Uchaguzi 2020 Dkt. Mwigulu akalia kuti kavu Jimboni, kuna kila dalili hatorudi, Jesca Kishoa amkalia kooni

Uchaguzi 2020 Dkt. Mwigulu akalia kuti kavu Jimboni, kuna kila dalili hatorudi, Jesca Kishoa amkalia kooni

Mwigulu hata asipofanya kampeni atashinda kwa kishindo
Hawa wanafunzi anaohutubia ni wapiga kura?!Mwigulu amekosa kibali cha wananchi
IMG_0948.JPG
 
Inapendeza ila wagombea wote wa CHADEMA Udiwani Ubunge nk, Wahakikishe wanakua na mawakala wa kutosha kila kituo, haijalishi unapata kura nyingi kiasi gani kwenye kituo kama hauna wakala wenye misimamo isiyoyumba ushindi wako unauzwa hapo hapo kituoni sababu mawakala wengi ni raia tu wa kawaida ambao maisha yamewapiga kiasi fulani, Hivyo wagombea wahakikishe mawakala wanapata kila wanachohitaji katika vituo ili kusitokee sababu za kibinaadam ambazo ni lazima zitokee, Maji ,Chakula vyote vipatikane kwa wakati vituon tofauti na hapo ni maumivu.
 
Nyie mnaoshinda jf mkiitwa wajinga msikatae

Nyie ndio mnamwambia lissu atashinda urais

Ingieni field mpige kazi mpate uhalisia acheni uvivu

Nakuambia leo lissu akikupatieni hata wabunge wawili mkatambike
Hawa wanafunzi anaohutubia ni wapiga kura?!Mwigulu amekosa kibali cha wananchiView attachment 1589676
 
Rais Magufuli hata asipopiga kampeni ushindi ni 89%
Ila Rais lazima awatembelee Wananchi wake kuonyesha heshima
Mkuu Erythrocyte nilikuwa namwambia Huyu jamaa anayesema Mwiguli anapita bila kupiga kampeni kwamba maneno kama hayo waliwahi kusema huko nyuma kuwa Magu atapata kura bila kampeni ila upepo umewageukia Lissu anaipeleka ccm na Magu mchakamchakam
 
Nyie mnaoshinda jf mkiitwa wajinga msikatae

Nyie ndio mnamwambia lissu atashinda urais

Ingieni field mpige kazi mpate uhalisia acheni uvivu

Nakuambia leo lissu akikupatieni hata wabunge wawili mkatambike
Umejibu swali nililokuuliza?
 
Mkuu Erythrocyte nilikuwa namwambia Huyu jamaa anayesema Mwiguli anapita bila kupiga kampeni kwamba maneno kama hayo waliwahi kusema huko nyuma kuwa Magu atapata kura bila kampeni ila upepo umewageukia Lissu anaipeleka ccm na Magu mchakamchakam
Sasa mtukufu magufuli anapigiwa kampeni na IGP na mkurugenziccm wa Tumeccm na bado hawajiamini wanapanga kuiba kura zaidi
 
Wako watu ambao wana wasiwasi mkuu juu ya nguvu na ushawishi/umaarufu wa JPM unavyo ongezeka kila uchao. Jambo hili linawakosesha amani mno. Moja ya mikakati yao ni kujaribu kupiga vita JPM asizungukwe na watu strong. Ndio maana utaona watu kama Bashiru, Mwigulu etc wanarushiwa madogo.

Sasa ngoja ni wakere, hivi mwajua Bashiru is the presidential material in a making?!
 
Wako watu ambao wana wasiwasi mkuu juu ya nguvu na ushawishi/umaarufu wa JPM unavyo ongezeka kila uchao. Jambo hili linawakosesha amani mno. Moja ya mikakati yao ni kujaribu kupiga vita JPM asizungukwe na watu strong. Ndio maana utaona watu kama Bashiru, Mwigulu etc wanarushiwa madogo.

Sasa ngoja ni wakere, hivi mwajua Bashiru is the presidential material in a making?!
Eti nguvu ya ushawishi? Ushawishi upi? Kuwabambikia watu kesi kesi kuwapiga wapinzani risasi ni ushawishi? Umarufu upi umeongezeka kila uchao? au umarufu wa kutafuna trilion 1.5 na 10% ununuzi wa Ndege kisha kumtoa CAG kafara?
 
Madelu simkubali ila Jesca simkubali Zaidi kwahiyo Madelu mitano ya mwisho
 
Back
Top Bottom