na wewe ulipie kuwekewa roof ya vigae kwenye nyumba yako, halafu ukute bati huo ugomvi auwezi kuwa mdogo.

Lakini ukikaa kimya kwenye mabadiliko kama hayo maana yake ni kwamba uliridhia; mkaguzi kabla ya kulaumu alitakiwa akuulize wewe mwenye mradi kama unajua umewekewa bati badala ya vigae.

Most likely hayo mambo yapo kwenye PID ya project kama kuna changes what agreements needs to be made first.

Naanza kupata mashaka na quality ya auditors wa serikali. Mtu anasema nimekuta hivi lakini asemi alimuuliza nani sababu za deviation sio client wala contractor; ila analaumu tu.
 
Mkandarasi awezi kufanya deviation kubwa from the initial design bila ya makubaliano na mteja kwanza.
We jamaa unapenda sana kujitoa ufahamu!! Bila makubaliano kivipi wakati unaona kabisa ripoti inasema:-
This is contrary to Section 12.3 of the Employer’s Requirement Vol II of December, 2017 which requires the contractor to construct two tunnels with a total discharge capacity of 7000 cubic metres per second.
Au huwa husomi?
Ni sawa na wewe ulipie kuwekewa roof ya vigae kwenye nyumba yako, halafu ukute bati huo ugomvi auwezi kuwa mdogo.
Uwe unasoma badala ya kukimbilia ku-comment ili mradi ujaribu kutetea
Naanza kupata mashaka na quality ya auditors wa serikali. Mtu anasema nimekuta hivi lakini asemi alimuuliza nani sababu za deviation sio client wala contractor; ila analaumu tu.
SHAME ON YOU!!

Yaani Contract Requirement inataja 2 Diversion Tunnels lakini inajengwa 1 Tunnel halafu CAG anahoji bila aibu unasema una mashaka na quality of auditors?

Yaani badala ya kuhoji walio-approve single instead of 2 tunnels unahoji uwezo wa aliyefichui huo ujinga ambao ulipelekea poject ku-delay kwa miezi 5?

Yaani nyie ni watu wa ajabu sana!!
 
We jamaa unapenda sana kujitoa ufahamu!! Bila makubaliano kivipi wakati unaona kabisa ripoti inasema:-

Au huwa husomi?

Uwe unasoma badala ya kukimbilia ku-comment ili mradi ujaribu kutetea

SHAME ON YOU!!

Yaani Contract Requirement inataja 2 Diversion Tunnels lakini inajengwa 1 Tunnel halafu CAG anahoji bila aibu unasema una mashaka na quality of auditors?

Yaani badala ya kuhoji walio-approve single instead of 2 tunnels unahoji uwezo wa aliyefichui huo ujinga ambao ulipelekea poject ku-delay kwa miezi 5?

Yaani nyie ni watu wa ajabu sana!!
Tatizo lako unapenda majibu ya sisi na wao badala ya kuangalia facts or even how things work in some instances.

Inawezekana kabisa kulaumu kazi ya CAG nimekosea maana una tabia ya kuleta extracts which justifies your position badala ya link nzima ya source at the bottom ili na wengine wajiridhishe.

Project kubwa kama hiyo inakuwa na kitu kinaitwa Project Initiating Document (PID) inayoelezea scope ya kazi ni sehemu ya mkataba na ndipo ata huyo mkaguzi alipojua nini kilitakiwa kujengwa na kipi kimejengwa.

So to diversify from PID agreement without the consent of the client au yeye mwenye kuagiza ili apunguze gharama hilo swala aliwezekani vinginevyo mkataba unavunjwa na unashitakiwa.

Ndio maana diversion ya kwenye mkataba wa ujenzi kama huo contractor awezi kwenda nje PID bila ya client recommendations au blessing kama walikutana na engineering challenges zingine from the original design. Sasa wewe unataka kuaminisha umma contractor hajui kazi.
 
Wakati akitoa maelekezo alipotembelea mradi wa kufua wa umeme wa stiglers gorge , Mh. Mpango alipongeza kwa kazi nzuri unayoendelea na kuongea mengi yakiwemo

1. Mkandarasi Hana Uzoefu wa kutosha katika ufanyaji wa kazi zake huku akisema kwasababu anatumia subcontractor kwa karibu kazi zote kila sehemu. Serikali labda ilitaka mkandarasi mkuu afanye kazi zote peke yake, lakini sehemu nyingi ameweka wachina

2. Mkandarasi yupo nyuma ya mpango kazi, na kwamba amechelewa kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo mafuriko na uvico19. Kauli ambayo Kalemani amekuwa akitudanganya kuwa tupo mbele ya muda na maji yataanza kujazwa Mwezi wa 11 tarehe 15, na kuwasha mitambo June 2022( KAULI AMBAYO NI DHAHIRI ALITUDANGANYA NA ILIKUWA YA KISIASA) Laini Makamu wa Rais ameongea ukweli.

Kutokana na Kauli ya Mh. Makamu wa Rais ni DHAHIRI kuwa Mradi huu hautaweza kukamilika 2022 Wala 2023 Wala 2024 labda 2025.
Lakini kampuni ya pole pole inajitahidi sana kuchimba hilo bwawa, ingawa ni subcontractor tu[emoji23]
 
Tatizo lako unapenda majibu ya sisi na wao badala ya kuangalia facts or even how things work in some instances.

Inawezekana kabisa kulaumu kazi ya CAG nimekosea maana una tabia ya kuleta extracts which justifies your position badala ya link nzima ya source at the bottom ili na wengine wajiridhishe.
Unachekesha sana we jamaa

Yaani pamoja na kuambiwa hiyo ni CAG Report for Development Projects 2019/2020 bado unadai uletewe link?! Hivi nini maana ya kutajiwa Title kama sio kutoa fursa ya kila mtu kutafuta ripoti husika aisome kwa mapana na marefu?
Project kubwa kama hiyo inakuwa na kitu kinaitwa Project Initiating Document (PID) inayoelezea scope ya kazi ni sehemu ya mkataba na ndipo ata huyo mkaguzi alipojua nini kilitakiwa kujengwa na kipi kimejengwa.

So to diversify from PID agreement without the consent of the client au yeye mwenye kuagiza ili apunguze gharama hilo swala aliwezekani vinginevyo mkataba unavunjwa na unashitakiwa.

Ndio maana diversion ya kwenye mkataba wa ujenzi kama huo contractor awezi kwenda nje PID bila ya client recommendations au blessing kama walikutana na engineering challenges zingine from the original design. Sasa wewe unataka kuaminisha umma contractor hajui kazi.
Weka hizo facts hapa chini, with REFERENCES!

Btw, yaani bado kabisa unashindwa kuelewa?! Design na Mkataba VYOTE vilitaka TWO Diversion Tunnels.

Contractor akajenga SINGLE TUNNEL

Matokeo yake,
This eventually led to project delay for five months as a result of the coffer dam overtopping and subsequent flooding of the diversion tunnel.
Yaani pamoja na hayo bado unatafuta sababu za ku-justify kilichofanyika licha ya kuona damage ilishatokea?! Ina maana bado huoni kwamba hiyo Client Blessing ndiyo imeleta yote hayo?!

Na hapa nimesema Contractor HAJUI KAZI au nimesema Contractor ali-opt kwenda kinyume na Mkataba ulivyosema?!
 
Unachekesha sana we jamaa

Yaani pamoja na kuambiwa hiyo ni CAG Report for Development Projects 2019/2020 bado unadai uletewe link?! Hivi nini maana ya kutajiwa Title kama sio kutoa fursa ya kila mtu kutafuta ripoti husika aisome kwa mapana na marefu?

Weka hizo facts hapa chini, with REFERENCES!

Btw, yaani bado kabisa unashindwa kuelewa?! Design na Mkataba VYOTE vilitaka TWO Diversion Tunnels.

Contractor akajenga SINGLE TUNNEL

Matokeo yake,

Yaani pamoja na hayo bado unatafuta sababu za ku-justify kilichofanyika licha ya kuona damage ilishatokea?! Ina maana bado huoni kwamba hiyo Client Blessing ndiyo imeleta yote hayo?!

Na hapa nimesema Contractor HAJUI KAZI au nimesema Contractor ali-opt kwenda kinyume na Mkataba ulivyosema?!
[emoji106] Hata kwa mtaalamu wa kawaida hili lazima lingetokea tu. Implementation ya project kubwa kama hii kutumia feasibility study iliyofanyika miaka 50 iliyopita haiingii akilini, worse still unateua consultant ambaye ni mtaalamu wa barabara. What do you expect?
 
Wakati akitoa maelekezo alipotembelea mradi wa kufua wa umeme wa stiglers gorge , Mh. Mpango alipongeza kwa kazi nzuri unayoendelea na kuongea mengi yakiwemo

1. Mkandarasi Hana Uzoefu wa kutosha katika ufanyaji wa kazi zake huku akisema kwasababu anatumia subcontractor kwa karibu kazi zote kila sehemu. Serikali labda ilitaka mkandarasi mkuu afanye kazi zote peke yake, lakini sehemu nyingi ameweka wachina

2. Mkandarasi yupo nyuma ya mpango kazi, na kwamba amechelewa kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo mafuriko na uvico19. Kauli ambayo Kalemani amekuwa akitudanganya kuwa tupo mbele ya muda na maji yataanza kujazwa Mwezi wa 11 tarehe 15, na kuwasha mitambo June 2022( KAULI AMBAYO NI DHAHIRI ALITUDANGANYA NA ILIKUWA YA KISIASA) Laini Makamu wa Rais ameongea ukweli.

Kutokana na Kauli ya Mh. Makamu wa Rais ni DHAHIRI kuwa Mradi huu hautaweza kukamilika 2022 Wala 2023 Wala 2024 labda 2025.
Tundu lisu kipindi wamesaini tena huyo mkandarasi na akashinda lisu bungeni alisema kwa huko kwao hiyo kampuni niya kutengeneza chemba aliishia kupiga marisasi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakati akitoa maelekezo alipotembelea mradi wa kufua wa umeme wa stiglers gorge , Mh. Mpango alipongeza kwa kazi nzuri unayoendelea na kuongea mengi yakiwemo

1. Mkandarasi Hana Uzoefu wa kutosha katika ufanyaji wa kazi zake huku akisema kwasababu anatumia subcontractor kwa karibu kazi zote kila sehemu. Serikali labda ilitaka mkandarasi mkuu afanye kazi zote peke yake, lakini sehemu nyingi ameweka wachina

2. Mkandarasi yupo nyuma ya mpango kazi, na kwamba amechelewa kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo mafuriko na uvico19. Kauli ambayo Kalemani amekuwa akitudanganya kuwa tupo mbele ya muda na maji yataanza kujazwa Mwezi wa 11 tarehe 15, na kuwasha mitambo June 2022( KAULI AMBAYO NI DHAHIRI ALITUDANGANYA NA ILIKUWA YA KISIASA) Laini Makamu wa Rais ameongea ukweli.

Kutokana na Kauli ya Mh. Makamu wa Rais ni DHAHIRI kuwa Mradi huu hautaweza kukamilika 2022 Wala 2023 Wala 2024 labda 2025.
Tumeingizwa choo cha kike .RIP Magufuli
 
Back
Top Bottom