Gypsum Screw
JF-Expert Member
- Jun 10, 2024
- 701
- 895
fisadi makamba?Kuna kiongozi wa serikali kanunua nyumba ya billion 27 dubai
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
fisadi makamba?Kuna kiongozi wa serikali kanunua nyumba ya billion 27 dubai
Wewe nawe hizo ni hekaya za waarabu tuUislam ulikwishalizungumza hili miaka mingi iliyopita!
يَا أَيُّهَا الَّذِينَ آمَنُوا إِنَّ كَثِيرًا مِّنَ الْأَحْبَارِ وَالرُّهْبَانِ لَيَأْكُلُونَ أَمْوَالَ النَّاسِ بِالْبَاطِلِ وَيَصُدُّونَ عَن سَبِيلِ اللَّـهِ ۗ وَالَّذِينَ يَكْنِزُونَ الذَّهَبَ وَالْفِضَّةَ وَلَا يُنفِقُونَهَا فِي سَبِيلِ اللَّـهِ فَبَشِّرْهُم بِعَذَابٍ أَلِيمٍ﴿٣٤﴾
Enyi mlioamini! Hakika wengi katika Ahbaar (Mafuqahaa weledi wa Kiyahudi) na Ruhbaan (Monaki wa Kikristo) wanakula mali za watu kwa batili, na wanazuia Njia ya Allaah. Na wale wanaorundika dhahabu na fedha na wala hawazitoi katika Njia ya Allaah, basi wabashirie adhabu iumizayo.
-[Surat Tawba(9:34)]
Embu nikumbushe mkuu ni nani vileUnadhani hamjui? Anamjua ila hana cha kumfanya
Hawana kosa. Ujinga wa waumini ndio unaowarajirisha hao matapeli wa kiroho!View attachment 3089684
Makamu wa Raisi Dkt. Philip Mipango
Makamu wa Raisi Dkt. Philip Mipango akimwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan katika kilele cha Maadhimisho ya Jubilei ya Miaka 50 ya Kanisa la New Life Outreach iliyofanyika katika kanisa hilo Sakina mkoani Arusha amegusia suala la Wahubiri wa dini kujilimbikizia mali. Akieleza kuhusu jambo hilo Dkt. Mpango amesema:
“Hivi sasa yameibuka mafundisho ya viongozi wa dini yanayowaaminisha wafuasi wao kutegemea miujiza Zaidi ili kupata maendeleo badala ya kufanya kazi kwa bidii na maarifa. Viongozi hao wanawaelekeza waamini wao kwenda kwenye nyumba zao za ibada ili wakaombewe wapate mali ikiwemo magari, nyumba, pesa wanazo zitamani, lakini pia wanaomba kutatuliwa shida zao tunashuhudia kuongezeka kwa wahubiri wanaojilimbikizia fedha na mali binafsi kutokana na sadaka na mauzo ya vitu mbalimbali vya hao watu wanyonge. Wengi wa wahanga wa mahubiri ya aina hiyo ni wananchi wanyonge wanaokabiliwa na shida au matatizo mbalimbali ya maisha yakiwemo magonjwa, umasikini migogoro katika ndoa, ugumba kukosa ajira na kadhalika”PIA SOMA
- Kwanini Serikali kupitia Wizara ya Nje, wasishirikiane na Wizara ya Nje ya Congo, kumkamata Tapeli alojiita Nabii kiboko ya wachawi?
- Nimeacha kutoa sadaka baada ya kusikia kauli hii ya mchungaji
Fitina!hawa watu si watajwe tuwasalimie na pesa zetu kwanini mnawaogopaau ni fununu
Unapata Risiti ya manispaa Ina QR ukisikani haisomi...wanakubadilishia wanakupa yenye nembo ya TRA unascan nayo haisomi ...!!! Mambo ni mengi sana....muda upo!. ...corruption...
Dini Zote Ni ujanja ujanja tuuUislam ulikwishalizungumza hili miaka mingi iliyopita!
يَا أَيُّهَا الَّذِينَ آمَنُوا إِنَّ كَثِيرًا مِّنَ الْأَحْبَارِ وَالرُّهْبَانِ لَيَأْكُلُونَ أَمْوَالَ النَّاسِ بِالْبَاطِلِ وَيَصُدُّونَ عَن سَبِيلِ اللَّـهِ ۗ وَالَّذِينَ يَكْنِزُونَ الذَّهَبَ وَالْفِضَّةَ وَلَا يُنفِقُونَهَا فِي سَبِيلِ اللَّـهِ فَبَشِّرْهُم بِعَذَابٍ أَلِيمٍ﴿٣٤﴾
Enyi mlioamini! Hakika wengi katika Ahbaar (Mafuqahaa weledi wa Kiyahudi) na Ruhbaan (Monaki wa Kikristo) wanakula mali za watu kwa batili, na wanazuia Njia ya Allaah. Na wale wanaorundika dhahabu na fedha na wala hawazitoi katika Njia ya Allaah, basi wabashirie adhabu iumizayo.
-[Surat Tawba(9:34)]