Dkt. Muchunguzi alimuelewa Mpina?

Dkt. Muchunguzi alimuelewa Mpina?

Mzee anadai tulikua kwenye Crisis, wakati Ushahidi unaonyesha Wamiliki wa Viwanda wanaozalisha Sukari, na ambao ndio Sheria imewapa Nguvu ya kuagiza Sukari nje, waliomba Kibali, Bashe akawacheleweshea Kibali kiasi Cha wao kushindwa kuagiza Sukari Kwa wakati.

Mzaa hakaz anasema, sio Dhambi Kampuni ya Stationary kuagiza Sukari, anajisahaulisha kua Kampunzi zote zilizotajwa Kwa Ushahidi wa Mpina ni madudu madudu tupu sio Brela, sio Uwezo wa Kipesa, hali inayoleta maswali Kwa Watanzania kua "Huenda Wezi na Mafisadi, walitengeneza Suala la Sukari, wakapewa Msamaha, wakaingiza Sukari Yao ili kupiga Hela?

Ama Hakika Hata MJINGA NAYE ANAZEEKA NA UJINGA WAKE.

View attachment 3019067


Pia soma:
Hayo nimadhara ya njaa kuhamia kichwani mkuu, watu hawaoni tatizo kujitoa akili.
 
Kamwe siwezi kabisa kukielewa mkuu 'Sakasaka'.
Tumekuwa watu (huru?) zaidi ya miaka 60 sasa, lakini wananchi wetu ni kama wamerudi kinyume nyume miaka kadhaa kabla ya uhuru? Hili linanishinda kulielewa.
Mbona simple mkuu, Umasikini-hongo-rushwa- ujinga-na upumbaf.
 
Usipo sikiliza utajuaje kuwa ni takataka au siyo mkuu 'TUKANA'?

LOOoh!

Tena jamaa ni Doctor kabisa! Dr. Muchunguzi. Sijui ni Doctor katika vitu gani huyu, kuna anayejuwa atueleze?

Mazungumzo yote jamaa anajikanyagakanyaga tu, hakuna anachoeleza kikaeleweka!

Waalimu mtanisamehe, inawezekana huyu bwana alikuwa ni mwalimu. Wanafunzi wake walikuwa na shida kubwa sana.

Hapa inawezekana jamaa anapambania uteuzi!

Siwezi kuondoka kabla ya kumchambua kidogo huyu Daktari wetu jinsi nilivyo msoma:
1. Zungumza yake ya haraka haraka, unajuwa maana yake ni nini? Ni udhaifu, udanganyifu, kuvungavunga mambo; ili mradi aonekane anajuwa.

2. Lugha ya kimwili, aliyoiita mwenyewe 'body language'. Anaruka ruka sana anapozungumza. Mikono ipo kila sehemu. Macho na mdomo, vyote anavitumia kwa wakati mmoja. Hii ni kutaka kupoteza lengo. Kumfanya anayemsikiliza asiweke akili yake kwa yale anayoyazungumza, bali anavuta akili za msikilizaji kwa mambo yasiyo husika na kinachozungumziwa

3.' Incoherent'. Mtiririko wa anayozungumzia hayana mpangilio unaofuatana vizuri ili kujenga hoja inayoeleweka. Anashutumu, hapo hapo anaruka na kusema hamlaumu anayemshutumu. Huyu ndiye Daktari wetu.
4.Kujikomba/unafiki. hata haoni aibu

Wananchi wanao chagua wabunge wa namna hii, sijui wanavutiwa na kitu gani hasa!
Nani amchague mkuu? Rushwa mtupu
 
Mzee anadai tulikua kwenye Crisis, wakati Ushahidi unaonyesha Wamiliki wa Viwanda wanaozalisha Sukari, na ambao ndio Sheria imewapa Nguvu ya kuagiza Sukari nje, waliomba Kibali, Bashe akawacheleweshea Kibali kiasi Cha wao kushindwa kuagiza Sukari Kwa wakati.

Mzaa hakaz anasema, sio Dhambi Kampuni ya Stationary kuagiza Sukari, anajisahaulisha kua Kampunzi zote zilizotajwa Kwa Ushahidi wa Mpina ni madudu madudu tupu sio Brela, sio Uwezo wa Kipesa, hali inayoleta maswali Kwa Watanzania kua "Huenda Wezi na Mafisadi, walitengeneza Suala la Sukari, wakapewa Msamaha, wakaingiza Sukari Yao ili kupiga Hela?

Ama Hakika Hata MJINGA NAYE ANAZEEKA NA UJINGA WAKE.

View attachment 3019067


Pia soma:
Braza watu wanatafuta Hela. Kati ya maeneo ambayo Kuna syndicate yenye nguvu ni sukari. Wanaweza kuiangusha hata serikali. Ni kama zao la mahindi Kwa wakenya. Ni rahisi sana Kwa serikali ya Kenya kuanguka ikiwa Bei ya unga itakua haishikiki. Ni sawa na mkate wa Marie Antoinette.
Ila kule kwenye uzi wako wa Magufuli Bus terminal umesharudi kuchungulia?
 
Wenye viwanda walijua mapema kuwa kipindi cha kuaimamisha uzalishaji kina kuja na kitakuwa cha muda wa mrefu zaidi kutokana na mvua ya El Nino wwakaishia kusubiri stock yao yote iishe kwanza na kusababisha uhaba na kupanda bei usio wa lazima.
Huko Mwanza hata hicho kiasi kidogo walicho agiza kulikuwa kwenye ghala la msambazaji mmoja bila kuuzwa Ili bei iendelee kupaa,ukitaka wizara ifanyeje,kwenye hali mbaya na kelele nyingi?
Kwa mujibu wa Mpina na barua anazosema ameziambatanisha ni kwamba viwanda viliomba mapea ila kibali kilichelewa kutolewa na anasema kilitolewa Januari (kwanini kilicheleweshwa je ili kutengeneza uhaba?)
 
Mzee anadai tulikua kwenye Crisis, wakati Ushahidi unaonyesha Wamiliki wa Viwanda wanaozalisha Sukari, na ambao ndio Sheria imewapa Nguvu ya kuagiza Sukari nje, waliomba Kibali, Bashe akawacheleweshea Kibali kiasi Cha wao kushindwa kuagiza Sukari Kwa wakati.

Mzaa hakaz anasema, sio Dhambi Kampuni ya Stationary kuagiza Sukari, anajisahaulisha kua Kampunzi zote zilizotajwa Kwa Ushahidi wa Mpina ni madudu madudu tupu sio Brela, sio Uwezo wa Kipesa, hali inayoleta maswali Kwa Watanzania kua "Huenda Wezi na Mafisadi, walitengeneza Suala la Sukari, wakapewa Msamaha, wakaingiza Sukari Yao ili kupiga Hela?

Ama Hakika Hata MJINGA NAYE ANAZEEKA NA UJINGA WAKE.



Pia soma:
Kwahiyo taarifa iliyotolewa ni ya uwongo...

Huenda ndo kweli...

Siasa ngumu sana
 
Back
Top Bottom