Pre GE2025 Dkt. Mujwahuzi: Vyama vingine viige mfano wa CCM katika kuchagua viongozi

Pre GE2025 Dkt. Mujwahuzi: Vyama vingine viige mfano wa CCM katika kuchagua viongozi

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM), Dkt. Leonce Mujwahuzi amesema kuwa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimeendelea kuwa imara kutokana na kuwa na utaratibu mzuri wa kuchagua viongozi wake kwa utaratibu wa kuwabadilisha na kuchagua viongozi wapya kila baada ya muda fulani ambapo inapelekea viongozi hao kuja na maono mapya na ya tofauti katika kuongoza chama hicho.

Ameongeza kuwa, vyama vingine pamoja na taasisi vinapaswa kuiga mfano huo kwa kujenga utaratibu wa kubadili viongozi wao baada ya muda fulani ili kuendelea kuimarika na kuleta maono mapya katika uongozi wa vyama vyao.

Dkt. Mujwahuzi amesema hayo kupitia Kipindi cha Mizani cha TBC1 alipokua akichangia mada kuhusu tathmini ya Miaka 48 ya Chama cha Mapinduzi (CCM) tangu kuanzishwa kwake pamoja na uelekeo wa chama hicho.
Una hakika huyu ni Daktari kweli? Hapana hii itakuwa ng'ombe iliyosomeshwa na mzazi wake baada ya kuuza ng'ombe. Mzazi aliuza ng'ombe kusomesha ng'ombe nyingine.
 
Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM), Dkt. Leonce Mujwahuzi amesema kuwa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimeendelea kuwa imara kutokana na kuwa na utaratibu mzuri wa kuchagua viongozi wake kwa utaratibu wa kuwabadilisha na kuchagua viongozi wapya kila baada ya muda fulani ambapo inapelekea viongozi hao kuja na maono mapya na ya tofauti katika kuongoza chama hicho.

Ameongeza kuwa, vyama vingine pamoja na taasisi vinapaswa kuiga mfano huo kwa kujenga utaratibu wa kubadili viongozi wao baada ya muda fulani ili kuendelea kuimarika na kuleta maono mapya katika uongozi wa vyama vyao.

Dkt. Mujwahuzi amesema hayo kupitia Kipindi cha Mizani cha TBC1 alipokua akichangia mada kuhusu tathmini ya Miaka 48 ya Chama cha Mapinduzi (CCM) tangu kuanzishwa kwake pamoja na uelekeo wa chama hicho.
Bila kusahau upigaji 🤣
 
Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM), Dkt. Leonce Mujwahuzi amesema kuwa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimeendelea kuwa imara kutokana na kuwa na utaratibu mzuri wa kuchagua viongozi wake kwa utaratibu wa kuwabadilisha na kuchagua viongozi wapya kila baada ya muda fulani ambapo inapelekea viongozi hao kuja na maono mapya na ya tofauti katika kuongoza chama hicho.

Ameongeza kuwa, vyama vingine pamoja na taasisi vinapaswa kuiga mfano huo kwa kujenga utaratibu wa kubadili viongozi wao baada ya muda fulani ili kuendelea kuimarika na kuleta maono mapya katika uongozi wa vyama vyao.

Dkt. Mujwahuzi amesema hayo kupitia Kipindi cha Mizani cha TBC1 alipokua akichangia mada kuhusu tathmini ya Miaka 48 ya Chama cha Mapinduzi (CCM) tangu kuanzishwa kwake pamoja na uelekeo wa chama hicho.
Huyu hastahili kuitwa msomi. Watanzania wameshajionea namna Viongozi wanavyotakiwa kupatikana uchaguzi wa kihistoria wa CHADEMA.

Mwambie aendelee kutafuta cheo cha uteuzi kwa kujipendekeza.
 
Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM), Dkt. Leonce Mujwahuzi amesema kuwa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimeendelea kuwa imara kutokana na kuwa na utaratibu mzuri wa kuchagua viongozi wake kwa utaratibu wa kuwabadilisha na kuchagua viongozi wapya kila baada ya muda fulani ambapo inapelekea viongozi hao kuja na maono mapya na ya tofauti katika kuongoza chama hicho.

Ameongeza kuwa, vyama vingine pamoja na taasisi vinapaswa kuiga mfano huo kwa kujenga utaratibu wa kubadili viongozi wao baada ya muda fulani ili kuendelea kuimarika na kuleta maono mapya katika uongozi wa vyama vyao.

Dkt. Mujwahuzi amesema hayo kupitia Kipindi cha Mizani cha TBC1 alipokua akichangia mada kuhusu tathmini ya Miaka 48 ya Chama cha Mapinduzi (CCM) tangu kuanzishwa kwake pamoja na uelekeo wa chama hicho.
Hicho kuna nini kizuri cha kuigwa,yawezekana binafsi sijaona wala kusikia?
 
Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM), Dkt. Leonce Mujwahuzi amesema kuwa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimeendelea kuwa imara kutokana na kuwa na utaratibu mzuri wa kuchagua viongozi wake kwa utaratibu wa kuwabadilisha na kuchagua viongozi wapya kila baada ya muda fulani ambapo inapelekea viongozi hao kuja na maono mapya na ya tofauti katika kuongoza chama hicho.

Ameongeza kuwa, vyama vingine pamoja na taasisi vinapaswa kuiga mfano huo kwa kujenga utaratibu wa kubadili viongozi wao baada ya muda fulani ili kuendelea kuimarika na kuleta maono mapya katika uongozi wa vyama vyao.

Dkt. Mujwahuzi amesema hayo kupitia Kipindi cha Mizani cha TBC1 alipokua akichangia mada kuhusu tathmini ya Miaka 48 ya Chama cha Mapinduzi (CCM) tangu kuanzishwa kwake pamoja na uelekeo wa chama hicho.
Huyu atajuwa mtu wa burundi au rwanda, hatuna jina hilo sisi. Hawa watu pia huwa wanaa.biwa wakija tz ili wabaki salama waseme kuwa wanapenda yanga na ccm
 
Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM), Dkt. Leonce Mujwahuzi amesema kuwa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimeendelea kuwa imara kutokana na kuwa na utaratibu mzuri wa kuchagua viongozi wake kwa utaratibu wa kuwabadilisha na kuchagua viongozi wapya kila baada ya muda fulani ambapo inapelekea viongozi hao kuja na maono mapya na ya tofauti katika kuongoza chama hicho.

Ameongeza kuwa, vyama vingine pamoja na taasisi vinapaswa kuiga mfano huo kwa kujenga utaratibu wa kubadili viongozi wao baada ya muda fulani ili kuendelea kuimarika na kuleta maono mapya katika uongozi wa vyama vyao.

Dkt. Mujwahuzi amesema hayo kupitia Kipindi cha Mizani cha TBC1 alipokua akichangia mada kuhusu tathmini ya Miaka 48 ya Chama cha Mapinduzi (CCM) tangu kuanzishwa kwake pamoja na uelekeo wa chama hicho.
Sawa, lakini teuzi tumemaliza.
 
Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM), Dkt. Leonce Mujwahuzi amesema kuwa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimeendelea kuwa imara kutokana na kuwa na utaratibu mzuri wa kuchagua viongozi wake kwa utaratibu wa kuwabadilisha na kuchagua viongozi wapya kila baada ya muda fulani ambapo inapelekea viongozi hao kuja na maono mapya na ya tofauti katika kuongoza chama hicho.

Ameongeza kuwa, vyama vingine pamoja na taasisi vinapaswa kuiga mfano huo kwa kujenga utaratibu wa kubadili viongozi wao baada ya muda fulani ili kuendelea kuimarika na kuleta maono mapya katika uongozi wa vyama vyao.

Dkt. Mujwahuzi amesema hayo kupitia Kipindi cha Mizani cha TBC1 alipokua akichangia mada kuhusu tathmini ya Miaka 48 ya Chama cha Mapinduzi (CCM) tangu kuanzishwa kwake pamoja na uelekeo wa chama hicho.
Kumbe ndiyo maana hiki chuo kinazalisha vilaza
 
Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM), Dkt. Leonce Mujwahuzi amesema kuwa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimeendelea kuwa imara kutokana na kuwa na utaratibu mzuri wa kuchagua viongozi wake kwa utaratibu wa kuwabadilisha na kuchagua viongozi wapya kila baada ya muda fulani ambapo inapelekea viongozi hao kuja na maono mapya na ya tofauti katika kuongoza chama hicho.

Ameongeza kuwa, vyama vingine pamoja na taasisi vinapaswa kuiga mfano huo kwa kujenga utaratibu wa kubadili viongozi wao baada ya muda fulani ili kuendelea kuimarika na kuleta maono mapya katika uongozi wa vyama vyao.

Dkt. Mujwahuzi amesema hayo kupitia Kipindi cha Mizani cha TBC1 alipokua akichangia mada kuhusu tathmini ya Miaka 48 ya Chama cha Mapinduzi (CCM) tangu kuanzishwa kwake pamoja na uelekeo wa chama hicho.
CCM wanafanya mzunguko wa watu toka familia moja, (recycling the same figures) or from family members

Watu wale wale wa familia moja ukoo mmoja Ndiyo wanakuwa viongozi wenye mamlaka
 
Dr yuko sahihi. CCM ni baba wa demokrasia hapa nchini. Bila CCM imara nchi itayumba.
 
dah! angejua graduate wanayopitia mtaani,imagine mtu na masters yake n mlinzi alafu asikie utumbo kama huu.
 
Una hakika huyu ni Daktari kweli? Hapana hii itakuwa ng'ombe iliyosomeshwa na mzazi wake baada ya kuuza ng'ombe. Mzazi aliuza ng'ombe kusomesha ng'ombe nyingine.
Jamaa yuko vizuri tu,mkatoliki safi na alipiga seminary had first degree sema ni victim of circumstances tu.Wanakuita,wakupa posjo kisha wakwandikia cha kusema
 
Huyu atajuwa mtu wa burundi au rwanda, hatuna jina hilo sisi. Hawa watu pia huwa wanaa.biwa wakija tz ili wabaki salama waseme kuwa wanapenda yanga na ccm
Huyu ni mwamba kabisa toka Kabare village,Muleba, Kagera.Anatetea nafasi
 
Nilipokuwa mdogo nilifikiri kuwa ma-Doctor au ma-Prof wanakuwa na ubobevu wa hali ya juu!
Human herding in politics is an occurrence of entrusted people suspending their individual reasoning because of flattering or working towards group objectives and hypocrite

Unyumbu wa kisiasa ni tabia ya wanaopewa dhamana huahirisha kufikiri kwa nafsi kwasababu ya kujipendekeza ama kulitumikia kundi fulani kwa masilahi binafsi na uoga wa kuigiza kwa viongozi wao, (unafiki)
 
Back
Top Bottom