Acheni hizo kwani molinga amefukuzwa jana??mbona hamuulizi kesi ya morison, kuwa mbona ktk kesi za CAS, , zinazosikilizwa mwezi huu haipo??mliyoambiwa kuwa tayari imepangiwa jaji?!!simba na yanga ndio kansa ya mpira wa nchi hii!!yaani washabiki wao wanataka kushinda tu!!mchezo gani huo duniani ?