Dkt. Mwakyembe aandika waraka wa siri!

Kwanini wanataka Mwakyembe afe?
Kwasasa wamejareibu kumuuua, lakini bado MUNGU HAJAMPENDA ZAIDI,
ni vyema wauaji wake wamuombe msamaha na watubu kwa Mwenyezi Mungu kutokana na dhambi hiyo ya uuaji
Mie naomba death iji reverse irudi ilikotoka pamoja na waliojadiliana. Hapo ndo utashangaa kitakachotokea
 
Ikiwa DCI ana nia ya dhati na hajanunuliwa na mafisadi kwa data zilizopo ana uwezo wa kufika pazuri kwenye upelelezi wake japo hawezi kuhitimisha kutokana uchunguzi wa madaktari unaoendelea India. DCI usiwe mvivu wa kufikiri.
 
Kwanini wanataka Mwakyembe afe?
Kwasasa wamejareibu kumuuua, lakini bado MUNGU HAJAMPENDA ZAIDI,
ni vyema wauaji wake wamuombe msamaha na watubu kwa Mwenyezi Mungu kutokana na dhambi hiyo ya uuaji


Mkuu Bujibuji, hapo kwenye red ni kuwa wanafanya toba yao kwa kuendesha harambee kwenye makanisa.
 
Kuna mada inajadiliwa Wapo Redio muda huu, inasema Watanzania wanapenda uongo kuliko ukweli, na Watanzania wengi ni waongo" mwisho wa kunukuu.
Sasa nimeanza kukubaliana na maneno ya kwenye mada hiyo ya Wapo Redio, hivi watu na akili zetu bado tunapoteza muda wetu kusikiliza porojo za Mwakyembe? mnasubili awape ripoti ya daktari kwani ile ripoti ya Richmond ameshawapa tayari? je mnajuwa alificha nini kwenye ile ripoti ya Richmond? huyu ni mtu wa kufichaficha sasa mwacheni aendelee kufichaficha, maana wanasema mficha maradhi mauti umuumbuwa, usikute jitu linauguwa mkanda wa jeshi limekalia kudanganya umma tu!
 
Mbona mi sioni jipya saaana la kuja kutundikwa huku, as if haijulikani...:violin:
 
kwenye hii movie mzee wa mamvi hawezi kosekana
 

sijawahi kusikia moja kati ya dalili za ngoma ni ngozi kupukutika..get your facts right mkuu...basi hiyo ni aina mpya ya ukimwi
 
sijawahi kusikia moja kati ya dalili za ngoma ni ngozi kupukutika..get your facts right mkuu...basi hiyo ni aina mpya ya ukimwi

Hata mimi ndio naisikia leo hiyo mkuu,kweli hiyo ni aina mpya ya ukimwi,ambayo dunia bado hatujatangaziwa!tatizo watanzania wengi tunapendaga sana kuropoka hata kwa mambo tusiyoyafahamu
 
sijawahi kusikia moja kati ya dalili za ngoma ni ngozi kupukutika..get your facts right mkuu...basi hiyo ni aina mpya ya ukimwi
Na mimi nijuavyo sumu kazi yake ni kuuwa faster, hizo sumu za kukaa mwaka mzima mnazijuwa nyinyi.
 
[/COLOR][/B][/I]Mkuu Bujibuji, hapo kwenye red ni kuwa wanafanya toba yao kwa kuendesha harambee kwenye makanisa.

Mkuu Mungu ni wa ajabu sana,amini nakuambia utaja shangaa mmoja kati ya hao wauaji ataopendwa na Mungu kabla ya Mwakyembe!
 

Ila ni rahisi kusingizia Ukimwi...tena ni rahisi sana...

Hasa nikijua kwa uhakika,ya kuwa unaishi na VVU... Aaah... Nakuwekea hata hizo sumu za chura na mijusi,haina haja ya zile za kitaalamu... Ukiugua,na ama ukiendelea kuugua na hatimaye kufariki... Camouflage ni Ukimwi wako uliokuwa unaishi na virusi vyake..
 

Alilishwa ofisini tofauti na maelezo ya jason bonne tukio kutokea mlimani city kwenye mkutano wa makandarasi
 
sijawahi kusikia moja kati ya dalili za ngoma ni ngozi kupukutika..get your facts right mkuu...basi hiyo ni aina mpya ya ukimwi

Ingawa siamini kwamba Dr. Mwakyembe ana UKIMWI but to put things in right persepective UKIMWI sio UGONJWA UKIMWI = Ukosefu wa KInga MWIlini (Acquired Immuno Decificient Syndrome = AIDS). Hivyo ukiwa na UKIMWI unaweza kuugua ugonjwa wowote ule including ugonjwa wa ngozi na dalili zake zinategemea na ugonjwa uliougua inaweza pia dalili ikawa ngozi kupukutika!

Tuendelee kutafakari
 
UKO Tanzania au nchi gani..! unawaamini sana polisi eeh, labda huijui Tanzania na kama unaijua yawezekana wewe ni sehemu ya jeshi la polisi ambalo limegeuka na kuwa "jeshi la majambazi na kulinda mafisadi" jeshi hili haliwezi kumlinda yeyote kama tu hapelekani na maslahi yao..!

Uliwahi kusikia wapi dunia hii jeshi la polisi wakipewa taarifa (tetesi) wanadai ushahidi ili waweze kuufanyia kazi kama sio hili "jeshi la majambazi na kulinda mafisad"? Na kama taarifa hizo ni za kuzuia maandamano hawahitaji ushahidi zaidi ya kung'ang'ana na taarifa za kiitelijensia? Ndugu yangu kama unaijua Tanzania usingeibuka ki-hivyo ila unaonekana ni mgeni au ni mmoja wao.

Katika majesi ya polisi yaliyokosa heshima duniani na hili la kwetu nalo limo japo sina rank.. kina Manumba, Mwema, Kagonji, nk wapo tu kwa maslahi ya makundi fulani ndani ya nchi yetu na sio zaidi ya hapo, ndio maana unaona ishu kama za Sitta na Mwakyembe zipo kwenye malumbano la sivyo wala hilo lisingekuwepo na siku nyingi ungesikia kuna watu wananyea kidebe lakini kwao hilo haliwezekani na wakitaka kukufanyia sinema ili angalau uwaamini bado kutakuwa na uonevu kwa kubambikiza makosa kwa watu maskini wasio katika genge lao..

Zinduka ndugu yangu.. Tanzania inataka "​major overhaul" ya system..
 
Kwa wale mnaotaka waraka ubandikwe hapa, other than the fact kuwa ni "wa siri", some of this stuff you need to know how to read btn the lines...

Moja: Waraka ulisambazwa kwa ndugu, jamaa na marafiki wa karibu.

Mbili: Inawezekana Tanzania Daima "wameuona" waraka huo...

Waraka huo ambao gazeti hili limeuona

Ni wazi kuwa wameuona na "hawana" waraka huo, ndiyo maana wanasema kuwa hawawezi kuandika "kwa undani" kuhusu waraka huo, ila hawajasema kuwa hawawezi kuuchapisha waraka huo...Kuandika kuhusu waraka kiundani ni tofauti na kuuchapisha/kuuprint.

Tanzania Daima Jumatano haliwezi kuandika kwa undani kuhusu waraka huo kwa sasa.
Ni mpaka hapo ndugu, jamaa ama rafiki wa Mwakyembe atakapoamuwa kubandika waraka huo humu, gazeti hapo limeripoti tu kama ambavyo mtu mwingine aliyeuona na kuusoma angeripoti.

My guts tells me MMM anao ama nayeye "kauona", juzi alisema something kuhusu yule dada aliyekuwa akifanya kazi ofisini kwake.
 
sijawahi kusikia moja kati ya dalili za ngoma ni ngozi kupukutika..get your facts right mkuu...basi hiyo ni aina mpya ya ukimwi

kuna zee la magamba limeniambia ni ngoma.
mwakiembe alikuwa anatumia madawa ya ngoma kwa kuficha ficha bila ushauri wa waganga.

hayo yamemdhuru na kumletea hayo matatizo yake ya sasa.

ugonjwa wa sasa ni reaction ya madawa ya kununua na kujinywea bila ushauri wa daktari. mizee inaogopa kwenda hospitali. madaktari wetu nyie choo mnatuma taarifa za mizee jf. sasa wanaogopa wanatuma wasaidizi kununua dawa kimya kimya.
mimi sijahakikisha nilichoambiwa maana magamba ni waongo waongo. ila kama K-killers anasema kweli basi habari ni hiyo mizeee.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…