Dkt. Mpango: Singapore kuboresha Bandari ya Dar es Salaam kwenye Miundombinu na Menejimenti ili iwe ya kisasa barani Afrika!

Dkt. Mpango: Singapore kuboresha Bandari ya Dar es Salaam kwenye Miundombinu na Menejimenti ili iwe ya kisasa barani Afrika!

Makamu wa Rais Dr Mpango amesema ameongea na wataalamu wabobezi wa mambo ya bandari ambao watakuja nchini kuifanyia maboresho makubwa bandari ya Dar es Salaam.

Dr Mpango ambaye alikagua teknolojia za kisasa za bandari zinavyofanya kazi amesema Singapore itaboresha miundombinu na menejimenti ya bandari na kuifanya kuwa ya kisasa zaidi barani Afrika.

Dr Mpango yuko ziarani nchini Singapore.

Chanzo: TBC
if not mistaken hata TANCIS inayotumika tra was derived from singapore or one from ukanda huo, kindly proceed isdory
 
Back
Top Bottom