Li ngunda ngali
JF-Expert Member
- Jun 22, 2023
- 707
- 2,572
Heri ugali dagaa kwenye amaniKuna nini ndani ya kuhitaji kuishi ziada kwa Dk Mpango?
Seems ameona akiwa ndani ya mfumo maisha yake yapo hatarini-kwanini yawe?!
????
Da!Heri ugali dagaa kwenye amani
Jamani, mtu asijali afya yake? Mtu anaona afya ina kongoroka hivyo hatoweza kutekeleza majukumu yake ipasavyoKuna nini ndani ya kuhitaji kuishi ziada kwa Dk Mpango?
Seems ameona akiwa ndani ya mfumo maisha yake yapo hatarini-kwanini yawe?!
Na kwa nini Rais Samia alijihami na kusema hitaji la Dk Mpango kutaka apumzike halichangizwi na masuala ya kazi?!
????
!!Alimaanisha ana miaka 68, hataki kuwa na stress za kazi,awe huru aongeze umri wa kuishi,na si kwasababu za kiusalama
Watasema tuu wee subiriKuna nini ndani ya kuhitaji kuishi ziada kwa Dk Mpango?
Seems ameona akiwa ndani ya mfumo maisha yake yapo hatarini-kwanini yawe?!
Na kwa nini Rais Samia alijihami na kusema hitaji la Dk Mpango kutaka apumzike halichangizwi na masuala ya kazi?!
????
Think twice!Jamani, mtu asijali afya yake? Mtu anaona afya ina kongoroka hivyo hatoweza kutekeleza majukumu yake ipasavyo
Well i did, si kila kitu ni cha ku kuongezea. Unaaka afie madarakani?Think twice!
Nitammiss sana Mzee wa Watanzania wanyongeKuna nini ndani ya kuhitaji kuishi ziada kwa Dk Mpango?
Seems ameona akiwa ndani ya mfumo maisha yake yapo hatarini-kwanini yawe?!
Na kwa nini Rais Samia alijihami na kusema hitaji la Dk Mpango kutaka apumzike halichangizwi na masuala ya kazi?!
????
Yawayo,yamo. Na siyo kila siku ya saba ni Jumapili.Well i did, si kila kitu ni cha ku kuongezea. Unaaka afie madarakani?
Big brain.Umakamu wa rais hauna kazi nyingi kivile. Pia hicho cheo ni bata mnene. Hakuna anayeweza kukiachia kirahisi rahisi.
Kama alikipokea kipindi kile anaumwa unadhani angekiachia kipindi hiki yuko na nafuu kiafya?
Mzee Mpango akili kubwa mikikimikiki ya kisiasa na afya yake kiujumla wanafamilia kumekaa tukatafakari tumemwambia Baba tunakupenda zaidi njoo nyumbani tule matunda ulichovuna kwenye uongozi na siasa kwa sasa kinatutosha, siri ya mtungi aijuae kataKuna nini ndani ya kuhitaji kuishi ziada kwa Dk Mpango?
Seems ameona akiwa ndani ya mfumo maisha yake yapo hatarini-kwanini yawe?!
Na kwa nini Rais Samia alijihami na kusema hitaji la Dk Mpango kutaka apumzike halichangizwi na masuala ya kazi?!
????