Mowwo
JF-Expert Member
- Aug 15, 2015
- 1,083
- 1,628
Mwaka sio Daktari, ni mjinga anayewadanganya wajinga wenzake kupata fedha, watu kama hawa ni kuwafungia maisha. Dr. Kigwangala alimfungia sijui iliishia wapi. Huyu anacheza na afya za watu, tapeli hatari kabisa
Wako wapi sasa
Au mmoja bado ni mke mdg