Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Magu anapiga magoti sisi bado tunasimama , nani anayepelekwa mchakamchaka ?Hata kwa Magu mlisema hivyo hivyo, sasa hi I mnapelekwa mchakamcham...
Kuna tetesi kwamba ccm haitapata hata jimbo 1 hukohuko Singida watu wana hasira walitaka kuwaulia mtoto wao. yajayo yanatia uchungu kwa maCCM kila sehemu yanachukiwa.
Utajiri wa nchi, fedha za nchi ni mali ya wananchi. Chama kilichopo madarakani kinatakiwa kusimamia utajiri, kuuendeleza na kusimamia matumizi ya fedha za wananchi na sio kuzifuja au kujinadi kama za kwao.Hii ndio taarifa mpya inayovuma huko Iramba , kwamba Uwezekano wa Mwigulu Nchemba kurudi bungeni kwa njia ya kura ni kama haupo , Jessica Kishoa kishamkalia kooni , tangu njama za kumuengua Jessica kwa kutumia tume ya uchaguzi zilipobuma upepo ukageuka jumla , ama kwa hakika hakuna marefu yasiyokuwa na Ncha !
Picha hii hapa chini ya mkutano wa kata ya Ndago ni sehemu ndogo tu ya hali ilivyo hadi sasa
View attachment 1589501
Alijua atakuwa mbunge wa viti maalumHii ndio taarifa mpya inayovuma huko Iramba , kwamba Uwezekano wa Mwigulu Nchemba kurudi bungeni kwa njia ya kura ni kama haupo , Jessica Kishoa kishamkalia kooni , tangu njama za kumuengua Jessica kwa kutumia tume ya uchaguzi zilipobuma upepo ukageuka jumla , ama kwa hakika hakuna marefu yasiyokuwa na Ncha !
Picha hii hapa chini ya mkutano wa kata ya Ndago ni sehemu ndogo tu ya hali ilivyo hadi sasa
View attachment 1589501
Madelu akikosa ubunge lazima afe. Maana si kwa stress zile.Kuna tetesi kwamba ccm haitapata hata jimbo 1 huko
Bado kubong'oa tuu!Magu anapiga magoti sisi bado tunasimama , nani anayepelekwa mchakamchaka ?
Tumbili mbona alishatoswa! Tumbili labda achepuke na ShooonzaKila la kheri jesca, upate ubunge uwe na hela ukamtunze tumbili wako huko
Itabidi awe timu meneja wa Singida United ili aipandishe darajaMadelu akikosa ubunge lazima afe. Maana si kwa stress zile.
HahahahahahahKila la kheri jesca, upate ubunge uwe na hela ukamtunze tumbili wako huko
Mwigulu hata asipofanya kampeni atashinda kwa kishindo