Dkt. Musukuma ni muongo asiye na aibu

Hizi PHd wanazopewa wabunge wetu na makada wa CCM ukiangalia vizuri wanapewa wakati kuna mjadala wa miradi mikubwa, na zile safari zetu za kujifunza ulaya zinaongezeka, kweli wazungu wanajua kucheza na vichwa vya waafrica
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…