Dkt. Muchunguzi alimuelewa Mpina?

Dkt. Muchunguzi alimuelewa Mpina?

Carlos The Jackal

JF-Expert Member
Joined
Feb 6, 2017
Posts
25,725
Reaction score
78,589
Mzee anadai tulikua kwenye Crisis, wakati Ushahidi unaonyesha Wamiliki wa Viwanda wanaozalisha Sukari, na ambao ndio Sheria imewapa Nguvu ya kuagiza Sukari nje, waliomba Kibali, Bashe akawacheleweshea Kibali kiasi Cha wao kushindwa kuagiza Sukari Kwa wakati.

Mzaa hakaz anasema, sio Dhambi Kampuni ya Stationary kuagiza Sukari, anajisahaulisha kua Kampunzi zote zilizotajwa Kwa Ushahidi wa Mpina ni madudu madudu tupu sio Brela, sio Uwezo wa Kipesa, hali inayoleta maswali Kwa Watanzania kua "Huenda Wezi na Mafisadi, walitengeneza Suala la Sukari, wakapewa Msamaha, wakaingiza Sukari Yao ili kupiga Hela?

Ama Hakika Hata MJINGA NAYE ANAZEEKA NA UJINGA WAKE.



Pia soma:
 
Hizi TAKATAKA huwa mnatoa wapi muda wa kuzisikiliza?
Usipo sikiliza utajuaje kuwa ni takataka au siyo mkuu 'TUKANA'?

LOOoh!

Tena jamaa ni Doctor kabisa! Dr. Muchunguzi. Sijui ni Doctor katika vitu gani huyu, kuna anayejuwa atueleze?

Mazungumzo yote jamaa anajikanyagakanyaga tu, hakuna anachoeleza kikaeleweka!

Waalimu mtanisamehe, inawezekana huyu bwana alikuwa ni mwalimu. Wanafunzi wake walikuwa na shida kubwa sana.

Hapa inawezekana jamaa anapambania uteuzi!

Siwezi kuondoka kabla ya kumchambua kidogo huyu Daktari wetu jinsi nilivyo msoma:
1. Zungumza yake ya haraka haraka, unajuwa maana yake ni nini? Ni udhaifu, udanganyifu, kuvungavunga mambo; ili mradi aonekane anajuwa.

2. Lugha ya kimwili, aliyoiita mwenyewe 'body language'. Anaruka ruka sana anapozungumza. Mikono ipo kila sehemu. Macho na mdomo, vyote anavitumia kwa wakati mmoja. Hii ni kutaka kupoteza lengo. Kumfanya anayemsikiliza asiweke akili yake kwa yale anayoyazungumza, bali anavuta akili za msikilizaji kwa mambo yasiyo husika na kinachozungumziwa

3.' Incoherent'. Mtiririko wa anayozungumzia hayana mpangilio unaofuatana vizuri ili kujenga hoja inayoeleweka. Anashutumu, hapo hapo anaruka na kusema hamlaumu anayemshutumu. Huyu ndiye Daktari wetu.
4.Kujikomba/unafiki. hata haoni aibu

Wananchi wanao chagua wabunge wa namna hii, sijui wanavutiwa na kitu gani hasa!
 
Wenye viwanda walijua mapema kuwa kipindi cha kuaimamisha uzalishaji kina kuja na kitakuwa cha muda wa mrefu zaidi kutokana na mvua ya El Nino wwakaishia kusubiri stock yao yote iishe kwanza na kusababisha uhaba na kupanda bei usio wa lazima.
Huko Mwanza hata hicho kiasi kidogo walicho agiza kulikuwa kwenye ghala la msambazaji mmoja bila kuuzwa Ili bei iendelee kupaa,ukitaka wizara ifanyeje,kwenye hali mbaya na kelele nyingi?
 
Mzee anadai tulikua kwenye Crisis, wakati Ushahidi unaonyesha Wamiliki wa Viwanda wanaozalisha Sukari, na ambao ndio Sheria imewapa Nguvu ya kuagiza Sukari nje, waliomba Kibali, Bashe akawacheleweshea Kibali kiasi Cha wao kushindwa kuagiza Sukari Kwa wakati.

Mzaa hakaz anasema, sio Dhambi Kampuni ya Stationary kuagiza Sukari, anajisahaulisha kua Kampunzi zote zilizotajwa Kwa Ushahidi wa Mpina ni madudu madudu tupu sio Brela, sio Uwezo wa Kipesa, hali inayoleta maswali Kwa Watanzania kua "Huenda Wezi na Mafisadi, walitengeneza Suala la Sukari, wakapewa Msamaha, wakaingiza Sukari Yao ili kupiga Hela?

Ama Hakika Hata MJINGA NAYE ANAZEEKA NA UJINGA WAKE.

View attachment 3019067


Pia soma:
Nchi hii wanatengeneza criss ili watuibie sisi wananchi wanyonge . hili ni shamba la bibi

Nyie maCcm tuoneeni huruma sisi ni ndugu zenu

I1)wanatengeneza criss ya umeme kuna dowans, iptl songas symboons nk. wamepiga mihela

2) Wametengeza crisis ya mafuta wanasingizia vita ya ukran na urudi
Wanamepiga mihela

3). Wametengeza criss ya sukari
Imepanda Toka tsh 2500 hadi tsh 6000 wajanja wamepiga hela

4).Wametengeneza criss ya mbolea kwa wakulima sasa ni matajiri

5). Wametengeza crisis ya Michele na unga wa mshindi bei mtaani haishikiki

7).Wametengeneza criss ya Dola ya kimarekani hapatikani isipokuwa kwa wachache
 
Mzee anadai tulikua kwenye Crisis, wakati Ushahidi unaonyesha Wamiliki wa Viwanda wanaozalisha Sukari, na ambao ndio Sheria imewapa Nguvu ya kuagiza Sukari nje, waliomba Kibali, Bashe akawacheleweshea Kibali kiasi Cha wao kushindwa kuagiza Sukari Kwa wakati.

Mzaa hakaz anasema, sio Dhambi Kampuni ya Stationary kuagiza Sukari, anajisahaulisha kua Kampunzi zote zilizotajwa Kwa Ushahidi wa Mpina ni madudu madudu tupu sio Brela, sio Uwezo wa Kipesa, hali inayoleta maswali Kwa Watanzania kua "Huenda Wezi na Mafisadi, walitengeneza Suala la Sukari, wakapewa Msamaha, wakaingiza Sukari Yao ili kupiga Hela?

Ama Hakika Hata MJINGA NAYE ANAZEEKA NA UJINGA WAKE.

View attachment 3019067


Pia soma:
Huyu mzee kwa mwonekano wa sura yake na hongea yake akipewa wizara anaweza kuuza mpaka viti, ila akiwa mkurugenzi wa halmashauri , anaweza binafishisha mpaka watumishi, janja hivi hamna lolote ,anasema ilikua dharula , dharula ndo isababishe kukiuka taratibu za nchi, je waliujulisha umma, je sukari ilishuka bei au imeshuka bei, ,apeleke uchawa kwa wachawa wenzio huko , uyu mzee wala sio mara ya kwanza kumsikia akiongea mambo ya ajabu,

Mwisho
Bunge na wabunge waliomo ni wawakilishi wa wananchi wao ,hata kama hawakuchaguliwa ,je ipo kosa gani Mbunge mzalendo kuutaharifu umma ambao ndo maboss wa wabunge ,maana mbunge hayupo pale bila mwenye jimbo , kosa liko wapi ?,alafu wahandishi wa habari muwe mnachagua watu wa kuhoji sio kila mtu ni wakuhojiwa na media ,ona sasa uyu mzee yupo na wajukuu siku wakifika umri wa kujitambua na kuhoji si wataona walikua babu kilaza
 
Mzee anadai tulikua kwenye Crisis, wakati Ushahidi unaonyesha Wamiliki wa Viwanda wanaozalisha Sukari, na ambao ndio Sheria imewapa Nguvu ya kuagiza Sukari nje, waliomba Kibali, Bashe akawacheleweshea Kibali kiasi Cha wao kushindwa kuagiza Sukari Kwa wakati.

Mzaa hakaz anasema, sio Dhambi Kampuni ya Stationary kuagiza Sukari, anajisahaulisha kua Kampunzi zote zilizotajwa Kwa Ushahidi wa Mpina ni madudu madudu tupu sio Brela, sio Uwezo wa Kipesa, hali inayoleta maswali Kwa Watanzania kua "Huenda Wezi na Mafisadi, walitengeneza Suala la Sukari, wakapewa Msamaha, wakaingiza Sukari Yao ili kupiga Hela?

Ama Hakika Hata MJINGA NAYE ANAZEEKA NA UJINGA WAKE.

View attachment 3019067


Pia soma:
Kama ukisema umemuelewa Muchunguzi basi IQ yako ni kubwa Sana. Mtu anatetea kampuni ya simu kuagiza Sukari si ni Mwizi Tu na uzee wake? Masharti ya leseni ya Itel yanaruhusu Biashara ya chakula? Uzoefu huo wanao? Waliwahi kufanya wapi?
 
Kuna wazee walipikwa na Mwalimu Nyerere wengi tu mfano mzee Butiku , Warioba , Ulimwengun.k, fikiri kama leo wapo na maono ya taifa hili kwa kiwango cha juu sana vipi kipindi wakiwa vijana?

Why wazee wengine hawajifunzi? Mfano uyu Mchunguzi anafikiri kwa umri wake anaweza kuwa na umri sawa na alio nao kwa sasa tuendako mbele ? Kama sivyo why fanya uchawa katika umri huu?

So ndo mjue hata Rais akiwa wa ajabu gani kama amezungukwa na vichwa lazima atakua smart, Biden ni mzee sana ila mambo ,mipango inaenda kama ilivyo katika taifa lake ,njoo kwetu sasa upuuzi mtupu
 
Usipo sikiliza utajuaje kuwa ni takataka au siyo mkuu 'TUKANA'?

LOOoh!

Tena jamaa ni Doctor kabisa! Dr. Muchunguzi. Sijui ni Doctor katika vitu gani huyu, kuna anayejuwa atueleze?

Mazungumzo yote jamaa anajikanyagakanyaga tu, hakuna anachoeleza kikaeleweka!

Waalimu mtanisamehe, inawezekana huyu bwana alikuwa ni mwalimu. Wanafunzi wake walikuwa na shida kubwa sana.

Hapa inawezekana jamaa anapambania uteuzi!

Siwezi kuondoka kabla ya kumchambua kidogo huyu Daktari wetu jinsi nilivyo msoma:
1. Zungumza yake ya haraka haraka, unajuwa maana yake ni nini? Ni udhaifu, udanganyifu, kuvungavunga mambo; ili mradi aonekane anajuwa.

2. Lugha ya kimwili, aliyoiita mwenyewe 'body language'. Anaruka ruka sana anapozungumza. Mikono ipo kila sehemu. Macho na mdomo, vyote anavitumia kwa wakati mmoja. Hii ni kutaka kupoteza lengo. Kumfanya anayemsikiliza asiweke akili yake kwa yale anayoyazungumza, bali anavuta akili za msikilizaji kwa mambo yasiyo husika na kinachozungumziwa

3.' Incoherent'. Mtiririko wa anayozungumzia hayana mpangilio unaofuatana vizuri ili kujenga hoja inayoeleweka. Anashutumu, hapo hapo anaruka na kusema hamlaumu anayemshutumu. Huyu ndiye Daktari wetu.
4.Kujikomba/unafiki. hata haoni aibu

Wananchi wanao chagua wabunge wa namna hii, sijui wanavutiwa na kitu gani hasa!
Jamaa katudhalilisha mno wahaya. Atakuwa ni mziba huyu!
 
Hawa watu wanaojiita Ma-Dr na ma-Prof. ni watu wa kupuuza kwani tija yao kwa Taifa ni ndogo mno mno
Bora hata u-Dr wa musukuma unaeleweka na mchango wake unazidi hawa watu
 
Mkuu hauelewi kinachowaforce wapiga kura kupelekea kushitukia wameuingia mkenge?
Kamwe siwezi kabisa kukielewa mkuu 'Sakasaka'.
Tumekuwa watu (huru?) zaidi ya miaka 60 sasa, lakini wananchi wetu ni kama wamerudi kinyume nyume miaka kadhaa kabla ya uhuru? Hili linanishinda kulielewa.
 
Usipo sikiliza utajuaje kuwa ni takataka au siyo mkuu 'TUKANA'?

LOOoh!

Tena jamaa ni Doctor kabisa! Dr. Muchunguzi. Sijui ni Doctor katika vitu gani huyu, kuna anayejuwa atueleze?

Mazungumzo yote jamaa anajikanyagakanyaga tu, hakuna anachoeleza kikaeleweka!

Waalimu mtanisamehe, inawezekana huyu bwana alikuwa ni mwalimu. Wanafunzi wake walikuwa na shida kubwa sana.

Hapa inawezekana jamaa anapambania uteuzi!

Siwezi kuondoka kabla ya kumchambua kidogo huyu Daktari wetu jinsi nilivyo msoma:
1. Zungumza yake ya haraka haraka, unajuwa maana yake ni nini? Ni udhaifu, udanganyifu, kuvungavunga mambo; ili mradi aonekane anajuwa.

2. Lugha ya kimwili, aliyoiita mwenyewe 'body language'. Anaruka ruka sana anapozungumza. Mikono ipo kila sehemu. Macho na mdomo, vyote anavitumia kwa wakati mmoja. Hii ni kutaka kupoteza lengo. Kumfanya anayemsikiliza asiweke akili yake kwa yale anayoyazungumza, bali anavuta akili za msikilizaji kwa mambo yasiyo husika na kinachozungumziwa

3.' Incoherent'. Mtiririko wa anayozungumzia hayana mpangilio unaofuatana vizuri ili kujenga hoja inayoeleweka. Anashutumu, hapo hapo anaruka na kusema hamlaumu anayemshutumu. Huyu ndiye Daktari wetu.
4.Kujikomba/unafiki. hata haoni aibu

Wananchi wanao chagua wabunge wa namna hii, sijui wanavutiwa na kitu gani hasa!
Yule Mzee kama anakula kitu cha Arusha,hayupo sawa kichwani yule!!🤣🤣🤣
 
Yule Mzee kama anakula kitu cha Arusha,hayupo sawa kichwani yule!!🤣🤣🤣
Inasikitisha na kushangaza sana kupeleka mtu wa aina hii Bungeni. Lakini siyo yeye pekee, Bunge letu limekuwa la watu wa ajabu ajabu sana siku hizi. Kuna wengine wanaolala chini kwenye mavumbi kabisa wakihutubia wananchi, wakiomba kura za wananchi kwa Naibu Waziri Mkuu, kule Geita (nadhani)?
Hawa watu kichwani sijui kama kweli kuna akili za kutosha.
 
Wenye viwanda walijua mapema kuwa kipindi cha kuaimamisha uzalishaji kina kuja na kitakuwa cha muda wa mrefu zaidi kutokana na mvua ya El Nino wwakaishia kusubiri stock yao yote iishe kwanza na kusababisha uhaba na kupanda bei usio wa lazima.
Huko Mwanza hata hicho kiasi kidogo walicho agiza kulikuwa kwenye ghala la msambazaji mmoja bila kuuzwa Ili bei iendelee kupaa,ukitaka wizara ifanyeje,kwenye hali mbaya na kelele nyingi?
Kwanini serikali isiwe na viwanda vyake vya sukari ikasjili wafanyakazi kama taasisi nyingine?
 
Mzee anadai tulikua kwenye Crisis, wakati Ushahidi unaonyesha Wamiliki wa Viwanda wanaozalisha Sukari, na ambao ndio Sheria imewapa Nguvu ya kuagiza Sukari nje, waliomba Kibali, Bashe akawacheleweshea Kibali kiasi Cha wao kushindwa kuagiza Sukari Kwa wakati.

Mzaa hakaz anasema, sio Dhambi Kampuni ya Stationary kuagiza Sukari, anajisahaulisha kua Kampunzi zote zilizotajwa Kwa Ushahidi wa Mpina ni madudu madudu tupu sio Brela, sio Uwezo wa Kipesa, hali inayoleta maswali Kwa Watanzania kua "Huenda Wezi na Mafisadi, walitengeneza Suala la Sukari, wakapewa Msamaha, wakaingiza Sukari Yao ili kupiga Hela?

Ama Hakika Hata MJINGA NAYE ANAZEEKA NA UJINGA WAKE.

View attachment 3019067


Pia soma:
Huyu sioni tofauti ya uDr wake na yule Prof alie muita mwenda kuzimu Mungu.
Hawa sijui nani ana wapa hivyo vyeti
Kakurupuka kujibu bila kufuatilia alicho sema Mpina. Kunguni mwingine huyo.
 
Back
Top Bottom