Pre GE2025 Dkt. Mujwahuzi: Vyama vingine viige mfano wa CCM katika kuchagua viongozi

Pre GE2025 Dkt. Mujwahuzi: Vyama vingine viige mfano wa CCM katika kuchagua viongozi

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

mwanamwana

JF-Expert Member
Joined
Aug 1, 2011
Posts
1,309
Reaction score
4,798
Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM), Dkt. Leonce Mujwahuzi amesema kuwa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimeendelea kuwa imara kutokana na kuwa na utaratibu mzuri wa kuchagua viongozi wake kwa utaratibu wa kuwabadilisha na kuchagua viongozi wapya kila baada ya muda fulani ambapo inapelekea viongozi hao kuja na maono mapya na ya tofauti katika kuongoza chama hicho.

Ameongeza kuwa, vyama vingine pamoja na taasisi vinapaswa kuiga mfano huo kwa kujenga utaratibu wa kubadili viongozi wao baada ya muda fulani ili kuendelea kuimarika na kuleta maono mapya katika uongozi wa vyama vyao.

Dkt. Mujwahuzi amesema hayo kupitia Kipindi cha Mizani cha TBC1 alipokua akichangia mada kuhusu tathmini ya Miaka 48 ya Chama cha Mapinduzi (CCM) tangu kuanzishwa kwake pamoja na uelekeo wa chama hicho.
 
Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM), Dkt. Leonce Mujwahuzi amesema kuwa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimeendelea kuwa imara kutokana na kuwa na utaratibu mzuri wa kuchagua viongozi wake kwa utaratibu wa kuwabadilisha na kuchagua viongozi wapya kila baada ya muda fulani ambapo inapelekea viongozi hao kuja na maono mapya na ya tofauti katika kuongoza chama hicho.

Ameongeza kuwa, vyama vingine pamoja na taasisi vinapaswa kuiga mfano huo kwa kujenga utaratibu wa kubadili viongozi wao baada ya muda fulani ili kuendelea kuimarika na kuleta maono mapya katika uongozi wa vyama vyao.

Dkt. Mujwahuzi amesema hayo kupitia Kipindi cha Mizani cha TBC1 alipokua akichangia mada kuhusu tathmini ya Miaka 48 ya Chama cha Mapinduzi (CCM) tangu kuanzishwa kwake pamoja na uelekeo wa chama hicho.
Viige kupita bila kupingwa pia?
 
Ndio maana watu wameshindwa kuwatofautisha wasomi na kina Babalevo, maana midomo yao ikifunguka kutamka hoja vijana wanabaki vinywa wazi na wazee wanasikitika kuuza mbuzi wao kulipa Ada wasome maana bora wangechinja na kunywa supu kama ile ya Yanga. (Joke, watu wa Yanga msichukie)
 
Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM), Dkt. Leonce Mujwahuzi amesema kuwa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimeendelea kuwa imara kutokana na kuwa na utaratibu mzuri wa kuchagua viongozi wake kwa utaratibu wa kuwabadilisha na kuchagua viongozi wapya kila baada ya muda fulani ambapo inapelekea viongozi hao kuja na maono mapya na ya tofauti katika kuongoza chama hicho.

Ameongeza kuwa, vyama vingine pamoja na taasisi vinapaswa kuiga mfano huo kwa kujenga utaratibu wa kubadili viongozi wao baada ya muda fulani ili kuendelea kuimarika na kuleta maono mapya katika uongozi wa vyama vyao.

Dkt. Mujwahuzi amesema hayo kupitia Kipindi cha Mizani cha TBC1 alipokua akichangia mada kuhusu tathmini ya Miaka 48 ya Chama cha Mapinduzi (CCM) tangu kuanzishwa kwake pamoja na uelekeo wa chama hicho.
Njaa ni mbaya sana.....
 
Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM), Dkt. Leonce Mujwahuzi amesema kuwa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimeendelea kuwa imara kutokana na kuwa na utaratibu mzuri wa kuchagua viongozi wake kwa utaratibu wa kuwabadilisha na kuchagua viongozi wapya kila baada ya muda fulani ambapo inapelekea viongozi hao kuja na maono mapya na ya tofauti katika kuongoza chama hicho.

Ameongeza kuwa, vyama vingine pamoja na taasisi vinapaswa kuiga mfano huo kwa kujenga utaratibu wa kubadili viongozi wao baada ya muda fulani ili kuendelea kuimarika na kuleta maono mapya katika uongozi wa vyama vyao.

Dkt. Mujwahuzi amesema hayo kupitia Kipindi cha Mizani cha TBC1 alipokua akichangia mada kuhusu tathmini ya Miaka 48 ya Chama cha Mapinduzi (CCM) tangu kuanzishwa kwake pamoja na uelekeo wa chama hicho.
atakuwa anachukua dawa mirembe huyu ndiyo maana wamempangia chuo cha kata udom
 
Viige kupita bila kupingwa pia?

Haswaaa hiki ndicho anachokilenga!
Hawa ndiyo walewahadhiri wajinga wanaowaharibu akili vijana wetu wanapoenda vyuoni.

Kuna nini chema cha kuiga kutoka CCM, chama ambacho watu wanabadilishana uongozi wanagawana kama wanagawana mabumunda, hakuna hata uchaguzi, zaidi ya unafiki wa ""Ndiyooo"! Uninga huo wameupeleka mpaka Bungeni, na kulifanya Bunge kuwa takataka.

Huyu mhadhiri mnafiki, ebu aseme, Samia alipata kura ngapi kuteuliwa kuwa mgombea wa Urais.

Huyu mhadhiri, njaa imefanikiwa kumwondlea akili, kiasi cha kuifanya elimu aliyoipata kutokywa na maana kwake wala kwa mtu yeyote yule. Ukifundishwa na mtu kama huyu utaishia kuwa kama yeye!!
 
Hawa ndiyo walewahadhiri wajinga wanaowaharibu akili vijana wetu wanapoenda vyuoni.

Kuna nini chema cha kuiga kutoka CCM, chama ambacho watu wanabadilishana uongozi wanagawana kama wanagawana mabumunda, hakuna hata uchaguzi, zaidi ya unafiki wa ""Ndiyooo"! Uninga huo wameupeleka mpaka Bungeni, na kulifanya Bunge kuwa takataka.

Huyu mhadhiri mnafiki, ebu aseme, Samia alipata kura ngapi kuteuliwa kuwa mgombea wa Urais.

Huyu mhadhiri, njaa imefanikiwa kumwondlea akili, kiasi cha kuifanya elimu aliyoipata kutokywa na maana kwake wala kwa mtu yeyote yule. Ukifundishwa na mtu kama huyu utaishia kuwa kama yeye!!
Huyu ni mhadhiri lakini yeye wenyewe hana akili timamu unatengemea product zinatoka pale zitakuwaje? yanatoka majitu majinga haswa
 
Kwa yale yaliyotokea Dodoma, sidhani kama kuna la kuigwa🙉
 
Ma Dr watanzania wengi wanafanana na Dr Kasheku Musukuma, Dr Hamisi Taletale ,Dr Mwigulu na huyu ni wa hovyo zaidi
 
Back
Top Bottom