johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
- Thread starter
- #21
Tena mseminari alisoma na Dr Slaa!Dr Mpango ni Roman Catholic yule,sio Anglican,acha uongo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tena mseminari alisoma na Dr Slaa!Dr Mpango ni Roman Catholic yule,sio Anglican,acha uongo
uko sahihi na nimeona jina la kama sikosei la kaka yake kwenye moja ya makanisa ya pale kibondo siku mbili zilizopita nilikuwa hapo wakasema waliita kwa heshima yakeDr mpango sio muanglikan Ni mkatoliki pure nimewahi kuwa jumuiya moja (usiniulize wapi)?
Na hiyo ameitoa Kama mgeeni rasmi tu
Ila pia anandugu yake Askofu wa anglikana huko kigomauko sahihi na nimeona jina la kama sikosei la kaka yake kwenye moja ya makanisa ya pale kibondo siku mbili zilizopita nilikuwa hapo wakasema waliita kwa heshima yake
Sentesi haijakaa vizuri, serikali huwa hailali, serikali haichoki, serikali haisinzii, serikali haipumziki, wanaochoka ni watu wake na wanapochoka wanatakiwa kukaa pembeni kuwapisha wengine.serikali imechoshwa ma migogoro ndani ya makanisa
Anaitwa nani?Ila pia anandugu yake Askofu wa anglikana huko kigoma
Unadanganywa na Nani wakati kakake alikuwa askofu wa Jimbo la KIGOMA?unachanganya madesa labda huko alikaribishwa wakati hata akija kasulu analala hostel ya anglikan?wewe hujui waha hawajengi kwao wanaogopa kulogwaDr mpango sio muanglikan Ni mkatoliki pure nimewahi kuwa jumuiya moja (usiniulize wapi)?
Na hiyo ameitoa Kama mgeeni rasmi tu
... ni kweli hata kwenye hotuba yake kuliaga Bunge alizungumzia useminari wake na hata kuamua kuachana na kusomea upadre. Ila kwamba alisoma na Dr. Slaa huo ni uzushi; Slaa mzee sana yule sio age ya Dr. Mpango.Tena mseminari alisoma na Dr Slaa!
Huwezi kuongelea kanisa moja kwa ujumla . Use your brain.Nafikiri hajakosea, Anglican church imejaa migogoro sana
.... kwenye hotuba yake kuliaga Bunge alizungumzia useminari wake na hata kuamua kuachana na kusomea upadre. Mambo ya juzi tu mmesahau ya kale mtakumbuka kweli?Unadanganywa na Nani wakati kakake alikuwa askofu wa Jimbo la KIGOMA?unachanganya madesa labda huko alikaribishwa wakati hata akija kasulu analala hostel ya anglikan?wewe hujui waha hawajengi kwao wanaogopa kulogwa
Cheo siyo kila kituWakati Magu anazikwa,Mpango alikua na Cheo gani??
Mwendazake hizo ndo zilikuwa zake. Makanisani kuzungumzia issue za kitaifa. Anglican siyo makanisa yote. Atulize kitenesi. Yuko confused. No doubt about that.Tunao uhuru wa kutoa maoni lakini kwa busara na wakati mwingine tuwaone hawa wazee kama wazazi wetu vile.
Makanisa yanasajiriwa na kusimamiwa na Serikali kwa yeye kusema hivyo anajua anachomaanisha na kwani uongo hakuna migogoro kwenye makanisa yetu.
Nafikiri ni vema kwa sisi kua objective kwenye michango yetu ili tuchangia vitu vitakavyosaidia nchi kwa namna hii itafika hatua mitandao itadharaulika.
Migogoro ipo hata misikitini ila kwa kua alikua kanisani akalisemea hilo.
Simtetei yeyote ila nahimiza objectivity vitu vingine kama hatuelewi unaweza andika kuomba watu wakufafanulie.
Kwani Dr Mpango ni kijana?... ni kweli hata kwenye hotuba yake kuliaga Bunge alizungumzia useminari wake na hata kuamua kuachana na kusomea upadre. Ila kwamba alisoma na Dr. Slaa huo ni uzushi; Slaa mzee sana yule sio age ya Dr. Mpango.
Huna akili.TANGU LINI HAPO UFIPANI MKAWA NA IMANI NA VIONGOZI WA TAIFA LENU
Wewe mwerevu nikuchakutwa kuliombea mabaya taifa lakooo. Pole saaanaaaHuna akili.
Wewe ndo uko confused,mwambieni huyo anayewatuma tumeshamfahamuSasa Kwanini azungumze as if ni makanisa yote? Yeye kama makamu wa rais, naona kama yuko confused.
Narudia tena wewe ndo uko confused,pumbavu zenuMwendazake hizo ndo zilikuwa zake. Makanisani kuzungumzia issue za kitaifa. Anglican siyo makanisa yote. Atulize kitenesi. Yuko confused. No doubt about that.
Naona unataka mapadri ,maaskofu na waijilisti waanze kufa na kuchomeea makanisa..huoni hali imekua shwari sasa tunaishikwa amani.Masheikh wa Zanzibar watawaachia huru lini?
Nidanganye ili nipate nn? Tumeishi jirani tangu nikiwa mtoto nimesali nae parokia na jumuiya moja ya mt petro karbu miaka 20.. mabint zake wote nikicheza nao... NUnadanganywa na Nani wakati kakake alikuwa askofu wa Jimbo la KIGOMA?unachanganya madesa labda huko alikaribishwa wakati hata akija kasulu analala hostel ya anglikan?wewe hujui waha hawajengi kwao wanaogopa kulogwa
... wamesoma pamoja au wamesoma seminari moja? Bwashee unachanganya mambo!Kwani Dr Mpango ni kijana?
Dr Slaa, Dr Mpango na Membe wamesoma seminari moja!