Dkt. Musukuma ni muongo asiye na aibu

Dkt. Musukuma ni muongo asiye na aibu

NewPage

JF-Expert Member
Joined
Mar 22, 2021
Posts
1,321
Reaction score
2,106
Huyu mtu kwanza huwa ni kigeugeu. Kama unakumbuka Wenyeviti wa CCM waliokuwa Timu Lowasa naye alikuwa ni mmoja wao. Ikaja Lowasa alipotemwa akahamia kwa JPM na ili kumpendezesha JPM hadi akampakazia Lowassa kujinyea! Au MMESAHAU?

Sasa MUSUKUMA kwenye Wasifu wake siku zote alikuwa anadai kazalimwa Mwaka 1974 na kisha shule ya Msingi akamaliza Mwaka 1986.

Kwa zamani isingewezekana kabisa kumaliza shule ukiwa na miaka 12 - kwa sasa inawezekana kwa baadhi ya watoto wa familia zile! Hivyo basi mnaomzingatia Musukuma mnapotea na mie sijawahi kuamini chochote - NASEMA CHOCHOTE, ambacho Musukuma hukiwasilisha!

Angalia link hii:
 
Dr. katika ubora wake.

1638964263610.png

Baada ya mwendazake kuondoka jamaa kapiga u-turn kwenye main road, kakimbilia kuchanja Johnson Johnson mgawo wa kwanza kabisa - nyungu hataki tena....aaaa doktaaaaaa weee
 
Dr. katika ubora wake.

View attachment 2037143
Baada ya mwendazake kuondoka jamaa kapiga u-turn kwenye main road, kakimbilia kuchanja Johnson Johnson mgawo wa kwanza kabisa - nyungu hataki tena....aaaa doktaaaaaa weee
Unaona - kuna ushahidi mwingi wa uhuni wake huyu Gwiji!
 
Humuamini and you call him Dkt[emoji1787]
CCM sijui mganga wa kuwarogoroa atapatikana lini
 
Huyu mtu kwanza huwa ni kigeugeu. Kama unakumbuka Wenyeviti wa CCM waliokuwa Timu Lowasa naye alikuwa ni mmoja wao. Ikaja Lowasa alipotemwa akahamia kwa JPM na ili kumpendezesha JPM hadi akampakazia Lowassa kujinyea! Au MMESAHAU?

Sasa MUSUKUMA kwenye Wasifu wake siku zote alikuwa anadai kazalimwa Mwaka 1974 na kisha shule ya Msingi akamaliza Mwaka 1986.

Kwa zamani isingewezekana kabisa kumaliza shule ukiwa na miaka 12 - kwa sasa inawezekana kwa baadhi ya watoto wa familia zile! Hivyo basi mnaomzingatia Musukuma mnapotea na mie sijawahi kuamini chochote - NASEMA CHOCHOTE, ambacho Musukuma hukiwasilisha!

Angalia link hii:
Bunge update taarifa za Dr. Musukuma kwenye elimu baada ya Fulwe Primary School waongeze PHD kutoka chuo cha AGUP
 
Back
Top Bottom