Mlalamikaji daily
JF-Expert Member
- May 19, 2014
- 744
- 1,621
Sijajua kwanini ,
Kwa manufaa ya nani!
Dk Msonde (naibu waziri upande wa elimu) anazunguuka nchi nzima kwa kile anachoita kuwasalimia walimu wenzake, lakini ndani yake kuna agenda ya kuwajaza matumaini HEWA walimu,
Na sana ni zile story za vifaranga vya kuku kunyonya kesho!
Iko hivi..
Baada ya serikali ya mwendazake kuwafanyia ukatili na dhuluma watumishi wa uma,
Dokta Msonde katika hizi ziara zake anawapiga fix walimu akisema yafuatayo
1. Serikali itafanya msawazo mwenyewe ameita hamornazition yaani kwamfano mtu aliajiriwa mwaka 2000
Kwasasa mwaka 2024 anatakiwa awe katika ngazi ipi ya mshahara?
Kwamba serikali itampa daraja hilo analostahili!
2. Kero za walimu zinatatuliwa kupitia mfumo wa TSCMIS..
Kwahiyo walimu wasiwe na wasiwasi,
HATA HIVYO Mpaka leo hii
Hakuna chochote kilichotokea bado watumishi wamedhulumiwa miaka 7 ,
Na anachosema msonde ni FIX
ANGALIENI HII VIDEO YA MSONDE MWAKA 2023
Kwa manufaa ya nani!
Dk Msonde (naibu waziri upande wa elimu) anazunguuka nchi nzima kwa kile anachoita kuwasalimia walimu wenzake, lakini ndani yake kuna agenda ya kuwajaza matumaini HEWA walimu,
Na sana ni zile story za vifaranga vya kuku kunyonya kesho!
Iko hivi..
Baada ya serikali ya mwendazake kuwafanyia ukatili na dhuluma watumishi wa uma,
Dokta Msonde katika hizi ziara zake anawapiga fix walimu akisema yafuatayo
1. Serikali itafanya msawazo mwenyewe ameita hamornazition yaani kwamfano mtu aliajiriwa mwaka 2000
Kwasasa mwaka 2024 anatakiwa awe katika ngazi ipi ya mshahara?
Kwamba serikali itampa daraja hilo analostahili!
2. Kero za walimu zinatatuliwa kupitia mfumo wa TSCMIS..
Kwahiyo walimu wasiwe na wasiwasi,
HATA HIVYO Mpaka leo hii
Hakuna chochote kilichotokea bado watumishi wamedhulumiwa miaka 7 ,
Na anachosema msonde ni FIX
ANGALIENI HII VIDEO YA MSONDE MWAKA 2023