Pain killer
JF-Expert Member
- Aug 15, 2017
- 14,361
- 21,680
Hao ambao hawajalipwa ni wale 19
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna wabunge wanaishi kama Malaika wanaendesha VXRKama vipi hela zilizopatikana Kwa yule mshikaji wa TPA walipwe wabunge
Nalog off
Ziende Kwa wanafunzi bila kupepesa machoKuna wabunge wanaishi kama malaika wanaendesha VXR
Kuna wanafunzi wanakaa kwenye mawe kwa kukosa madawati.
Kwa muktadha huu unqdhani hizo 3.9 B ziende wapi kati ya hizo sehemu mbili?
Haiwezekani ukusanye ndio uwalipe wabunge. Ofisi yao ina bajeti yake inclusive mishahara.Tra walikuwa wanakusanya matrilioni.
Mliyapeleka wapi?
BUNGE gani hili hata wasipolipwa ni sawa tu kwani lipo kwa maslahi ya nani.halitusaidii wananchi wala haliwasaidii watumishi wa umma.Ni bunge la wanafiki tu ndo maana linamsifia makamu wa rais as if ndo anaanza kazi leo wakati yuko ndani ya mfumo miaka nenda rudi wala hatukuona lolote.yy alikuwa anasukumwa tu pale na JPM halafu leo aonekane ni mzuri.Na wtz tuache unafiki wa kuwapongeza watu ambao hata hawana ufanisi wowote ndani ya nchi hii.Waziri wa fedha Dr Mpango amesema nusu ya wabunge hawajalipwa mshahara wa mwezi March 2021.
Ndugu Mpango amesema amekuwa akifuatilia huku na kule kuhakikisha wabunge wanalipwa.
Kwa sasa Dkt. Mpango ameteuliwa kuwa makamu wa Rais.
Kila zama na kitabu chake
Maendeleo hayana vyama!
Aende zake huko, anatetea watu ambao hawana kazi kazi kubwa ni kugonga meza na huku wanalipwa kila siku 340,000 badala ya kutetea watu wanao sumbuliwa na TRA, trafic n.kWaziri wa fedha Dr Mpango amesema nusu ya wabunge hawajalipwa mshahara wa mwezi March 2021.
Ndugu Mpango amesema amekuwa akifuatilia huku na kule kuhakikisha wabunge wanalipwa.
Kwa sasa Dkt. Mpango ameteuliwa kuwa makamu wa Rais.
Kila zama na kitabu chake
Maendeleo hayana vyama!