johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Makamu wa Rais Dr Mpango amesema ameongea na wataalamu wabobezi wa mambo ya bandari ambao watakuja nchini kuifanyia maboresho makubwa bandari ya Dar es Salaam.
Dr Mpango ambaye alikagua teknolojia za kisasa za bandari zinavyofanya kazi amesema Singapore itaboresha miundombinu na menejimenti ya bandari na kuifanya kuwa ya kisasa zaidi barani Afrika.
Dr Mpango yuko ziarani nchini Singapore.
Chanzo: TBC
Dr Mpango ambaye alikagua teknolojia za kisasa za bandari zinavyofanya kazi amesema Singapore itaboresha miundombinu na menejimenti ya bandari na kuifanya kuwa ya kisasa zaidi barani Afrika.
Dr Mpango yuko ziarani nchini Singapore.
Chanzo: TBC