pilipili kichaa
JF-Expert Member
- Sep 3, 2013
- 18,406
- 14,643
Tumsamehe Tu, Elimu HaijamkomboaViige kupita bila kupingwa pia?
Aibu Sana Alichoongea Huyo Yaani CCM Iwe Mfano?Halafu huyu ndie anafundisha watoto wetu waje kuwa Taifa la kesho!
Huyu hakufaa kabisa kuwa mhadhiri wa chuo hata chembe!
Mhadhiri hajui maana ya uchaguzi wa demokrasia,haki na uwazi!
Uchaguzi ulikuwa wa CDM na sio huu!
TAKATAKAHawa wasomi wa siku hizi utumbo mtupu
Profesa SHIVJI alishapotelea wapi? Daah
huyu muungwana ni miongoni mwa wahadhiri wasomi muhimu na wenye maono huru na ya kipekee sana nchini Tanzania,Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM), Dkt. Leonce Mujwahuzi amesema kuwa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimeendelea kuwa imara kutokana na kuwa na utaratibu mzuri wa kuchagua viongozi wake kwa utaratibu wa kuwabadilisha na kuchagua viongozi wapya kila baada ya muda fulani ambapo inapelekea viongozi hao kuja na maono mapya na ya tofauti katika kuongoza chama hicho.
Ameongeza kuwa, vyama vingine pamoja na taasisi vinapaswa kuiga mfano huo kwa kujenga utaratibu wa kubadili viongozi wao baada ya muda fulani ili kuendelea kuimarika na kuleta maono mapya katika uongozi wa vyama vyao.
Dkt. Mujwahuzi amesema hayo kupitia Kipindi cha Mizani cha TBC1 alipokua akichangia mada kuhusu tathmini ya Miaka 48 ya Chama cha Mapinduzi (CCM) tangu kuanzishwa kwake pamoja na uelekeo wa chama hicho.
Mbona anazungumza kinyume chake. Nikadhani anasema waited CHADEMA. Maana ndio walikuwa na uchaguzi hivi karibuni na walionesha mfano wa kuigwa.Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM), Dkt. Leonce Mujwahuzi amesema kuwa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimeendelea kuwa imara kutokana na kuwa na utaratibu mzuri wa kuchagua viongozi wake kwa utaratibu wa kuwabadilisha na kuchagua viongozi wapya kila baada ya muda fulani ambapo inapelekea viongozi hao kuja na maono mapya na ya tofauti katika kuongoza chama hicho.
Ameongeza kuwa, vyama vingine pamoja na taasisi vinapaswa kuiga mfano huo kwa kujenga utaratibu wa kubadili viongozi wao baada ya muda fulani ili kuendelea kuimarika na kuleta maono mapya katika uongozi wa vyama vyao.
Dkt. Mujwahuzi amesema hayo kupitia Kipindi cha Mizani cha TBC1 alipokua akichangia mada kuhusu tathmini ya Miaka 48 ya Chama cha Mapinduzi (CCM) tangu kuanzishwa kwake pamoja na uelekeo wa chama hicho.
Tusimlaumu, ameongea ya kutoka TUMBONI, hayajatoka KICHWANI!Nilipokuwa mdogo nilifikiri kuwa ma-Doctor au ma-Prof wanakuwa na ubobevu wa hali ya juu!
Recycling hii ni ya kipumbavu sana! Shit!CCM wanafanya mzunguko wa watu toka familia moja, (recycling the same figures) or from family members
Watu wale wale wa familia moja ukoo mmoja Ndiyo wanakuwa viongozi wenye mamlaka
Hawezi panda TEC huyo,mtj wao,ilibak kidogo awe padreKuna mahali kaiponda Kenya kwa kuwa na Marais waliotoka makabila mawili tu lakini Tz tumekuwa na Marais kutoka makabila 6 tofauti. Lakini ajabu hajasema kwanini upande wa Tz Marais hao 6 ni kutoka Bakwata na TEC tu na siyo Imani nyingine tofauti...
Dkt Mujwahuzi kazingua
Lakini kwanini usibaki masikini lakini ukatetea wanyonge kuliko kukimbilia vyeo na fedha? Mandela na Nyerere wamekufa bila utajiri wowote lakini majina yao yanaishi mpk leoMsameheni Classmate wangu anatetea ugali tu.Anachungulia teuzi maana hivi vyuo ni majalalani.
Tuikatae kabisa kwa nguvu zoteRecycling hii ni ya kipumbavu sana! Shit!
Kuwa mkatoliki na kusoma seminary ndo kunakufanya usiwe mjinga na usiendekeze tumbo? Huyo ni mjinga tu!Jamaa yuko vizuri tu,mkatoliki safi na alipiga seminary had first degree sema ni victim of circumstances tu.Wanakuita,wakupa posjo kisha wakwandikia cha kusema
Wale walikuwa ma uhakik wa kutoboa kupitia wanyogeLakini kwanini usibaki masikini lakini ukatetea wanyonge kuliko kukimbilia vyeo na fedha? Mandela na Nyerere wamekufa bila utajiri wowote lakini majina yao yanaishi mpk leo
Lisu ana utajiri gani au Jaji Warioba? ni uzalendo wa mtuWale walikuwa ma uhakik wa kutoboa kupitia wanyoge