Dkt. Mpango: Mkandarasi wa Bwawa la Nyerere hana Uzoefu, pia mradi upo nyuma ya muda

Dkt. Mpango: Mkandarasi wa Bwawa la Nyerere hana Uzoefu, pia mradi upo nyuma ya muda

21 September 2022
Rufiji, Tanzania


Building an RCC Dam to control the water flow during the flooding period and generate electricity with an installed capacity of 2115 MW doubling Tanzania’s electricity grid capacity to better people’s lives and meet the country’s ambitious plans to achieve an industrial revolution.
 
DUh hawa hawa waliokuw wanaimba mapambio na kumsifu malaika mkuu mwendazake
 
Wakati akitoa maelekezo alipotembelea mradi wa kufua wa umeme wa stiglers gorge , Mh. Mpango alipongeza kwa kazi nzuri unayoendelea na kuongea mengi yakiwemo

1. Mkandarasi Hana Uzoefu wa kutosha katika ufanyaji wa kazi zake huku akisema kwasababu anatumia subcontractor kwa karibu kazi zote kila sehemu. Serikali labda ilitaka mkandarasi mkuu afanye kazi zote peke yake, lakini sehemu nyingi ameweka wachina

2. Mkandarasi yupo nyuma ya mpango kazi, na kwamba amechelewa kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo mafuriko na uvico19. Kauli ambayo Kalemani amekuwa akitudanganya kuwa tupo mbele ya muda na maji yataanza kujazwa Mwezi wa 11 tarehe 15, na kuwasha mitambo June 2022( KAULI AMBAYO NI DHAHIRI ALITUDANGANYA NA ILIKUWA YA KISIASA) Laini Makamu wa Rais ameongea ukweli.

Kutokana na Kauli ya Mh. Makamu wa Rais ni DHAHIRI kuwa Mradi huu hautaweza kukamilika 2022 Wala 2023 Wala 2024 labda 2025.
Huyu dingi(VP) ni heri tu akae kimya.
Kila akiongea anaonyesha uwezo mdogo kuelewa mambo.
Majuzi alisema samaki wa nchini wanahifadhiwa kwa maji ya maiti, ndio maana kansa imeenea hasa kanda ya ziwa.
Hili limeleta mtafaruku sekta ya uvuvi na imeichukua muda serikali kuliweka sawa suala hilo maana wanunuzi nje ya Tanzania walingia wasi wasi mkubwa kuagiza samaki toka Tanzania.

Tukirudi suala la ukandarasi, nsomna bodi husika zimtembelee VP na kumpa madini kuhusu sekta ya ujenze.
 
Back
Top Bottom