Dkt. Mpango: Sitakuwa mpole kwa wanaochezea Muungano

Dkt. Mpango: Sitakuwa mpole kwa wanaochezea Muungano

Akizungumza kwenye Kongamano la Miaka 57 ya Muungano Jijini Dodoma, Dkt. Philip Mpango amesema katika kipindi chake kama Makamu wa Rais, hatokubali Muungano kuchezewa

Amesema, "Sitakubali kabisa wanaochezea Muungano wetu adhimu. Kuna baadhi ya mambo huwa watu wanasema mimi ni mpole. Watakaojaribu kuchezea Muungano hapo sitakuwa mpole"
Huyu naye atulize KASESELA.
 
Hivi ni kweli jamaa ni mburundi? ile operation ya kikwete kufukuza wanyarwanda Rwanda na waburundi alikwepa vipi huyu...

Huyu anajihisi ni Raisi kabisa ajui yeye ni mdemkaji tu kazi kubwa na kubeba mkasi wa kuzindua kazi za serikali and kupokea wageni wa Taifa..

Even Zari the boss lady alitakiwa kwenda kumpokea
 
Duh vp anajaribu saaana kununua mioyo ya WaTz halisi yah HALISI
Ukali upi?
Ijue historia ya Muungano ndipo uzungumze vinginevyo utapata aibu
Mmeshaidhulumu siku hii kwa migawanyo sijui nusu huku nusu kule eti maombolezo
Acheni hii propaganda ya kuomboleza kuomboleza mnakera mjue
 
Back
Top Bottom