Dkt. Mpango: Sitakuwa mpole kwa wanaochezea Muungano

beth

JF-Expert Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
3,880
Reaction score
6,368
Akizungumza kwenye Kongamano la Miaka 57 ya Muungano Jijini Dodoma, Dkt. Philip Mpango amesema katika kipindi chake kama Makamu wa Rais, hatokubali Muungano kuchezewa

Amesema, "Sitakubali kabisa wanaochezea Muungano wetu adhimu. Kuna baadhi ya mambo huwa watu wanasema mimi ni mpole. Watakaojaribu kuchezea Muungano hapo sitakuwa mpole"
 
Tena awe mkali kwelikweli. Kuuchezea muungano ni kosa kubwa
 
Kua mkali kwa kila Jambo ambalo linaenda kinyume na katiba ya JMT
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…