Dkt. Mwigulu ameanza kujipigia debe kwa kasi tena

Nimesoma maelezo yako na kuconvert kuwa video, kwa mujibu wa sheria za ugambani na tamaduni, hiyo siyo offside kabisa bali ni majungu tu ya ninyiem. Pyeeep mpira uwekwe ulipoishia ili mparuane.
 
Kitila is watching.
 
Nilifikiri ameshaanza kupaka rangi kwenye mawe..Raisi mtarajiwa wa kwenye mawe...😀

Everyday is Saturday.......................😎
 
Piga ua ni Professor Kitila Mkumbo alie safi na hajawahi iba jina asome sekondari.
Mwambieni Prof apige kazi apunguze siasa. Kwa nafasi yake yeye kama mtendaji mkuu wizarani, hapaswi kushinda JF kujipigia promo. Asubiri Kuna Wabunge kumi wa kuteuliwa na Rais, tutampa nafasi moja.
 
Hongera sana Mh waziri wa KS na mpe pole sana Bwana KM.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…