Dkt. Mpango: Wahubiri wa dini wanajilimbikizia mali

Wewe nawe hizo ni hekaya za waarabu tu
 
Watakatifu Walimpiga Yesu hadi akatamka Mali zake zote alizojilimbikizia.. Yeye na Ukoo wake wote..

Pamoja na kutoa mbinu za kutokujilimbikizia MALI.. Bila shaka hao Watakatifu hawajamaliza kazi zaooo..


 
Tena huyo huyo muha ndio asiongee kabisa bahili kama nini !! Sijaona kiongozi bahili kama huyo jamaa ! Mwisho asilete ujinga wa hekayq za makanisa apambane na ufisadi na wizi serikalini ,matririoni ya pesa wanakula wao na watoto ,wao Wana ukwasi wa kutisha !? Roho inamtoka kwa mia mbili mia mbili za mwamposa ,wakati nchi wanaitafuna na hajawahi kusema kitu? Hao maskini anaosema wanaibiwa amewahi kuwapa hata mia huyo bahili ! Anasema watu maskini kwani ninani kawafanya kuwa maskini
 
Hawana kosa. Ujinga wa waumini ndio unaowarajirisha hao matapeli wa kiroho!
 
Dini Zote Ni ujanja ujanja tuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…