Nimekua nikimini na kusikitika sana juu ya Bwana mkubwa wetu nikiamini kalishwa sumu,lakini nimebaini from a reliable source kua sivyo kama sisi tunavyofikiri.Dr wa Appolo(jina kapuni) Ambaye huwa anashugulikia A/c za madeni kwa matibabu za wakuu wetu wanapokwenda kutibiwa Appolo alitukata duku duku letu nikiwA na waziri(jina kpuni) baada ya kummuliza ni nini hasa kinachomsumbua mkuu wetu maana mneno yamekua ni mengi mtaani.
Jibu alilotupa lilikua ni moja,kua huyu jamaa yetu anatafuta pakulalama tuu ila ukweli wa mambo ni AMEUNGUA/NGWENGWE.NimeshAngaa kusikia hivyo na I had to take back my words kwasababu nilimchukia sana Manumba kwa kauli yake na nikamuita MKATILI nikidhani anakwepesha ukweli wa mambo kwa kusema ugonjwa wake hAuusini na sumu.Kumbe alikua alikua anajua alisemalo.
Tumekua na wazo moja tuu la sumu,lakini hatukuwa tunafikiria upande mwingine wa shilingi.Mkuu wetu si ana file lake la Appolo,kwanini haliweki wazi?anaacha wtu walumbane tuu wakati ni kitu kidogo sana cha kuweka file wazi.MtAkuja amini ivi karibuni,time will tell.Hili ni dokezo tuu