GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
"Katika kutunza Siri za Watumishi wa Serikali niwaase sana nyie Wakuu wa Wilaya na Watendaji Wengine Serikalini muache Kupiga Vistorivistori mkiwa na Madereva wenu ndani ya Magari yenu ili kuepuka Siri zenu Kuzagaa na Kuaminika kwao hawa Madereva wenu wanawajueni zaidi kwakuwa muda mwingi mko nao" amesema Makamu wa Rais Dk. Philip Mpango alipokuwa akizungumza jana na Wakuu wa Wilaya Jijini Dodoma katika Mkutano ulioandaliwa na Wizara ya TAMISEMI chini ya Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Bi. Anjella Kairuki.
Chanzo Taarifa: Nipashe Radio One leo
Sasa na Wewe Mtani wangu Makamu wa Rais wa Tanzania Dkt. Mpango unataka Viongozi wasipige Story na Madereva wao je, Mimi GENTAMYCINE nitakuwa natoa wapi sasa Siri zao nyingi nyingi mpaka zile za Kiutendaji?
Hebu acha hizo bhana sawa? Tafadhalini Wakuu wa Wilaya na Viongozi Wengine hebu endeleeni kupiga 'Vistoristori' na Madereva wenu mkiwa ndani ya Magari yenu kwani mkinuniana Midomo yenu itanuka bure.
Imeisha hiyo!
Chanzo Taarifa: Nipashe Radio One leo
Sasa na Wewe Mtani wangu Makamu wa Rais wa Tanzania Dkt. Mpango unataka Viongozi wasipige Story na Madereva wao je, Mimi GENTAMYCINE nitakuwa natoa wapi sasa Siri zao nyingi nyingi mpaka zile za Kiutendaji?
Hebu acha hizo bhana sawa? Tafadhalini Wakuu wa Wilaya na Viongozi Wengine hebu endeleeni kupiga 'Vistoristori' na Madereva wenu mkiwa ndani ya Magari yenu kwani mkinuniana Midomo yenu itanuka bure.
Imeisha hiyo!