Pua ya zege
JF-Expert Member
- Jul 23, 2013
- 1,941
- 2,081
Ujinga juu ya ujinga mwingineUjinga ujinga tu...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ujinga juu ya ujinga mwingineUjinga ujinga tu...
HowWalimu ujinga wanaulea wenyewe
Sijajua kwanini ,
Kwa manufaa ya nani!
Dk Msonde (naibu waziri upande wa elimu) anazunguuka nchi nzima kwa kile anachoita kuwasalimia walimu wenzake, lakini ndani yake kuna agenda ya kuwajaza matumaini HEWA walimu,
Na sana ni zile story za vifaranga vya kuku kunyonya kesho!
Iko hivi..
Baada ya serikali ya mwendazake kuwafanyia ukatili na dhuluma watumishi wa uma,
Dokta Msonde katika hizi ziara zake anawapiga fix walimu akisema yafuatayo
1. Serikali itafanya msawazo mwenyewe ameita hamornazition yaani kwamfano mtu aliajiriwa mwaka 2000
Kwasasa mwaka 2024 anatakiwa awe katika ngazi ipi ya mshahara?
Kwamba serikali itampa daraja hilo analostahili!
2. Kero za walimu zinatatuliwa kupitia mfumo wa TSCMIS..
Kwahiyo walimu wasiwe na wasiwasi,
HATA HIVYO Mpaka leo hii
Hakuna chochote kilichotokea bado watumishi wamedhulumiwa miaka 7 ,
Na anachosema msonde ni FIX
ANGALIENI HII VIDEO YA MSONDE MWAKA 2023