Dkt. Musukuma: Vyuo 11 vinanihitaji nikafundishe Uchumi

Sir robby

JF-Expert Member
Joined
Jun 22, 2022
Posts
2,396
Reaction score
4,080
Wadau mbunge wa Geita ambaye ametunikiwa degree ya heshima na chuo kikuu kisichojulikana amejinadi kuwa kuna vyuo vikuu kama UDSM, SAUT n.k vinamhitaji akawafundishe elimu ya uchumi. Msomi huyo aliyemaliza elimu yake ya darasa la 7 lakini akatunikiwa degree na kuwa daktari, kwa sasa amesema kuwa yupo tayari kwenda kufundisha uchumi ktk hivyo vyuo.

Hebu msikilize Dkt. Musukuma.

Your browser is not able to display this video.
 
Ni Tz peke ambao watu waheshimu Elimu, au kwasababu hawaijui au ni washamba tu.
 
Wadau mbunge wa Geita ambaye ametunikiwa degree ya heshima na chuo kikuu kisichojulikana amejinadi kuwa kuna vyuo vikuu kama UDSM, SAUT...
Msukuma hayupo sawa nashauri akapimwe akili. Kashindwa kulisaidia jimbo na chama chake kwenye masuala ya uchumi ndio akafundishe chuo kikuu.

Nafikili labda hatumwelewi uchumi gani anaouzungumzia
 
Anaweza Kwenda kuto Lecture siyo kufundisha. Kuongelea yeye namna alivyofanikiwa siyo kufundisha
 
Wadau mbunge wa Geita ambaye ametunikiwa degree ya heshima na chuo kikuu kisichojulikana amejinadi kuwa kuna vyuo vikuu kama UDSM, SAUT n.k vinamhitaji akawafundishe elimu ya uchumi...

Mamaweeee
 
Ili kuishi maisha marefu bongo inahitajika kuwa na bando muda wote.hakika hutakaukiwa na tabasamu,furaha na kicheko
 
Haya yote waliosababisha ni CCM kwa kuweka kipengele sifa ya kutaka kuwa mbunge,ni kujua kusoma na kuandika
 
Atatumia lugha gani kufundishia. Au anataka atengenezewe mtaala wake.

Hapo hata hao waliomtunuku wanaona aibu
 
Ameishia la saba akamfundishe mtu wa elimu ya form6 na chuo ye akafundishe mwanaye.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…